Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Does rationality exist?I think the problem here is that we are trying to apply objectivity in a concept that does not exists objectively.The existence of God is merely a subjective concept which means that both sides of the argument are correct.
Malarkey,

How can God exist and not exist simultaneoysly?

Iam not talking about faith, effects of faith, impact on life etc.

Iam talking the actual existence of God.

Do you understand that God does not exist objectively, and then saying God exist and does not exist is a contradiction?

You are saying God does not exist objectively, and then you are decsibing parenthentically a God who exists in existing and not existing simultaneously and objectively.

If you want to be crazy, be crazy all the way.

Don't start saying I am crazy, but I am sane at the same time.
 
Hakuna sababu inayoeleweka ya kufanya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aachie ulimwengu ambao haumthibitishi yeye kwa dhahiri kiasi cha watu kutaabikasana na dini elfu kwa elfu wakimtafuta.

Mungu akiwa hivyo, atakuwa anafanya utani wa kikatili sana kwa viumbe wake dhaifu.

Kwa upande mwingine, katikaulimwengu ambao Mungu hayupo, Mungu kuwepo kwake kutoweza kujulinkana ni kitu kisicho cha ajabu.

Kwa sababu hata uchunguze vipi, mtu anaweza kukwambia tu"Mungu yupo, ilawewe hujamtafuta vya kutosha".

Kamahayupo, huwezi kujua kwa uhakikakwamba hayupo, kwa sababu hayupo.

Ni kama umwambie mtoto atafute pipi ambayo haipokwenye nyumba, hata apekue vipi haioni, na akiambiwa ipo, hajatafuta vya kutosha, hawezi kujua kwamba huo ni uongo nje ya nadharia na dhana, kwa sababu inawezekana yeye anatafuta chini ya mazulia, wakati pipi imesimikwa ukutani katikati ya ufa kwenye matofaliikafichwa na kabati zito.

Yani dhana ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote naupendo wote kuumba ulimwengu huu kuna contradictions kibao tu.

Contradictions zinazoonesha hayupo.

Na ukisema hatuwezi kuthibitisha conclusively kwamba hayupo, naweza kukwambia hatuwezi kuthibitisha chochote conclusively if you really want to go with the nitty gritties.

Kwamba hata wewe huwezi kuthibitisha kwamba upo.

At somepoint a threshold must be drawn.

Descartes alisema "I think, therefore I exist".

Mtu anayetakakuwa skeptic hapo,anawezakusema Descartes anajuaje kwamba anafikiria yeye na yeye si simulation tu ya software inayomfanya ajisikie kamaanafikiria?

Unajia bro sikifichi,kuukubali ukweli ni ujasiri mkubwa sana uliopo ndani ya uwezo wa mtu mwenyewe,ni yeye tu mwenyewe kuamua.

Haya yanatowakuta juu ya kuukubali si kosa lenu ni kosa la wa asisi wenu walipo amua kuikataa DINI ni kuzifanya AKILI zao kuwa ndio mizani ya kuujua ukweli. Kadhalika wakubwa wenu walijiona ya kuwa wao ni wana akiki sana kuliko wengine,wakaweka msamiati wa kuogofya na mfano wake.

Haya yaliona zamani na wanazuoni wa haki tena wakweli wenye kuchunga amana ya Elimu,wakadhibiti ukweli.

Mnatakiwa pia mjifunze namna ya kufikiri. Hivi ni mjinga pekee ambaye atamfanya Stephen Hawking kuwa marejeo yake.
 
1. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, upendo wote na utakatifu wote, kaumba ulimwengu ambao maovu yanaweza kutokea, wakati alikuwa ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezi kutokea? Naomba jibu lisiwe kusema maovu yapo kwa sababu ya shetani. Swali linauliza kabla shetani hajaumbwa Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezi kuwepo. Jibu la swali lisiseme maovu ni matokeo ya dhambi za watu. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani. Jibu lisiseme free will, hatuna hiyo inayoitwa free will katika mengi sana na hata kui define tu watu hawawezi.

