Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Je niprove(thibitisha) kwa njia ipi? Ndio swali langu kuu. Sijashindwa na wala sintoshindwa.
Kwangu miminingeoenda u prove kwa njia inayopimika, isiyopingika kimantiki kama kuwa contradicted,isiyotumia assumptions ambazohaziwezi kuwa proved.

Kwa mfano,ukisemauna prove Mungu yupo kwa sababu roho ipo,hapoumejiongezea makosa kwa kuongeza kitu ambacho huwezi ku prove kipo.

Ukisema una prove kwamba Mungu yupo kwa sababu Biblia/ Quran imeandika hivyo, hapo ume assumekila kilichoandikwa kwenye biblia nikwlei, kitu ambacho huwezi ku prove.

Ukisema Mungu yupo ila hatuwezi kumuelewa,hapo hujaprove, umesema kitu kisichopimika.
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha mkuu unajudge mambo ya Mungu kwa upeo wako sio kutokana na maandiko au reality of life

Maandikoyamejaa contradictions,unaelewa hilo?
Kwahii paragraph yako ndogo naomba nikujibu kifupi tuu

Tatizo unajibu kifupi mambo yanayohitaji fikra ndefu na majibu marefu.

Mosi<kama ulivyosema hapo juu kwamba Mungu ni waupendo na vitu vingine vyote pia Mungu ndie aliyeumba MEMA na MABAYA yaani huo ubaguzi unaoongelea ni Mungu pia amaeuumba lakini amesema ameumba MEMA kwaajili ya WEMA na MABAYA kwaajili ya WABAYA mwisho kabisa ametushauri tuchague yaliyo mema.So unapoongelea ubaguzi usitaje ubaguzi wa rangi tuu taja kila aina ya ubaguzi hata ile xenophobia ya SA ni ubaguzi hata anaofanya jiwe kuteua kanda ya ziwa ni ubaguzi uleule hata kumtenga ndugu yako pia ni ubaguzi kwa kuwa Mungu alitoa option ya watu kuchagua kati ya mema na mabaya so huwezi kumlaumu Mungu juu ya machaguo ya watu binafsi ni kuwalaumu watu wenyewe.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Pili,Umeongelea pia kwamba Mungu alifanya kwa upendeleo nisamehe kama nimekuelewa vibaya,lakini hapana nakataa Mungu hana upendeleo kama angekua anaupendeleo nadhani wazungu wasingetuhitaji ila kuna ujinga tuu ambao waafrika tunao na wazungu wanautumia kama opportunity,huwezi kusema mzungu anatusababishia umaskini wakati sisi tumekaa huku kazi yetu kuchati whatsapp na fb na tukirudi kwenye reality ya maisha tunaongeza wake na watoto wakati hela ya vocha tuu inatukimbiza.Kwaufupi tuu naomba usiseme tena kuwa Mungu ni mbaguzi juu ya rangi nyeusi ila jitahidi sana kuiambia rangi nyeusi iache ujinga na upumbavu

Nakubaliana na wewe Mungu hana upendeleo, kwa sababu hayupo.

Kamahayupo, hawezikuwana upendeleo.


Mungu anatakiwa asiwe na contradiction. Huyu Mungubwa Biblia na Quran kwa mfano, mtu akiweza kuniondolea contradictions zote zilizopo katika habari zake, sio tu nitakubali, bali pia nitafurahi sana. Contradictions hizo ni hizi.
Kwa uchache.

1. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, upendo wote na utakatifu wote, kaumba ulimwengu ambao maovu yanaweza kutokea, wakati alikuwa ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezi kutokea? Naomba jibu lisiwe kusema maovu yapo kwa sababu ya shetani. Swali linauliza kabla shetani hajaumbwa Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezi kuwepo. Jibu la swali lisiseme maovu ni matokeo ya dhambi za watu. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani. Jibu lisiseme free will, hatuna hiyo inayoitwa free will katika mengi sana na hata kui define tu watu hawawezi.

