inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Soon patakaa kuliaYah,Ni stendi nzuri sn ila Kama kigezo Ni ili kuchamgamke mbona ni balaa,kule kumekaa kushoto bana
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon patakaa kuliaYah,Ni stendi nzuri sn ila Kama kigezo Ni ili kuchamgamke mbona ni balaa,kule kumekaa kushoto bana
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ni rahisi tuu kama mwenye ardhi yake analipwa fidia nzuri...Sio rahisi namna hiyo
Hiii hoja huwa naishangaa sana aisee..Wanasema kuna soko limejengwa kule wanataka lichangamke.
Wasomi wa hii Nchi wanachekesha Sana kwakweliLeo asubuhi nimepishana na mabasi mengi sana ya mikoa ya Kusini pamoja na basi ndogo za Mkuranga na Kibiti yakielekea stendi ya kijichi.Nikamuuliza mtu mmoja imekuwaje Leo haya magari yanaenda kijichi badala ya Mbagala rangi 3? akajibu magari yote ya mikoani yanayoanzia mbagala Sasa hivi stendi yao ni kijichi. Kwa hiyo hata Ester ya Arusha na Tashirifu ya Tanga zitaanzia Kijichi,hapo Mbagala panabomolewa.
Majibu yalikuwa mengi maana kila mtu akawa anasema yake,mara mtu kanunua lile eneo la rangi tatu,mara halikuwa eneo la serikali,mara serikali inataka kuliendeleza eneo...sikutoka na jibu moja la uhakika.
Ila serikali imeruhusu vipi kuhamishia stendi kijichi au ni dharura?
Nimefika njia ya ng'ombe nimekutana na tashirifu ya ya Tanga inastrugle kukata Kona,gari linaenda mbele taratibu Kisha linarudi nyuma ili likae vizuri kwenye lane yake kisha iendelee na safari .. Barabara nyembamba na gari ni refi,nina uhakika hata njia panda ya Neruka Kuna kitu Kama hiko kinatokea.
Zile barababra za mtaani kule kijichi,kuanzia Neruka hadi kufika stendi ilipo ni nyembamba nazo,ukipishana tu na roli za mchanga mwenye gari ndogo lazima asimame kwanza Kisha roli lipite maana linajaa Barabara yote.Kama stendi imehamia kijichi moja kwa moja sijui itakuwaje na ile mibasi ya mkoani kwenye zile Barabara nyembamba!!
Alafu kijichi naona Kama imekaa kushoto kwa abiria wa sehemu zingine maana ipo ndani..Ni Kama uitoe stendi ya Magufuli pale Mbezi Kisha uihamishie Goba kwa ndani, lazima kutatokea usumbufu sana.
Mpaka Sasa hivi sijui kwa nini stendi imehamishwa rangi tatu.Mtu mmoja nilimsikia anasema ni heri wangejenga stendi mpya kongowe au mwandege karibu na kiwanda Cha bahresa Kuna eneo kubwa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Leo asubuhi nimepishana na mabasi mengi sana ya mikoa ya Kusini pamoja na basi ndogo za Mkuranga na Kibiti yakielekea stendi ya kijichi.Nikamuuliza mtu mmoja imekuwaje Leo haya magari yanaenda kijichi badala ya Mbagala rangi 3? akajibu magari yote ya mikoani yanayoanzia mbagala Sasa hivi stendi yao ni kijichi. Kwa hiyo hata Ester ya Arusha na Tashirifu ya Tanga zitaanzia Kijichi,hapo Mbagala panabomolewa.
Majibu yalikuwa mengi maana kila mtu akawa anasema yake,mara mtu kanunua lile eneo la rangi tatu,mara halikuwa eneo la serikali,mara serikali inataka kuliendeleza eneo...sikutoka na jibu moja la uhakika.
Ila serikali imeruhusu vipi kuhamishia stendi kijichi au ni dharura?
Nimefika njia ya ng'ombe nimekutana na tashirifu ya ya Tanga inastrugle kukata Kona,gari linaenda mbele taratibu Kisha linarudi nyuma ili likae vizuri kwenye lane yake kisha iendelee na safari .. Barabara nyembamba na gari ni refi,nina uhakika hata njia panda ya Neruka Kuna kitu Kama hiko kinatokea.
Zile barababra za mtaani kule kijichi,kuanzia Neruka hadi kufika stendi ilipo ni nyembamba nazo,ukipishana tu na roli za mchanga mwenye gari ndogo lazima asimame kwanza Kisha roli lipite maana linajaa Barabara yote.Kama stendi imehamia kijichi moja kwa moja sijui itakuwaje na ile mibasi ya mkoani kwenye zile Barabara nyembamba!!
Alafu kijichi naona Kama imekaa kushoto kwa abiria wa sehemu zingine maana ipo ndani..Ni Kama uitoe stendi ya Magufuli pale Mbezi Kisha uihamishie Goba kwa ndani, lazima kutatokea usumbufu sana.
