Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Si kweli mkuuSio kweli mkuu.

Hayo yote ni kutaka kufanya ubongo usiwaze nje ya hao walioweka hizo theory.

Kama hao ni binadamu wamewaza hizo theory wakaziweka basi jua wapo wanaoweza kuwaza tofauti na hizo theory pia.

Katika mas'ala haya kiranga kashindwa kuitumia akili yake vyema.
Kiranga yeye anachohitaji kutoka kwenu ni mjibu swali moja tu:Kama dunia imeumbwa na Mungu ambae ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote, muelewa wa yote,kwa nini hakuna perfection humu duniani?
 
Rafiki kabla ya kupambana na Kiranga ni vyema kwanza ukawa na maarifa ya kutosha at least juu ya:
1.consistent theory
2.theory of special relativity
3.The Law of Singularity
4.The big bang theory

Kama hivyo vitu hapo juu huna maarifa navyo usijisumbue kupambana na kiranga na ni vyema ukakimbilia kwenye majukwaa ya umbea ili ukajifiche huko!
Kumbe ni Theory.
 
Si kweli mkuuSio kweli mkuu.

Hayo yote ni kutaka kufanya ubongo usiwaze nje ya hao walioweka hizo theory.

Kama hao ni binadamu wamewaza hizo theory wakaziweka basi jua wapo wanaoweza kuwaza tofauti na hizo theory pia.

Katika mas'ala haya kiranga kashindwa kuitumia akili yake vyema.
Yaani nayeye kashikiwa akili.
 
As far as I'm concerned, he was just guessing.

No one knows for sure where we come from or how the universe was created.
I think this is a blunt scepticism because you cannot easily claim that Hawking's assertions are mere guessing.

In this regard it is better to take the advice of Neil deGrasse Tyson who said that it is better to evaluate how compelling the evidence is to us rather than blindly following it or dismissing it.
 
mi naona kiranga anaweza akaona nyumba kubwa ipo sehemu halafu kwa kuwa hamuoni mjengaji akasema hii nyumba lazima itakua imejijenga mwenyewe .na akapambana kutetea hoja yake bila kusema hiyo nyumba imetokeaje bila kuwa na mjengaji.na hata ukimwambia hii nyumbv kuanzia msingi,nguzo,beams,roofing na finishing mpaka watu wanaishi humu lazima kuna mjengaji imara na sisi tunamheshimu na kumtukuza maana tunaishi kwenye hiyo nyumba ,yeye atasema tuthibitishe kama hiyo nyumba kuna aliyeijenga kwa kuwa tu hatujamuona na nyumba tumeikuta ikiwa imekamilika kikamilifu au tumejikuta tumezaliwa humo.
point ya kiranga ni kwamba hamuwezi kuthibitisha mungu aliumba the universe
 
Yaani nayeye kashikiwa akili.
Wewe kama akili yako iko huru na haijashikiliwa tuambie kama dunia imeumbwa na Mungu ambae ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote, muelewa wa yote,kwa nini hakuna perfection humu duniani?.....Yaani kuna magonjwa, vita, kuonewa, kudhulumiwa, vimbunga, tsunami, ufisadi, utekaji, kufa,baada ya kufa kuna moto, ubakaji e. t. c?....ina maana huyo Mungu mjuzi wa vyote na mwenye huruma yote ameshindwa kuzuia haya yasitokee???!
 
Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe
By Brandon Specktor, Senior Writer | October 17, 2018 04:23pm ET

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

In a new book that was published posthumously, Stephen Hawking, who died in March, wrote that it is impossible for God to exist in our universe.


From his desk at Cambridge University and beyond, Stephen Hawking sent his mind spiraling into the deepest depths of black holes, radiating across the endless cosmos and swirling back billions of years to witness time's first breath. He viewed creation as a scientist, and when he was called to discuss creation's biggest puzzles — Where do we come from? What is our purpose? Are we alone? — he answered as a scientist, often to the chagrin of religious critics.