Binafsi ukiniuliza usafi ni nini?Nitakujibu ni kukaa katika mazingira machafu bila kupata madhara ya uchafu kama magonjwa na kutoa harufu mbaya,Ukisoma biblia Mungu anasema tumfanye mtu kwa sura yetu na mfano wetu nadhani unaelewa jinsi ilivyo yaani neno kama ni [like] yaani kufanana so Mungu alituumba tufanane na yeye na jinsi alivyo yeye ndivyo tulivyo sisi.Kumbuka mema na mabaya yapo ndani ya Mungu so alivyotuumba pia alituwekea hayo yote so ilikua ni option ya mtu mwenyewe kutenda mema sawa na Mungu au kutenda mabaya,hapo kwenye swala la maovu na mabaya ni kwasababu ya watu waovu walioamua kutenda uovu na hata maovu mengine yanatokea.Hapo kwenye free will usijidanganye leo hii kuna mashoga ambao wanaona maumbile yao hayaruhusu kabisa kufanya wanachofanya ila wanakifanya so usijipe moyo kwamba hatuna free will,Biblia imesema nimeweka mema na mabaya,mema kwaajili ya wema na mabaya kwaajili ya wabaya so tumepewa free will hapa na hayo mabaya au mema tunayoongelea sio kwamba tunajifunza toka nje hapana yapo ndani yetu tunapoyafanya tunadhibitisha na kuonesha kuwa sisi ni wanamna gani.


2. Inakuwaje Mungu awe ndiyo mtoa rehema ya kumjua, anachagua mwenyewe nani amjue na nani asimjue, halafu mtu akishindwa kumjua Mungu, kwa sababu Mungu hajamchagua huyo mtu kumpa neema yake Mungu ya kumjua, huyo mtu aonekane ana makosa, ahukumiwe kuchomwa moto? Baba anawezaje kumhukumu mtoto ambaye hajui kusoma, kama mtoto hajui kusoma kwa sababu baba ndiye aliyemnyima nafasi ya kwenda shule?

Nashukuru kwa kujua kuwa Mungu ndie mtoa rehema na anaamua yupi ampe yupi amnyime.Kwanza nikwambie kuwa Mungu ndie aliyetuumba na aliweka ndani Roho yake lakini pia kama nilivyokujibu hapo juu kuwa aliweka mema na mabaya ndani yetu kama yeye alivyo,kama ni Mungu ndie aliyetuumba anayohaki yote yakuturehemu maana hakuna mwingine anayeweza kufanya hivyo.Hapo kwenye kuchagua nani amjue na nani asimjue nayo imekaa kama nilivyoeleza mwanzo kuwa Mungu alituumba na alituwekea mema na mabaya ndani yetu lakini hakutulazimisha kuchagua yaliyomema au mabaya ila alitushauri kuchagua yaliyo mema so kuna watu ambao waliamua kuyafuata yaliyo mabaya so hawa ndio Mungu hawezi kuwarehemu maana walishachagua hivyo na hata ukiwashawishi kuacha hayo mabaya hawataweza kaucha maana wao ndio wanaona mema kwao kama Mungu alivyotushauri.



3. Inakuwaje mahakama za watu tu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi, lakini vitabu vya Mungu vinasema Mungu anahukumu watoto na wajukuu vizazi hata vizazi? Kwa kosa la mzazi wa zamani sana? Huyu Mungu mbona haki yake haijafikia hata haki yetu watu tu?

Mtoto wa nyoka ni nyoka,ndio maana anasema mimi ni Mungu nipatilizae maovu ya baba zenu ili kwamba kama utaweza kuomba rehema uombe rehema kwaajili ya baba zako babu zako na watoto wako yale maovu yasiendelee kuwatesa.Kama huelewi bhasi jiulize kwanini mtu akiasi serikali au ufalme huamua kuua kizazi cha muasi? haya mambo yapo sana sema hayajawekwa wazi hizo unazosema wewe ni kesi ndogondogo tuu halafu mahakamani hakuna haki katika mahakama zetu maana mtu anaweza kuua kweli lakini asifungwe na mtu anaweza asiwe muuaji akafungwa ndio maana hawawezi kufanya the way Mungu anafanya because they are not sure but Our GOD is complete perfect.
 
Malarkey,

How can God exist and not exist simultaneoysly?