Mpaka Sasa hivi sijui kwa nini stendi imehamishwa rangi tatu.Mtu mmoja nilimsikia anasema ni heri wangejenga stendi mpya kongowe au mwandege karibu na kiwanda Cha bahresa Kuna eneo kubwa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Tena inasemekana ni la manji[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] lile ni eneo la mtu binafsi tangia zamani jmn.
why now. huyo mwenye eneo alikuwa wapi miaka yote hiyoEneo ni la mtu binafsi,waliowahi mjini 1950 kweusi
Unampangia mtu Cha kufanya na Mali yake!?..hapo Mara kwa Mara huwa namgogorowhy now. huyo mwenye eneo alikuwa wapi miaka yote hiyo
Sheria inasemaje Kwa mtu binafsi kuwa na stendi yake pekee yakeKuna Engineer mmoja aliwahi niambia lile eneo ni lao na kakaake ndiye mtu anayekusanya ushuru pale kila Siku.
Matumizi ya umma ni lazima umma ndio uwe unahitaji hilo jambo na sio kiongozi kufikiri kuwa hiki ni kwa matumizi ya umma. Ikiwa kweli ni matumizi ya umma, lazima eneo litwaliwe kwa kuzingatia sheria, LIPA FIDIA kwa wenye eneo - SISI ENTERPRISE v ATTORNEY GENERAL OF TANZANIAHivi unajua ardhi ya Tanzania, ni mali ya serikali, na mwananchi ni mpangaji, hivyo ardhi ikihitajila kwa matumizi ya umma serikali huichukua, sema kikwazo kingine ila siyo swala la pale ni kwa mtu.
Haya mabus yakiwa yanatokea kusini yanapitia pale kongowe,tuangoma,mwembe mtengu Hadi njia panda chekechea alafu yanaingia kijichi...nimepishana nayo mengi Tu hiyo mitaa ya mwembe mtenguKigamboni tena?
Kutoka kijichi to kigamboni,huko yalienda kufata Nini Sasa?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
hujamuelewa alichomaanisha ni kuwa kijichi gari zilizokuwa zinatamba ni hiace tu fupifupi coaster ni mojamoja sanaUnaongelea kijichi gani hiyo ya kiswazi mkuu?
Do your homework again!! Kijichi ina mtandao mkubwa wa barabara na ni ushuani kuliko sehemu yoyote ya wilaya ya Temeke.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hamahama ya stendi kwa kisingizio cha kupanua mji ni kuwatesa wananchi pasiposababu na hasa inapotokea mafuta yamepanda bei wanalazimika kutumia zaidi ya budget ambayo kimsingi ipo fixedLeo asubuhi nimepishana na mabasi mengi sana ya mikoa ya Kusini pamoja na basi ndogo za Mkuranga na Kibiti yakielekea stendi ya Kijichi. Nikamuuliza mtu mmoja imekuwaje leo haya magari yanaenda Kijichi badala ya Mbagala rangi 3? akajibu magari yote ya mikoani yanayoanzia Mbagala Sasa hivi stendi yao ni Kijichi.
Kwa hiyo hata Ester ya Arusha na Tashirifu ya Tanga zitaanzia Kijichi, hapo Mbagala panabomolewa.
Majibu yalikuwa mengi maana kila mtu akawa anasema yake, mara mtu kanunua lile eneo la Rangi Tatu, mara halikuwa eneo la serikali, mara serikali inataka kuliendeleza eneo. Sikutoka na jibu moja la uhakika.
Ila serikali imeruhusu vipi kuhamishia stendi Kijichi au ni dharura?
Nimefika njia ya ng'ombe nimekutana na tashirifu ya ya Tanga inastrugle kukata Kona, gari linaenda mbele taratibu Kisha linarudi nyuma ili likae vizuri kwenye lane yake kisha iendelee na safari. Barabara nyembamba na gari ni refi, nina uhakika hata njia panda ya Neruka Kuna kitu Kama hiko kinatokea.
Zile barababra za mtaani kule Kijichi, kuanzia Neruka hadi kufika stendi ilipo ni nyembamba nazo, ukipishana tu na roli za mchanga mwenye gari ndogo lazima asimame kwanza Kisha roli lipite maana linajaa Barabara yote.
Kama stendi imehamia Kijichi moja kwa moja sijui itakuwaje na ile mibasi ya mkoani kwenye zile Barabara nyembamba!
Alafu Kijichi naona Kama imekaa kushoto kwa abiria wa sehemu zingine maana ipo ndani. Ni kama uitoe stendi ya Magufuli pale Mbezi Kisha uihamishie Goba kwa ndani, lazima kutatokea usumbufu sana.
Mpaka Sasa hivi sijui kwanini stendi imehamishwa rangi tatu. Mtu mmoja nilimsikia anasema ni heri wangejenga stendi mpya Kongowe au Mwandege karibu na kiwanda cha bahresa kuna eneo kubwa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app