In Stephen Hawking's final book "Brief Answers to Big Questions," published Tuesday (Oct. 16) by Bantam Books, the professor begins a series of 10 intergalactic essays by addressing life's oldest and most religiously fraught question of all: Is there a God? [Big Bang to Civilization: 10 Amazing Origin Events]

Hawking's answer — compiled from decades of prior interviews, essays and speeches with the help of his family, colleagues and the Steven Hawking Estate — should come as no surprise to readers who have followed his work, er, religiously.

  • aHR0cDovL3d3dy5saXZlc2NpZW5jZS5jb20vaW1hZ2VzL2kvMDAwLzEwMi8yMTYvb3JpZ2luYWwvc3RlcGhlbi1oYXdraW5nLU9ORS1USU1FLVVTRS5qcGc=
Credit: Frederick M. Brown/Getty Images


"I think the universe was spontaneously created out of nothing, according to the laws of science," Hawking, who died in March, wrote. "If you accept, as I do, that the laws of nature are fixed, then it doesn't take long to ask: What role is there for God?"
In life, Hawking was a vocal champion of the Big Bang theory — the idea that the universe began by exploding suddenly out of an ultradense singularity smaller than an atom. From this speck emerged all the matter, energy and empty space that the universe would ever contain, and all that raw material evolved into the cosmos we perceive today by following a strict set of scientific laws. To Hawking and many like-minded scientists, the combined laws of gravity, relativity, quantum physics and a few other rules could explain everything that ever happened or ever will happen in our known universe.
"If you like, you can say the laws are the work of God, but that is more a definition of God than a proof of his existence," Hawking wrote.

With the universe running on a scientifically guided autopilot, the only role for an all-powerful deity might be setting the initial conditions of the universe so that those laws could take shape — a divine creator who caused the Big Bang to bang, then stepped back to behold His work.

"Did God create the quantum laws that allowed the Big Bang to occur?" Hawking wrote. "I have no desire to offend anyone of faith, but I think science has a more compelling explanation than a divine creator."
Hawking's explanation begins with quantum mechanics, which explains how subatomic particles behave. In quantum studies, it's common to see subatomic particles like protons and electrons seemingly appear out of nowhere, stick around for a while and then disappear again to a completely different location. Because the universe was once the size of a subatomic particle itself, it's plausible that it behaved similarly during the Big Bang, Hawking wrote.
"The universe itself, in all its mind-boggling vastness and complexity, could simply have popped into existence without violating the known laws of nature," he wrote.

That still doesn't explain away the possibility that God created that proton-size singularity, then flipped the quantum- mechanical switch that allowed it to pop. But Hawking says science has an explanation here, too. To illustrate, he points to the physics of black holes — collapsed stars that are so dense, nothing, including light, can escape their pull.
Black holes, like the universe before the Big Bang, condense into a singularity. In this ultra-packed point of mass, gravity is so strong that it distorts time as well as light and space. Simply put, in the depths of a black hole, time does not exist.

Because the universe also began as a singularity, time itself could not have existed before the Big Bang. Hawking's answer, then, to what happened before the Big Bang is, "there was no time before the Big Bang."

"We have finally found something that doesn’t have a cause, because there was no time for a cause to exist in," Hawking wrote. "For me this means that there is no possibility of a creator, because there is no time for a creator to have existed in."

This argument will do little to persuade theistic believers, but that was never Hawking's intent. As a scientist with a near-religious devotion to understanding the cosmos, Hawking sought to "know the mind of God" by learning everything he could about the self-sufficient universe around us. While his view of the universe might render a divine creator and the laws of nature incompatible, it still leaves ample space for faith, hope, wonder and, especially, gratitude.

"We have this one life to appreciate the grand design of the universe," Hawking concludes the first chapter of his final book, "and for that I am extremely grateful."
Originally published on Live Science.

cc James Comey
Stephen Hawking kwako ni nani Brother?
 