2. Inakuwaje Mungu awe ndiyo mtoa rehema ya kumjua, anachagua mwenyewe nani amjue na nani asimjue, halafu mtu akishindwa kumjua Mungu, kwa sababu Mungu hajamchagua huyo mtu kumpa neema yake Mungu ya kumjua, huyo mtu aonekane ana makosa, ahukumiwe kuchomwa moto? Baba anawezaje kumhukumu mtoto ambaye hajui kusoma, kama mtoto hajui kusoma kwa sababu baba ndiye aliyemnyima nafasi ya kwenda shule?

3. Inakuwaje mahakama za watu tu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi, lakini vitabu vya Mungu vinasema Mungu anahukumu watoto na wajukuu vizazi hata vizazi? Kwa kosa la mzazi wa zamani sana? Huyu Mungu mbona haki yake haijafikia hata haki yetu watu tu?

4. Mnasema Mungu anajua yote. Anayajua maisha ya mtu yote mwanzo mpaka mwisho kabla hata mtu hajaishi. Na anachojua huyo Mungu kitatokea, ni lazima kitokee. Anavyojua si kama utabiri wa hali ya hewa kwamba kuna 80% ya mvua. Yeye anajua kitu kamili hakina utata. Sasa kama anajua hivyo, ina maana mtu muuaji, alimjua huyu atakuwa muuaji kabla hata hajazaliwa. Na muuaji huyo hawezi kuepuka kuua hata afanye nini. Kwa sababu kuepuka kuua wakati Mungu kashajua huyu ataua ni kum prove Mungu wrong. Sasa kama huyu mtu anaenda kuwa muuaji, na hana jinsi ya kuepuka hilo, tutasemaje ana uhuru wa kuamua na anaua kwa uamuzu wake na atahukumiwa motoni kwa uuaji?

5. Mbona hivyo vitabu vinavyosemwa ni vya Mungu vina contradictions lukuki?

6. Mbona huyo Mungu mnayemsema yupo hathibitishiki? Anajificha asijulikanw vizuri kwa nini? Kwa nini hakufanya ulimwengu uweze kumjua vizuri bila uwezo wowote wa kuwepo ubishi juu ya uwepo wake?

7. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi yeye mwenyewe ashindwe kulibeba? Akiweza kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote, maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kulibeba. Akishindwa kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kuliumba.

8. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ameruhusu kifo kitenganishe wapendanao, baba na mama, wazazi na mtoto, marafiki etc, wakati alikuwa na uwezo, ujuzi na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani kuwepo?

Kwa nini watetezi wa Quran waajitapa sana kusema vitu fulani vichache vimethibitishwa kisayansi, kuinadi Quran kama kitabu cha ukweli, wakati vingi sana vina contradictions ama vinapingana na sayansi ama havijathibitishwa kisayansi, hawasemi vinapingana nansayansi au havijathibitishwa kisayansi?

10.Kama kuna Mungu kweli, kwa nini karuhusu confusion ya dini nyingi tofauti kuwa na vitabu vingi tofauti vyote vinasema vya Mungu wa kweli?
Kwa leo tuishie na maswali haya 10.
Unaweza kujibu
 
Huo ni ukweli,na hili swali linaingia katika yale maswali ya uongo. Sababu hapajawahi kutokuwepo na Mola muumba.

Kwanza bro,twende kwa utaratibu mzuri. Kuna swali nilikuuliza ila hujalijibu. Wewe lako uliuliza nimekujibu. Sasa naomba unijibu swali langu la kwanza kwako kisha uulize swali lako nilijibu.

Hapa hutakiwi kuruka swali. Nipo....
Sijaruka swali ila natafuta kwanza ufafanuzi wa neno 'ukweli' kutoka kwako katika swali lako ili niweze kulijibu swali lako vizuri, kwa hiyo kuwa na subira!

Kwangu mimi sentensi kuwa "Mungu yupo" ni uongo wa kutupwa kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye huruma yote na mwenye ukamilifu wote hawezi kuumba dunia ambayo mabaya yanawezekana, kwa hiyo bado hujanipa maana ya neno "ukweli" ili niweze kujibu swali lako la msingi!!
 
Hahahaa!