Iam not talking about faith, effects of faith, impact on life etc.

Iam talking the actual existence of God.

Do you understand that God does not exist objectively, and then saying God exist and does not exist is a contradiction?

You are saying God does not exist objectively, and then you are decsibing parenthentically a God who exists in existing and not existing simultaneously and objectively.

If you want to be crazy, be crazy all the way.

Don't start saying I am crazy, but I am sane at the same time.
May be I should use a simple linguistic analogy
Someone is online with profile that gives you and idea of him/her
It does not mean that this person exists or does not exists in a way that he has described himself online.But you,another person online at this time and place have access to this information only and it is your only way to understand this person who is virtual.So in making decision of whether this person exists as described you will not overlook the possibility that he does not exist as described.Therefore,whether he exists as described or not is an endless debate but the two way assertions may close the debate until at such time and place when you can confirm either without doubt.

I therefore think that I who believe that God exist am correct and you who believe that God does not exist are correct. It is therefore impossible for one argument to refute the other and itself remaining without the existence of the third person GOD to prove his own existence

It is better to therefore leave the burden of proof of his existence on Gods hand and use our feeble mind and ability to make this world a better place
 
Kuhusu Ukweli nimeshakuelza bro na wewe ukakiri ya kuwa maana yangu inakukanganya sasa nimekupa wewe nafasi ya kutafuta maana ya UKWELI popote ilipo ili uje kuitumia kujibi swali langu a mwanzo.

Hili swali ninalo kuuliza kuhusu Ukweli ndio msingi wa mijadala yote kwa wakanamungu,na hili swali niliwahi kumuuliza Kiranga na matokeo yake anayajua mwenyewe.

Nasisitiza tena na tena. Swali langu halibadiliki ni lile lile.
Siwezi kwenda kutafuta maana ya neno "ukweli" kwingine kwa sababu hakuna ajuae ukweli uliokuwa unamaanisha hapa ni nini kwa sababu tuliona hapo juu kwenye mfano wetu wa uwepo wa Mungu kilicho kweli kwako kinaweza kuwa ni uongo kwangu!

Ukweli ni nini?
 
Siwezi kwenda kutafuta maana ya neno "ukweli" kwingine kwa sababu hakuna ajuae ukweli uliokuwa unamaanisha hapa ni nini kwa sababu tuliona hapo juu kwenye mfano wetu wa uwepo wa Mungu kilicho kweli kwako kinaweza kuwa ni uongo kwangu!

Ukweli ni nini?

Daah,bro unatoka nje ya mstari kabisa. Narudia swali langu kwa mara ya mwisho ili tusaidiane. Nilikuuliza hivi :

Wewe huwa unatumia vigezo gani kuujua ukweli ? Au kama nilivyoandika hapo awali.
 
Siwezi kwenda kutafuta maana ya neno "ukweli" kwingine kwa sababu hakuna ajuae ukweli uliokuwa unamaanisha hapa ni nini kwa sababu tuliona hapo juu kwenye mfano wetu wa uwepo wa Mungu kilicho kweli kwako kinaweza kuwa ni uongo kwangu!

Ukweli ni nini?
Bro katika hali halisi ukweli una pande moja tu,yaani ukweli ni mmoja tu. Haiwezekani ukweli kwangu ukawa uongo kwako. Kufikiria kwa mtindo huu ni kufikiri kitoto na kukata tamaa,yaani wewe ni mvivu wa kufikiri.

Yalete mawazo yako katika hali halisi,hili ni tatizo linalowatafuna wakanamungu hawawezi kuyaweka mawazo yao katika hali halisi na kuyatetea pia.
 
Bro katika hali halisi ukweli una pande moja tu,yaani ukweli ni mmoja tu. Haiwezekani ukweli kwangu ukawa uongo kwako. Kufikiria kwa mtindo huu ni kufikiri kitoto na kukata tamaa,yaani wewe ni mvivu wa kufikiri.

Yalete mawazo yako katika hali halisi,hili ni tatizo linalowatafuna wakanamungu hawawezi kuyaweka mawazo yao katika hali halisi na kuyatetea pia.
Kilicho kweli kwangu kinaweza kuwa uongo kwako, kwa mfano soma sentensi hii: "Hakuna Mungu"

Kwa upande wangu ni ukweli kuwa hakuna Mungu na ninaweza kuthibitisha hilo ila kwako wewe ni uongo kwa sababu unaamini kuna Mungu!
 
