fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
wote t
uko sahihi? yani hata huyo anayesema nyumba inaweza ikajichimba msingi yenyewe hadi ikajipaua yenyewe,huo si uchizi sasaNa hapo ndipo inapobidi ukubaliane naye kwamba kama huwezi kuthibitisha uwepo wa mjengaji au kutokuwepo kwake basi wote mko sahihi kwa misimamo yenu mpaka hapo mjengaji atakapokuwepo kuthibitisha hilo bila shaka yoyote.