Hakuna ajuaye kwa uhakika na ndo maana unaona huu ubishi au huu mjadala hauna mwisho!
Bro katika elimu ya mijadala,kufikia hitimisho sio lengo bro.

Ubishi si katika tabia njema. Ukiona au ukihisi watu wanabishana hapo kuna mawili au matatu. Aidha wote ni wajinga kwa lile wanalo jadiliana kwalo,au mmoja mjinga au mmoja anajua ila amepitiwa tu katika zile adabu za mijadala.

Ndio maana mimi suala hili,niliacha kujadiliana na Kiranga sababu niliona hana elimu ya kile anachotaka kujadiliana kwacho. Nikaamua kuanza kumfundisha.
 
Sijaruka swali ila natafuta kwanza ufafanuzi wa neno 'ukweli' katika swali lako ili niweze kulijibu swali lako vizuri, kwa hiyo kuwa na subira!

Kwangu mimi sentensi kuwa "Mungu yupo" ni uongo wa kutupwa kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye huruma yote na mwenye ukamilifu wote hawezi kuumba dunia ambayo mabaya yanawezekana, kwa hiyo bado hujanipa maana ya neno "ukweli" ili niweze kujibu swali lako la msingi!!
Nyinyi wote mnafanana kama walivyo wakubwa wenu walio watangulia. Nimekupa ufafanuzi juu ya ukweli. Sasa hapa inabidi uniambia kwanza kama maana ya ukweli nikiyokupa aidha unaikataa au vipi. Na kama unaikataa basi itabidi unipe maana yako wewe juu ya tamko "UKWELI" kisha ujibu swali langu nililokuuliza.

Maana swalo hilo nililokuuliza halibadiliki bro,na usitafute pakutokea.
 
Hahahaa!

Hakuna ajuaye kwa uhakika na ndo maana unaona huu ubishi au huu mjadala hauna mwisho!
Kutojua kwa uhakika ni ushahidi kwamba Mungu yupo.

YaniMungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote awepo, halafu atuachie tunabishana hivi yeye kajificha tu hatakikujidhihirisha wazi kwa njia itakayomaliza mjadala is such a cruel joke.

Such a God is supposed to be so cool, yani Mungu huyo ingekuwa hata kabla hujamuomba akutimizie shida zako azimalize kashamaliza, yani ungekuwa hujui hata shida kwa sababu yeye kashazijua zinakuja halafu kazifuta kabla hazijakufikia.

Sasa ukweli kwamba tunabishana hapa na hatuelewani, unaonesha Mungu huyo hayupo.

That Godhead is a figment of the human imagination.

Which is pretty good at making up things that do not exist, like a corporation, a country as a state, the value of paper money, God etc
 
Kama ni kweli kwamba hatuna ushahidi wowote wa tulipotokaniwapi, huo niushahidi zaidi kwamba hatujatokakwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Hiyo ni hoja ninayoweza kuikubali.

Naangalia swali hili kwa misingi hii.

1. You either accept logical inquiry as your guide or not.

I definitely do.

2. If you do not accept logical inquiry, anything goes and there is no basis for anything and you might as well stop everything right there,because going forward requires a logical progression from one point to another.

Fair enough.

3. If you accept logicalinquiry, you can device a way to converge towards the truth in a verifiable way

Devise, you mean?

4. If you device a way to converge towards the truth in a verifiable way, contradictions will be barred,they weed out misunderstandings or lies.
5. The God (omnipotent, imniscient, omnibenevolent) idea, one who amde this universe as it is, has an inherrent contradiction in that the universe allows evil to exist. Was God forced to create the universe this way by some reason? Or did he choose the universe to be this way by purpose? If he was forced, he can't be omnipotent. If he had choice but chose to make us suffer, he can't be omni benevolent.
6. There is a contradiction that creates a mutualexlusivity in the characteristics of God in a way that a God who is omnipotent, omniscient and omni benevolent, not only does not exist,but cannot exist logically

I understand that Hawking is largely following the same line of thought.

Still, there is no conclusive and convincing evidence either way.

That’s why questions persist.
 
Huo ni uongo,narekebisha pale nilipokosea mwanzo kimaandishi. Yaani nilichokiandika ni kinyume na ninachokiamini.