Kilicho ukweli kwangu kinaweza kuwa uongo kwako, kwa mfano soma sentensi hii: "Hakuna Mungu"

Kwa upande wangu ni ukweli kuwa hakuna Mungu na ninaweza kuthibitisha ila kwako wewe ni uongo kwa sababu unaamini kuna Mungu!
Kwako wewe huo sio ukweli na hautakuja kuwa ukweli sababu haiwezekani jambo hilo. Wewe katika hili hutoki katika moja ya mawili haya aidha huna elimu juu ya Mola Muumba au wewe ni mtu Muongo,muovu tena mpotoshaji.
 
Hakuna sababu inayoeleweka ya kufanya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aachie ulimwengu ambao haumthibitishi yeye kwa dhahiri kiasi cha watu kutaabikasana na dini elfu kwa elfu wakimtafuta.

Sawa. Hakuna sababu inayoeleweka kwa uelewa wako. Hilo sikatai.

Mungu akiwa hivyo, atakuwa anafanya utani wa kikatili sana kwa viumbe wake dhaifu.

Hiyo nayo ni tafsiri yako, kwamba, akiwa hivyo atakuwa anafanya utani wa kikatili.

Kwa upande mwingine, katikaulimwengu ambao Mungu hayupo, Mungu kuwepo kwake kutoweza kujulinkana ni kitu kisicho cha ajabu.

Kwa sababu hata uchunguze vipi, mtu anaweza kukwambia tu"Mungu yupo, ilawewe hujamtafuta vya kutosha".

Huyo mtu akikwambia hivyo, tukisadiki kwamba yeye anamjua, nawe si umwambie akuambie jinsi yeye alivyomtafuta hadi akampata!

Au kama vipi mwambie tu akuonyeshe alipo.

Kamahayupo, huwezi kujua kwa uhakikakwamba hayupo, kwa sababu hayupo.

Neno muhimu hapo ni ‘kama’.

Ni kama umwambie mtoto atafute pipi ambayo haipokwenye nyumba, hata apekue vipi haioni, na akiambiwa ipo, hajatafuta vya kutosha, hawezi kujua kwamba huo ni uongo nje ya nadharia na dhana, kwa sababu inawezekana yeye anatafuta chini ya mazulia, wakati pipi imesimikwa ukutani katikati ya ufa kwenye matofaliikafichwa na kabati zito.

Kama.....

Yani dhana ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote naupendo wote kuumba ulimwengu huu kuna contradictions kibao tu.

Contradictions zinazoonesha hayupo.

That’s one way of looking at it.

Other ways are:

Labda yupo lakini hatumwelewi vizuri na ndo maana tunaona hivyo tuonavyo.

Au yupo lakini hayupo hivyo inavyodaiwa yupo, yaani mwenye sifa zote hizo.

Na ukisema hatuwezi kuthibitisha conclusively kwamba hayupo, naweza kukwambia hatuwezi kuthibitisha chochote conclusively if you really want to go with the nitty gritties.

Kwa hiyo unakubali kwamba hatuwezi kuthibitisha conclusively kuhusu uwepo wake, siyo?

Kwamba hata wewe huwezi kuthibitisha kwamba upo.

Oh no. Mimi naweza.

Nipo naandika hapa. Ninayo driver’s license, nina passport, nina SSN, naweza kuja ulipo na tukapata cuppa, cheti cha kuzaliwa ninacho, rekodi zangu kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu zipo.

Sasa siwezi vipi kuthibitisha kwamba nipo?

At somepoint a threshold must be drawn.

Ok, fine. But how can you do that with inconclusive evidence?

Descartes alisema "I think, therefore I exist".

Mtu anayetakakuwa skeptic hapo,anawezakusema Descartes anajuaje kwamba anafikiria yeye na yeye si simulation tu ya software inayomfanya ajisikie kamaanafikiria?

Mtu anaweza kuhoji chochote kile.

Ila kuna tofauti ya reasonable na unreasonable.

