Stendi ya Mbagala Rangi Tatu kuhamishiwa Kijichi, sababu ni nini?

Stendi ya Mbagala Rangi Tatu kuhamishiwa Kijichi, sababu ni nini?

Kama ni stand ya ccm karibu na kota za police/ uhamiaj/magerrza bas wanafeli maana njia nyembamba sana ile haifai kwa basi
 
Hivi unajua ardhi ya Tanzania, ni mali ya serikali, na mwananchi ni mpangaji, hivyo ardhi ikihitajila kwa matumizi ya umma serikali huichukua, sema kikwazo kingine ila siyo swala la pale ni kwa mtu.
Sio rahisi namna hiyo
 
Yeah.
Ni karibu na mgeni nani.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Barabara nimehisi ni nyembamba ingawa ni barabara nzuri, na hata ile stendi ni nzuri ukilinganisha na Rangi 3. Wametoboa nyie nyingine ya kutokea Kongowe au mabasi yatalazimika kurudi ya Zakhem ili yaanze safari rasmi ya mikoa ya kusini??
 
Hata mie jana nimeshangaa mtu mmoja ananiambia naenda kupandia gari za mtwara kijichi nikashituka kijichi? Na vinjia vyao vyembamba vile mmm, ila rangi 3 niliwahi sikia ni eneo la mtu bifsi baada ya kuuliza kwanini pale hapatengenezwi mvua zikinyesha ni kama shamba la mpunga kule Mbeya!
 
Hata mie jana nimeshangaa mtu mmoja ananiambia naenda kupandia gari za mtwara kijichi nikashituka kijichi? Na vinjia vyao vyembamba vile mmm, ila rangi 3 niliwahi sikia ni eneo la mtu bifsi baada ya kuuliza kwanini pale hapatengenezwi mvua zikinyesha ni kama shamba la mpunga kule Mbeya!
 
Hata mie jana nimeshangaa mtu mmoja ananiambia naenda kupandia gari za mtwara kijichi nikashituka kijichi? Na vinjia vyao vyembamba vile mmm, ila rangi 3 niliwahi sikia ni eneo la mtu bifsi baada ya kuuliza kwanini pale hapatengenezwi mvua zikinyesha ni kama shamba la mpunga kule Mbeya!
Ni pachafu sana, miaka nenda rudi hawakufanya maboresho.
 
Stendi ya kijichi ni kubwa na hakuna magari japo sipati picha zile barabara zilivyo nyembamba na zenye kona mabasi yatapitaje.
Barabara nyembamba lakin je idadi ya magari kwa dk,traffic ,jam ikoje?
 
Kumbe mgeni nani kwetu kumekucha eeenh
Muda mrefuu saaana sijafika hukoo
 
Screenshot_20221017-180654.png
Screenshot_20221017-180610.png
 
Let's assume ni kweli, je kwa nini serikali isiwalipe fidia na kuchukua hilo eneo liwe for public use? Hii nchi ngumu sana, hapo kuna mwenyekiti wa mtaa, kuna diwani, kuna mbunge nk but jambo linafanyika bila kutaarifu umma kwamba serikali ina mpango wa kuhamisha stend from A to Z kwa sababu Y and W... Yaani ni full dharau kwa wananchi wao.

Ni kweli, pale rangi tatu ni eneo la mtu binafsi ambalo ilikua ni for temporary use ila huko ilipopelekwa sijui kama miundo mbinu iko vizuri especially vipimo vya barabara kuweza ku accomodate wingi wa watumiaji kuelekea stand ya kijichi.
 
kuna mtu atapewa hilo eneo la stand ya zamani soon
Lile eneo ni la mtu binafsi mkuu kuna wakati nilikiwa naelekea kununua gesi mtwara nilipofika pale stendi ilikuwa kipindi cha mvua nikakutana na visima vya maji, kuuliza ndipo nikaambiwa 'ili ni eneo la mtu that's why hakuna marekebisho'.

Labda serikali imlipe mwenye eneo ili wakarabati, but taarifa ya serikali ilishatoka kuwa pale si mali ya mtu binafsi.
 
Back
Top Bottom