Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

Nimekutana na hayo mapicha picha ya mzigo wa 40$ alaf shipping cost 135$.
Nimemdirect seller atume kwa maagents wa Tanzania waulete
Alibaba wanauza jumla mzigo wanaupakia kwnye container la futi 20 au 40 yani min order kwanzia piece 1000 kwa rejareja nao wanauza sema ndo hivyo wanatuma kw dhl ndo mana gharama inakuwa kubwa
 
Uzi mzuri. Gharama ya kusafirisha mzigo wa kama gram 700 ni kama kiasi gani?
 
Kaapfo Mboro
 
Utakufa maskini always negative, kwahali hii watu makini watazidi kuima JF.


Nimejifunza sana hapa jf..unataman kumuonesha mtu sehem kuna kauafadhari lakini full kebehi😅!kuna mwingine jana kaniita tajiri wa jf🤣!bas tu yaan!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…