Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
when you are broke there are topics you should only listen to. So guys keep debating, am here listening, won't say a word.
Huelewi au madai hayo ni feki?Mimi sielewi hilo mkuu.
Madai hayo ni feki tu
tunasema Mungu yupo ndo mana tunakunya na kufa .
Huu wote ni uwezo wake na yanatokea.
Unaelewa ukisema hakuna chochote tayari ushasema hakuna Mungu?Hakuna chochote apo
Mungu yupo aisee, kubali kataa.
Na izo proof ziko kiaasumption sana ni ambacho ni vigumu kutokea.
Lazima kuwa na kitu kilichotokea ambapo kuna nguvu ilikifanya nguvu hio at least iwe known.
Huelewi au madai hayo ni feki?
Hutakiwi kusema huelewi kitu halafu hapo hapo ukasema ni feki.
Ukisema ni feki maana yake umekielewa.
Contradiction.
Sijasema kila kitu. Bali ni kwenye hayo maelezo ndo hakuna chochote ni kujaribu tu kupingana na ukweli.Unaelewa ukisema hakuna chochote tayari ushasema hakuna Mungu?
Contradiction.
Kiranga katika mas'ala haya kashindwa kutumia akili yake vyema.Sijasema kila kitu. Bali ni kwenye hayo maelezo ndo hakuna chochote ni kujaribu tu kupingana na ukweli.
God exists but not in a comprehensible form.If God becomes comprehensible then he is not God in his entirety.It is therefore logical to say that human mind has no ability to comprehend the existence of God rather we can only comprehend our own existence to a limited degree.We therefore are correct if we say God does not exist within the limits of our own understanding.You are being a skeptic against Profesor Hawking's assertions, which claim to be based on science, as guessing.
Because the subject is unknowable.
But you are not enough of a skeptic.
Because you take the position that, believing that you exist is not guessing.
I can challenge you that, if you want to be a real skeptic, any foundation of your position that you exist is going to have an assumption, and you will not be able to justify all the assumptions.
Therefore, you will not be able to remove guessing from the assertion that you exist.
Aand if you say you exist, and this is not a giess, you will be contradicting yourself.
Because, on the one hand, you will be relegating Professor Hawking's assertions as guesswork - if anything, for a relatively valid reason that he cannot justify all the assumptions taken to reach the conclusion that God does not exists-, while you are actually doing the same thing - you cannot justify all the assumptions taken to reach the conclusion that you exist-
So, you are rejecting Professor Hawking's assertions as guesswork, while deep down, you assert your own existence on a foundation that cannot be verified without doubt, your existence is just as much of guesswork as Professor Hawkings assertion that God does not exist.
Godel's Incompleteness Theorems cover this neatly.
It is also the logic at the core of the nonexistence of God.
mi naona kiranga anaweza akaona nyumba kubwa ipo sehemu halafu kwa kuwa hamuoni mjengaji akasema hii nyumba lazima itakua imejijenga mwenyewe .na akapambana kutetea hoja yake bila kusema hiyo nyumba imetokeaje bila kuwa na mjengaji.na hata ukimwambia hii nyumbv kuanzia msingi,nguzo,beams,roofing na finishing mpaka watu wanaishi humu lazima kuna mjengaji imara na sisi tunamheshimu na kumtukuza maana tunaishi kwenye hiyo nyumba ,yeye atasema tuthibitishe kama hiyo nyumba kuna aliyeijenga kwa kuwa tu hatujamuona na nyumba tumeikuta ikiwa imekamilika kikamilifu au tumejikuta tumezaliwa humo.
Na hapo ndipo inapobidi ukubaliane naye kwamba kama huwezi kuthibitisha uwepo wa mjengaji au kutokuwepo kwake basi wote mko sahihi kwa misimamo yenu mpaka hapo mjengaji atakapokuwepo kuthibitisha hilo bila shaka yoyote.mi naona kiranga anaweza akaona nyumba kubwa ipo sehemu halafu kwa kuwa hamuoni mjengaji akasema hii nyumba lazima itakua imejijenga mwenyewe .na akapambana kutetea hoja yake bila kusema hiyo nyumba imetokeaje bila kuwa na mjengaji.na hata ukimwambia hii nyumbv kuanzia msingi,nguzo,beams,roofing na finishing mpaka watu wanaishi humu lazima kuna mjengaji imara na sisi tunamheshimu na kumtukuza maana tunaishi kwenye hiyo nyumba ,yeye atasema tuthibitishe kama hiyo nyumba kuna aliyeijenga kwa kuwa tu hatujamuona na nyumba tumeikuta ikiwa imekamilika kikamilifu au tumejikuta tumezaliwa humo.
Kama hakuna Mungu na tumetokea kwenye evolution kwanini kuna race tofauti?Unaelewa ukisema hakuna chochote tayari ushasema hakuna Mungu?
Contradiction.
Kwanza ww naona huamin km Mungu yupo?hivi ww unaupima uwezo wa Mungu hapo ulipo ni kwa neema za Mungu tu na endelea kuwaamini hao machizi wanaoona mtu alie tengeneza mti wa muembe ujue ni wakati upi uzae na upime kiasi cha sukari ktk matunda yake ni mpuuzi.Kama vitu hivi tuvitumiavo vina wangunduzi ila inapofika kwa binadam unasema hakuumbwa alitokea tu sijui na upupu wa bing bang theory aghaaaaMungu angekuwepo,(mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) tusingekunya wala kufa.
Tunakunya na kufa kwa sababu Mungu hayupo.
Unaelewa hilo?
Mimi kizungu sielewi ila nimepapasia kichwa cha habari hata huyu mzungu hana uhakika kwa sababu ya dhana yake dhaifu.