Nasubiri jibu.....
Sijaruka swali ila natafuta kwanza ufafanuzi wa neno 'ukweli' kutoka kwako katika swali lako ili niweze kulijibu swali lako vizuri, kwa hiyo kuwa na subira!

Kwangu mimi sentensi kuwa "Mungu yupo" ni uongo wa kutupwa kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye huruma yote na mwenye ukamilifu wote hawezi kuumba dunia ambayo mabaya yanawezekana lakini kwako wewe neno "Mungu yupo" ni ukweli!!, kwa hiyo bado hujanipa maana ya neno "ukweli" ili niweze kujibu swali lako la msingi!!
 
Kwangu miminingeoenda u prove kwa njia inayopimika, isiyopingika kimantiki kama kuwa contradicted,isiyotumia assumptions ambazohaziwezi kuwa proved.

Kwa mfano,ukisemauna prove Mungu yupo kwa sababu roho ipo,hapoumejiongezea makosa kwa kuongeza kitu ambacho huwezi ku prove kipo.

Ukisema una prove kwamba Mungu yupo kwa sababu Biblia/ Quran imeandika hivyo, hapo ume assumekila kilichoandikwa kwenye biblia nikwlei, kitu ambacho huwezi ku prove.

Ukisema Mungu yupo ila hatuwezi kumuelewa,hapo hujaprove, umesema kitu kisichopimika.
Hapo ndipo Behaviourist alishindwa ndio maana nikasisitiza asikae nyuma ya mgongo wa Kiranga, maana hata Kiranga mwenyewe fact zake zimebase kwenye theory za Hwakings ambazo hata yeye mwenyewe hawezi kuprove.

LAKINI KAMA KUNA KITABU KINASEMA MUNGU NI MJUZI MWENYE HURUMA MUELEWA MWENYE UPENDO MWENYE......................,
BASI SWALI KWANINI KUNA MAJANGA LIKE NATURAL DISASTER MAGONJWA MAUJI, VIFO UJINGA NK YATAKUWA YANAJIBIWA NA HIVYO VITABU VYENYEWE UKILAZIMA NJE YA HAPO HUWEZI PATA JIBU,
HUYO YESU HATUNA UHAKIKA KAMA ALIKUWE ZAIDI YA KUSOMA KWENYE VITABU TU NA HATA HIZO BIG BANG SIZANI HATA HUYO KIRANGA ANAWEZA DHIBITISHA UWEPO WAKE.
 
NitasemaMungu hayupo, angekuwepo nisingepona, kwa sababu kungekuwa hakuna ugonjwa wa kupona in the first place.
Halafu leo nataka nikufundishe matumizi ya tamko "nge" katika hali halisi na kilugha pia. Kwa ufupi matumizia ya "nge" huendana na ujinga,kukataa. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuzungumzia jambo lililopita kwa wakati wa sasa ili aliweke sawa sawa lile lile kwa namna ile ile. Hapa nitakupa mifano ikibidi.


Wewe asili yako ni yapi ? Yaani unajua chanzo chetu sisi au ulimwengu chanzo chake ni kipi ?

Au wewe unaulezea vipi ulimwengu na asili yake ?
 
Sijaruka swali ila natafuta kwanza ufafanuzi wa neno 'ukweli' kutoka kwako katika swali lako ili niweze kulijibu swali lako vizuri, kwa hiyo kuwa na subira!

Kwangu mimi sentensi kuwa "Mungu yupo" ni uongo wa kutupwa kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye huruma yote na mwenye ukamilifu wote hawezi kuumba dunia ambayo mabaya yanawezekana lakini kwako wewe neno "Mungu yupo" ni ukweli!!, kwa hiyo bado hujanipa maana ya neno "ukweli" ili niweze kujibu swali lako la msingi!!
Huku unapotumia muda mwingi ni matokeo tu bro. Una amini kuna Ukweli au huamini kwanza ?

Tusipoteze muda kwa jambo dogo kama hili. Hapa nataka uniambie wewe huwa unajuaje kama jambo fulani ni ukweli au kinyume chake. Mbona rahisi sana mzee.
 
