Stendi ya Mbagala Rangi Tatu kuhamishiwa Kijichi, sababu ni nini?

Stendi ya Mbagala Rangi Tatu kuhamishiwa Kijichi, sababu ni nini?

18 October 2022

ABIRIA wa MBAGALA WAILILIA SERIKALI, BAADA ya STENDI ya MAGARI KUSINI KUHAMISHIWA KIJICHI..



Abiria mbali mbali katika stendi ya mabasi ya Mbagala rangi tatu jijini Dar es Salaam wametoa kero yao mara baada ya leo asubuhi kukosa usafiri wa magari ya kwenda kusini na kudai kuambiwa waende eneo jipya lilopo Kijichi ambapo wakiongea na Global tv wamedai imewapa usumbufu mkubwa na kuomba serikali iwasogezee muda ili waweze kujipanga kwa hilo

Source : Global TV online
 
18 October 2022
Dar es Salaam, Tanzania

AFISA HABARI MANISPAA - STENDI MPYA YAZIDI KUNOGA



Source : TMC TV
 
Kama ni ile stand niijuayo wamechemka vibaya mno, barabara zile ni za mitaani zisizofaa magari makubwa.
Wangeileta pale Temeke mwisho kwenye ule uwazi ingekuwa safi sana.

Wafanya maamuzi sijui huwa ni Watu kutoka Vijijini?
 
Hahaaa nchi hii watu kutoka vijijini wanadharauliwa sana ,maamuzi mfanye wenyewe lawama muwape watu wa vijijini
 
Lile eneo ni la mtu binafsi mkuu kuna wakati nilikiwa naelekea kununua gesi mtwara nilipofika pale stendi ilikuwa kipindi cha mvua nikakutana na visima vya maji, kuuliza ndipo nikaambiwa 'ili ni eneo la mtu that's why hakuna marekebisho'.

Labda serikali imlipe mwenye eneo ili wakarabati, but taarifa ya serikali ilishatoka kuwa pale si mali ya mtu binafsi.
Kununua gas mtwara?
 
Back
Top Bottom