If someone is stuck too deep in stupid, there’s nothing that can be done to pull them out especially if they want to be stuck in there....
 
We can't know for certain that there is no invisible golden elephant in the middle of your living room, right now.

That does not make us entertain the idea of one existing now, does it?

I’ll gladly invite anyone who would like to come and take a look for him or herself [emoji2] and not take my word for it

IMG_2790.JPG
 
You are being a skeptic against Profesor Hawking's assertions, which claim to be based on science, as guessing.

Because the subject is unknowable.

But you are not enough of a skeptic.

Because you take the position that, believing that you exist is not guessing.

I can challenge you that, if you want to be a real skeptic, any foundation of your position that you exist is going to have an assumption, and you will not be able to justify all the assumptions.

Therefore, you will not be able to remove guessing from the assertion that you exist.

Aand if you say you exist, and this is not a giess, you will be contradicting yourself.

Because, on the one hand, you will be relegating Professor Hawking's assertions as guesswork - if anything, for a relatively valid reason that he cannot justify all the assumptions taken to reach the conclusion that God does not exists-, while you are actually doing the same thing - you cannot justify all the assumptions taken to reach the conclusion that you exist-

So, you are rejecting Professor Hawking's assertions as guesswork, while deep down, you assert your own existence on a foundation that cannot be verified without doubt, your existence is just as much of guesswork as Professor Hawkings assertion that God does not exist.

Godel's Incompleteness Theorems cover this neatly.

It is also the logic at the core of the nonexistence of God.
wewe mjamaaa Kila
siku unakimbilia huko tu.
sasa mwenzako chamoto anakipata
 
Kwako wewe huo sio ukweli na hautakuja kuwa ukweli sababu haiwezekani jambo hilo. Wewe katika hili hutoki katika moja ya mawili haya aidha huna elimu juu ya Mola Muumba au wewe ni mtu Muongo,muovu tena mpotoshaji.
Thibitisha kuwa Mungu yupo!
 
Thibitisha Mungu yupo!
licha ya kuwa naamini Mungu yupo.

Ila mtu kuuliza swali kama lako ni kukosa hoja "thibitisha Mungu hayupo" GT yeyote atashaangaa kuona swali kama hili, hakuna namna utathibisha kitu ambacho hakipo. Anayetetea kilichopo ndiye anatakiwa kutetea hoja yake.

Ni sawa na mkawa gizani halafu mtu anahoji 'thibitisha kuwa hakuna taa' how?!
 
Prof Hawaking mtaalamu wa physics huyu maisha aliyoishi ndio yanamfanya atilie mashaka uwepo wa Mungu.
Kuamini elimu ya sayansi, mitambo iliyomuwezesha kuishi muda mrefu katika hali mabaya ya kiafya hajui yotr hayo kuna nguvu isiyo ya kibinadamu ilitenda kazi !!
Haya yote Mungu anaruhusu yafanyike ili tujifunze.
 
Wapi nimesimama kwa kutumia mgongo wa Kiranga???! ,mimi nimetumia biblia yenu inayosema kuwa Mungu ni perfect(Mathayo5:48) halafu nashangaa kwa nini ashindwe kuumba dunia ambayo ni perfect, yaani isiyo na magonjwa, ubakaji, ajali, vimbunga, tsunami e. t. c!!


Na unapojinadi kuwa nisitumie verse moja kufikia conclusion ina maana hiyo biblia yenu inajikana yenyewe?.... yaani ina maana kuwa kama verse fulani inasema kuwa mungu ni perfect halafu kuna verse nyingine inakuja kukana??!
Behaviourist unasema "biblia yenu" lini uliikana biblia ?
 
Hahahaaa.

Craazy.

Nilisoma"A Brief History of Time: From The Big Bang To Black Holes" back in the 1990s, ameelezea kwa kirefu sana hayo mambo.

Kam hujakisoma na unapenda kufuatilia, nimekiweka hapo juu kama PDF attachment.
I think am interested brother, given the fact that i have been following your comments and post here at Jf since 2009, i can dare say you are one among prominent figures that has reshape my way of thinking and observing the universe, thanks a lot brother Kiranga
 
Back
Top Bottom