Kutojua kwa uhakika ni ushahidi kwamba Mungu yupo.

YaniMungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote awepo, halafu atuachie tunabishana hivi yeye kajificha tu hatakikujidhihirisha wazi kwa njia itakayomaliza mjadala is such a cruel joke.

Such a God is supposed to be so cool, yani Mungu huyo ingekuwa hata kabla hujamuomba akutimizie shida zako azimalize kashamaliza, yani ungekuwa hujui hata shida kwa sababu yeye kashazijua zinakuja halafu kazifuta kabla hazijakufikia.

Sasa ukweli kwamba tunabishana hapa na hatuelewani, unaonesha Mungu huyo hayupo.

That Godhead is a figment of the human imagination.

Which is pretty good at making up things that do not exist, like a corporation, a country as a state, the value of paper money, God etc

Kutokujua kwa uhakika ni ushahidi wa kwamba hatujui.

Hatujui kama yupo ama hayupo licha ya kwamba yapo mazingira flani flani yanayoelemea katika upande flani, i.e. yupo ama hayupo.

Tungekuwa tunajua kwa uhakika, kama yupo au hayupo, huu ubishani wala usingekuwepo.

Watu huwa hatubishani pasipo kikomo kuhusu mambo yanayojulikana kwa uhakika.
 
Huyo jamaa kwani ndo nani mbona mnatuletea reference za ajabu anyway Mkuu Kiranga unatakaga nini kwani na mambo/hoja yako ya kuwa Mungu hayupo.....????kama unajiona wewe na wenzio wachache ndo waerevu sana kujua Mungu hayupo hongereni kwa miakili yenu mingi iliyotukuka.
Wewe endelea kuvimba tu hapo nyuma ya batton hzoo kuwa Mungu hayupo walikuwepo wenzio wengi tu kama ww... Yahn ww sio wa kwanza na wala hautakuwa wa mwisho.
Nakushauri ingia Google tafuta watu waliomzihaki Mungu na mambo ya ovyo yaliyotukuka na utaona cha mtemakuni kilichowakuta......nakuanzia na huyu wa kwnza eng mkuu wa meli ya Titanic alisema kwa ubora wa meli hii hata Mungu hana uwezo wa kuizamisha kulichotokea unakijua.

Kweli kadri unavyozidi kusoma ndo unavyozidi kuwa mpumbavu.
 
Nyinyi wote mnafanana kama walivyo wakubwa wenu walio watangulia. Nimekupa ufafanuzi juu ya ukweli. Sasa hapa inabidi uniambia kwanza kama maana ya ukweli nikiyokupa aidha unaikataa au vipi. Na kama unaikataa basi itabidi unipe maana yako wewe juu ya tamko "UKWELI" kisha ujibu swali langu nililokuuliza.

Maana swalo hilo nililokuuliza halibadiliki bro,na usitafute pakutokea.
Mimi sitafuti pa kutokea ila nahitaji ufafanuzi wa neno "ukweli" ambalo umelitumia katika swali lako la msingi kwa sababu maana uliyonipa ina mkanganyiko na inanifanya nisielewe swali lako ndiyo maana wewe unaamini suala la kuwepo kwa Mungu ni kweli wakati mimi naamini ni uongo!!....Naomba nipe maana ya neno ukweli ili niweze kujibu swali lako please!
 
Hiyo ni hoja ninayoweza kuikubali.



I definitely do.



Fair enough.



Devise, you mean?



Still, there is no conclusive and convincing evidence either way.

That’s why questions persist.
If you want to be a skeptic, there is no end to skepticism,you will end upin analysis paralysis that will question even your own existence.

You will be like the engineer who cannot build a brigde, because he cannot terminate the value of pi in decimal format.

While all he needs is four significant figures (remember those?)

Godel showed us the concept in his incompleteness theorems.

We have covered that above.

In a way, saying this is inconclusive a priori is contradicting step 1 above.

You are rejecting logical inquiry.

Let megive you the below example as an alert to never say never. Even when I say God does not exist, Ileave room to be proven wrong by asking people who say God exist to show proof.