Who is the first is not as important as whether what he says is true or not.

In fact, his case is strengthened by the fact that he is not the first to say what he said.

I would be very doubtful had the assertion been that Stephen Hawking has said that he is God (although I have a suspicion some people have said that before 🙂
What if he said he is the God?
What would be your stand?
My point was, either he was the first, second or last (you may be in) , he had nothing to do to believers!
 
Huyo ni Kiranga (non believer)
Yeye husema anataka kutibitisha siyo kuamini. Mimi naamini mwisho wa uwezo wa kuelezea chanzo cha ulimwengu kwa mtu kama hawking ndiyo mwanzo wa jibu la fumbo la uwepo wa Mungu lakini huwezi kumtibitisha Mungu kama wanavyotaka watu kama kiranga.

Hapa juu ktk article tunaona Hawking anasema inawezekana kuwa Mungu alitengeneza mfumo unaoweza kujiendesha wenyewe kisha akakaa pembeni akiutizama ukijiendesha. Sasa mimi nikiamini dhana hii ambayo tulikuwa tunaiamini tika zamani kosa langu litakuwa wapi while hata Hawking ame assert hii belief. Ukiipinga hii unatakiwa uje na hiyo ya kisayansi inayoeleza vizuri chimbuko la ulimwengu bila kuonesha super being somewhere hapo ndo tuzungumze. Lakini mpaka sasa sayansi imeshindwa kutoa majibu mujarabu, wengi wanaishia ktk bing bang theory lakini what banged hailezeki na mpaka sasa imekosa kuthibitika.
 
Hayo unayogawekea hoja, ni maagizo yake Mungu
Mungu angekuwepo,(mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) tusingekunya wala kufa.

Tunakunya na kufa kwa sababu Mungu hayupo.

Unaelewa hilo?
 
Enhee leo ngoja namimi ni put my two cents on this kontravesho matter.Im in the mood to argue and learn stuff.Mimi bwana tukiweka dini pembeni naamini kuwa kila kitu kina dizaina na mtengenezaji.hata wale wasioamini uwepo wa mungu ukimwambia kua hili jengo au hili gari limetokea to out of nowhere hawezi kukubali.Sasa how come the universe which we are a part of with all its complexities and sophisticated systems be just an accident or come outa thin air.haya basi mnipe mifano ya systems ama scenario nyengine inayofanana na hii theory yetu ya designer less creation.

Unataka kuniambia binadamu the most advanced and most intelligent living thing on earth has no architect?,u tellin me that the human body with the most advanced and dynamic movement mechanism has no architect or inventor but the four wheel drive in your car has?,no architect behind the eye,the nerve system,the human brain,the digestion system and all other sophisticated systems in the human body but you damn well know and believe that somebody invented/created/engeneered a camera,the personal computer,the engine etc
I know that yall will pull out the evolution card trying to explain how the homo sapiens come to be from a cell that spent a million years of evolutiom evolving from one thing to another then to chimps then eurekaa!!! "its a human being ladies and gentleman,you can see that science got all the answers",thats fine and all but how many other instenses that you can name that produced the same results or better ones that we can use to justify our lovely theory?.survival of the fittest eeh?.
 
Ngumu kumesa mi kwa kweli sijui kama yupo au hayupo ila naamini Mimi nipo!
 
Watu wote wanaomkashifu Mungu hufa vifo vibaya. So mnaona aliishia kukaa kwenye kiti ka palalaiz hiyo sayansi iliweza kumtibu?
 
Kiranga yeye anachohitaji kutoka kwenu ni mjibu swali moja tu:Kama dunia imeumbwa na Mungu ambae ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote, muelewa wa yote,kwa nini hakuna perfection humu duniani?
Kulitakiwa kua na perfection?kwa nini?na hio perfection ni katika kitu gani hasa?labda tuanzie huku
 
Back
Top Bottom