By the way, you can devise a device as well as device a devise

de·vice
/dəˈvīs/
noun

  1. 1.
    a thing made or adapted for a particular purpose, especially a piece of mechanical or electronic equipment.
    "a measuring device"
    synonyms:implement, gadget, utensil, tool, appliance, apparatus, instrument, machine, mechanism, contrivance, contraption; More

    2.
    a plan, scheme, or trick with a particular aim.
    "writing a public letter is a traditional device for signaling dissent"
    synonyms😛loy, tactic, move, stratagem, scheme, plot, plan, trick, ruse, maneuver, machination, contrivance, expedient, dodge, wile
    "an ingenious legal device"


    10 impossibilities conquered by science



    Analysing starsIn his 1842 book The Positive Philosophy, the French philosopher Auguste Comte wrote of the stars: “We can never learn their internal constitution, nor, in regard to some of them, how heat is absorbed by their atmosphere.” In a similar vein, he said of the planets: “We can never know anything of their chemical or mineralogical structure; and, much less, that of organized beings living on their surface.”
Comte’s argument was that the stars and planets are so far away as to be beyond the limits of everything but our sense of sight and geometry. He reasoned that, while we could work out their distance, their motion and their mass, nothing more could realistically be discerned. There was certainly no way to chemically analyse them.

Ironically, the discovery that would prove Comte wrong had already been made. In the early 19th century, William Hyde Wollaston and Joseph von Fraunhofer independently discovered that the spectrum of the Sun contained a great many dark lines.


By 1859 these had been shown to be atomic absorption lines. Each chemical element present in the Sun could be identified by analysing this pattern of lines, making it possible to discover just what a star is made of.
 
Hii ni hadithi isiyo na uthibitisho.

Thibitisha Mungu yupo.



Biblia ina makosa mengi sana, imeandikwa na watu tu,hakuna Mungu anayesemwa ndani ya Biblia.

Wataalam wanaoisoma Biblia katikalugha yake ya asili,sio wewe unayesoma tafsiri, waliofundisha Bibliampaka Harvard, kama James L Kugel,wamesema hilo, si mimi.

Tatizo hata James L Kugel sijui kamaushamsikia. Tafuta kitabu kinaitwa "How To Read The Bible: A Guide To Scripture Then And Now"

James Kugel

How to Read the Bible



Hii ni falalcy.

Ni kamaunasema "BMW imeanzishwa na Mjapani Tokyo"

Nakwambia, hapana, BMW ni gari ya Wajerumani,si ya Wajapani.

Halafu unaniambiahujui kitu,kwanza mtu mwenyewe huwezi hata kutengeneza tairi la gari.

Yani hujui kwamba, kama kweli BMWimeanzishwa Ujerumani na Wajerumani, hata nisipojua kujaza upepo tairi, licha ya kulitengeneza, huko kukosa kujua kwangu kujaza upepo tairi hakufanyi BMW iwe imeanzishwa Tokyo Japan a Wajapani.

Katikalogic hii ni logical non sequitur.Unaunganisha mambo mawili ambayo hayana ususiani.

Yani ni sawa na mimi nisemewewe huwezi kupika pilau kwa sababu unavuta sigara. Wakati hamna uhusiani wowote katika ya kujua kupika pilau na kuvuta sigara.



A most ridiculous assertion.

Kutovielewa tunavyoviona ni ushahidi Mungu hayupo,si ushahidi Mungu hayupo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote asingekuwa mchoyo wa elimusana kutunyimakujua tunavyoviona mpaka tusote sana mambo na hata hapomengine hatuelewi.

Hali hiyo inatokana na ukwelikwamba Mungu hayupo.

Naona kuna trend ya watu kuchukua ushahidi unaoonesha Mungu hayupo, na kuufanya uwe ushahidi unaoonesha Mungu yupo.

Wanageuza mambo kama kifo, magonjwa, ujinga kuw aushahidi kwamba Mungu yupo.

Habari za kuwezekana kuwepokifo, magonjwa na ujinga ni ushahidi Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kifo, magonjwa na ujinga visingewezekana kuwepo.

Mkuu bado hujaniconvice

Biblia ina makosa mengi sana, imeandikwa na watu tu,hakuna Mungu anayesemwa ndani ya Biblia.

Wataalam wanaoisoma Biblia katikalugha yake ya asili,sio wewe unayesoma tafsiri, waliofundisha Bibliampaka Harvard, kama James L Kugel,wamesema hilo, si mimi.

Tatizo hata James L Kugel sijui kamaushamsikia. Tafuta kitabu kinaitwa "How To Read The Bible: A Guide To Scripture Then And Now"
Kuanzia hapa unasema ,unasema biblia imeandikwa na watu its Ok nakubali sawa lakini je? hao unaowasema wanajua kuisoma biblia vizuri wanasoma sawa na mawzo aliyokuwa anataka kurepresent muandishi?,mfn wa hili ni katuni za masudi kipanya anaweza kuchora katuni yake na kila mtu akapata tafsiri yake lakini ni Kipanya pekee anaeweza kutoa tafriri sahihi ya mchoro wake,pia hatuwezi kukataa maana utakayotoa wewe binafsi maana inaweza ikawa na mantiki kwako so hao unaosema wanajua kuisoma biblia vizuri wakija na fact ya kwamba muandishi alikua anamaanisha wanachosema wao ndio nitaanza kuamini ila sio vinginevyo.Maana biblia hatusomi tuu kama gazeti tunasomwa kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu na ndio maana wahubiri huomba watumiwe kama chombo tuu wasiongeze wala kupunguza neno la Mungu


Hii ni falalcy.

Ni kamaunasema "BMW imeanzishwa na Mjapani Tokyo"

Nakwambia, hapana, BMW ni gari ya Wajerumani,si ya Wajapani.

Halafu unaniambiahujui kitu,kwanza mtu mwenyewe huwezi hata kutengeneza tairi la gari.

Yani hujui kwamba, kama kweli BMWimeanzishwa Ujerumani na Wajerumani, hata nisipojua kujaza upepo tairi, licha ya kulitengeneza, huko kukosa kujua kwangu kujaza upepo tairi hakufanyi BMW iwe imeanzishwa Tokyo Japan a Wajapani.

Katikalogic hii ni logical non sequitur.Unaunganisha mambo mawili ambayo hayana ususiani.

Yani ni sawa na mimi nisemewewe huwezi kupika pilau kwa sababu unavuta sigara. Wakati hamna uhusiani wowote katika ya kujua kupika pilau na kuvuta sigara.

Hapa sijaelewa tafiri yako naona kama umetoka nje ya maada ila sio mbaya naomba nikujibu kwa uelewa wangu jinsi nilivyokuelewa na jinsi nanavyomuelewa Mungu.
Kuna mambo Mungu anafanya ili jina lake litukuzwe mfn Ayubu aliumwa na vitu vyote alivyonavyo viliondoka kwake na hata mke wake akajaribu kumshauri amuache Mungu lakini Ayubu alikataa,lakini sio kwamba katika kipindi chote hcho Ayubu alichokua napitia Mungu alikua hamuoni hapana alitaka jina lake litukuzwe ndio maana mwishoni Mungu alimrudishia vyote Ayubu na akampa mara mbili zaidi,mfn mwingine ni Lazaro huyu jamaa kabla hajafa Yesu aliambiwa rafiki yako mkubwa Lazaro anaumwa laikini Yesu alipotezea kama hajasikia wala hajaona akaendelea na habari ya kupiga Gospel siku ya nne baada ya Lazaro kuzikwa ndipo Yesu anawaambia twendeni kaburini kwa Lazaro na Bwana Yesu alifanikiwa kumfufua Lazaro kutoka mautini,hii yote ni kwaajili ya sifa na utkufu wa Mungu.Sasa linapokuja swala la huyu bwanamdogo Hawkin nasema tena ni kwaajili ya sifa na utukufu wa Mungu maana anayempinga Mungu kwa fact zake nyingi ameshindwa kutumia hizo fact kujiponya au hata kujisaidia japo kutumia hiyo science aliyonayo kuapata furaha kama watu wengine yaani kutembea vizuri kuogelea,maisha yote ya Hawkin yalikua ni kushindia PC tuu.nadhani hata wewe ndugu yangu kiranga unaweza kufanya kitu endapo tutakuweka sehemu moja kama huyu jamaa nawewe unaweza kutoa fact zako ili umkatae Mungu lakini kwa kuwa Mungu alikufahamu toka before alikupa uwezo wakujudge,kuchukua hatua na kufanya mambo mengine.

A most ridiculous assertion.

Kutovielewa tunavyoviona ni ushahidi Mungu hayupo,si ushahidi Mungu hayupo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote asingekuwa mchoyo wa elimusana kutunyimakujua tunavyoviona mpaka tusote sana mambo na hata hapomengine hatuelewi.

Hali hiyo inatokana na ukwelikwamba Mungu hayupo.

Naona kuna trend ya watu kuchukua ushahidi unaoonesha Mungu hayupo, na kuufanya uwe ushahidi unaoonesha Mungu yupo.

Wanageuza mambo kama kifo, magonjwa, ujinga kuw aushahidi kwamba Mungu yupo.

Habari za kuwezekana kuwepokifo, magonjwa na ujinga ni ushahidi Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, kifo, magonjwa na ujinga visingewezekana kuwepo.

Kama ningekua mwalimu ningekuchapa mbele ya darasa

Huwezi kuongea vitu kama hivyo ukiwa na akili timamu.Tunasoma Physics kuna watu wanaelewa Physics kuliko kawaida na kuna wengine hawaielewi kabisa lakini sijawahi kusikia wasioelewa Physics wanasema Force,Gravity na Gravitational force ni vitu ambavyo havipo.Yaani kutokuelewa kwako au kutokujua kwako au kutokutilia mkazo kwako juu ya mambo ya mungu kusikufanye useme Mungu hayupo au kitu fulani hakipo kwasababu mimi sijawahi kukiona huo utakua ni zaidi ya upumbavu,Kama nyie mnavyoamini katika Physics kwa kuassume sijui pressure ni zero au friction force is negligible ndivyo na sisi tunaamini katika Mungu kwamba Utajiri na heshima na vyote vinapatikana kwake.

BWANA KIRANGA USIKUBALI KUSHIKWA AKILI AMINI UNACHOKIFAHAMU NA MOYO WAKO UNACHOKIKUBALI SIO WATU WANAOJIONA WANAAKILI WAMEANDIKA HATA WEWE UNAWEZA KUANDIKA NA KUNA WATU WATAKUAMINI.
NB.Sio BIBLIA kwa maana tumetahadharishwa kwamba ni lazima Roho Mtakatifu akuongoze na Roho Mtakatifu sio mtu
 
Hapo ndipo Behaviourist alishindwa ndio maana nikasisitiza asikae nyuma ya mgongo wa Kiranga, maana hata Kiranga mwenyewe fact zake zimebase kwenye theory za Hwakings ambazo hata yeye mwenyewe hawezi kuprove.

LAKINI KAMA KUNA KITABU KINASEMA MUNGU NI MJUZI MWENYE HURUMA MUELEWA MWENYE UPENDO MWENYE......................,
BASI SWALI KWANINI KUNA MAJANGA LIKE NATURAL DISASTER MAGONJWA MAUJI, VIFO UJINGA NK YATAKUWA YANAJIBIWA NA HIVYO VITABU VYENYEWE UKILAZIMA NJE YA HAPO HUWEZI PATA JIBU,
HUYO YESU HATUNA UHAKIKA KAMA ALIKUWE ZAIDI YA KUSOMA KWENYE VITABU TU NA HATA HIZO BIG BANG SIZANI HATA HUYO KIRANGA ANAWEZA DHIBITISHA UWEPO WAKE.
Wapi nimesema kuwa nimeshindwa?... umetumia kigezo gani kusema kuwa nimeshindwa???.... Mimi humu nachat na watu wengine wengi tu, ulitakiwa usubiri jibu lako na siyo kuamini bila ushahidi wowote kuwa nimeshindwa!!
 
Back
Top Bottom