Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

K
Mimi sielewi hilo mkuu.

Madai hayo ni feki tu

tunasema Mungu yupo ndo mana tunakunya na kufa .

Huu wote ni uwezo wake na yanatokea.
Kwa kuongezea no sayansi ya kipekee sana!
 
Unazijua faida za kunya na kufa mkuu?
Faida zozote haziwezi kuzidi ukweli kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote asingeumba mapungufu hayo.

Tofauti yako wewe na mimi ni hii.

Wewe unafikiria ulimwengu uliopo.

Mimi nafikiria ulimwengu ambao ungewezekana kuwepo.
 
Kulitakiwa kua na perfection?kwa nini?na hio perfection ni katika kitu gani hasa?labda tuanzie huku
Kama dunia imeumbwa na Mungu ambae ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote, muelewa wa yote,kwa nini kuna magonjwa, vita, kuonewa, kudhulumiwa, vimbunga, tsunami, ufisadi, utekaji, kufa,baada ya kufa kuna moto, ubakaji e. t. c?....ina maana huyo Mungu mjuzi wa vyote na mwenye huruma yote ameshindwa kuzuia haya yasitokee???!
 
Wewe kama akili yako iko huru na haijashikiliwa tuambie kama dunia imeumbwa na Mungu ambae ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote, muelewa wa yote,kwa nini hakuna perfection humu duniani?.....Yaani kuna magonjwa, vita, kuonewa, kudhulumiwa, vimbunga, tsunami, ufisadi, utekaji, kufa,baada ya kufa kuna moto, ubakaji e. t. c?....ina maana huyo Mungu mjuzi wa vyote na mwenye huruma yote ameshindwa kuzuia haya yasitokee???!
HIZO HABARI ZA MUNGU MJUZI WA YOTE MUUMBA WA VYOTE MWENYE UPENDO WEWE UMEZIPATA WAPI? UMESOMA AU UMEHADITHIWA?
 
HIZO HABARI ZA MUNGU MJUZI WA YOTE MUUMBA WA VYOTE MWENYE UPENDO WEWE UMEZIPATA WAPI? UMESOMA AU UMEHADITHIWA?
Nimezisoma hapa,Luka 18:19

19 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema ila Mungu peke yake.


Na hapa, Mathayo 5:48

48 Kwa hiyo inawapasa ninyi muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.”
 
Kiranga yeye anachohitaji kutoka kwenu ni mjibu swali moja tu:Kama dunia imeumbwa na Mungu ambae ni mjuzi wa yote, mwenye huruma yote, muelewa wa yote,kwa nini hakuna perfection humu duniani?
Naona umemshikia bwana kiranga bendera yake sasa na kuwa unalirudia swali hili mara nyingi sana na huyu bwana tulishamjibu ila tu kama unavojua huwa ana ubishani wa kitoto ule wa kizamani zamani.


Jawabu linakuja na maelezo marefu kama ifuatavyo.

Swali lako linasema KAMA MUNGU KAUMBA ULIMWENGU VIPI KUWE NA MAPUNGUFU NA MAJANGA MBALI MBALI?

NI hivi bwana Behaviourist
Kwanza kabisa katika mjadala wowote ule unapojenga hoja basi unajenga hoja hiyo kwa kuiamini kabisa kwamba ni hoja,huwezi ukajenga hoja ambayo hata mwenyewe huiamini labda kwa kubainisha tu(nitafafanua)

Mfano ukisema kwamba Rais magufuli kasema Nchi haina pesa hivyo hawezi kuongeza mishahara,wewe au mimi nikijenga hoja kwamba kama Nchi haina pesa vipi kanunua Ndege kubwa kapata wapi pesa hizo?

Hapa hoja yako ni Ndege kununuliwa bila shaka utakuwa na ushahidi na imani juu ya hoja yako hiyo.huwezi kusema unajengea hoja ambayo hata mwenyewe huiamini huo utakuwa ni uzwazwa.

Sasa mfano mtu akuulize vipi unaamini kama ndege imenunuliwa wewe useme aaaah siamini kama Ndege yenyewe imenunuliwa.hii inakuja kiakili?

Labda kwa watu ambao hukimbizana na makalio yao wenyewe wanaweza kusema hivyo.

Tunarudi pale pale kwamba hoja unayoijenga lazima uiamini kwanza ndipo utaitegemea kama hoja.

Sasa tukirudi katika swali lako kuwa "KAMA MUNGU NDO MUUMBA VIPI KUWE NA MAPUNGUFU MBALI MBALI?"

Hapo swali lako lina sehemu tatu.

Kuna Mungu
uumbaji
Mapungufu.

Sasa hapa tukitizama swali lako tunaona kuwa UNAAMINI KWAMBA MUNGU HAWEZI KUUMBA KITU CHENYE MAPUNGUFU ...au uongo?

Ikiwa hauamini vipi unajenga hoja ambayo hata mwenyewe huiamini?

Kusema unaamini sitokuambia kama unakubali Mungu yupo usiogope sina usulubu huo....

Bali nataka nihoji tu kwamba IMANI YAKO YA KUAMINI MUNGU HAWEZI KUUMBA MAPUNGUFU UMEITOA KWA MUNGU MWENYEWE (vitabu)AU UMEITOA AKILINI MWA WATU?

kama umeitoa katika Vitabu vya Mungu basi UTUPE KAULI NYINGINE YA MUNGU IKIBAINISHA ANASEMA KWAMA KIFO,MATETEMEKO N.K NI KATIKA MADHAIFU HAYO.

kama UMETOA akilini kwa watu sio kwa vitabu vya Mungu VIPI ITAKUWA HOJA HIYO WAKATI HILO HAKULISEMA MWENYEWE MUNGU?

Kisha unaposeema MGONGANO manake ni kwepo kwa vitu vyenye asili moja vinavopingana

Mfano leo Magufuli aseme tanzania ni Nchi tajiri kisha baadae Aseme Tanzania ni Nchi masikini.

Huu ndiyo mgongano kwa sababu mmoja huyo huyo anatoa kauli zinazopingana.

Haiwezekani ukasema kuna mgongano kwa sababu kauli moja inasema Tanzania ni Nchi tajiri kisha kuna kauli ya pili ya asiyekuwa magufuli anasema tanzania Nchi masikini.hapa huwezi kusema magufuli anagongana kauli zake.kwa sababu lazipa papatikane vitu(kauli)viwili vyenye asili moja(magufuli)

Sasa unaposema kuna mgongano kuhusu Mungu una maana kauli ama uumbaji wa Mungu unapingana.

Tuambie huko kupingana kwake.
 
Hivi kati ya kutengenezwa(kutokea na kuwepo)kwa gari

Na kutotengenezwa(kutotokea na kuwepo kwa gari)

Lipi kati ya hapo linaonyesha kwamba umetumika uwezo na Nguvu ya mfanyaji fulani mpaka likatokea tokeo?

Mwenye akili atasema hilo la kwanza.

Sasa unaposema Mungu angekuepo asingeumba kitu fulani na fulani na fulani.huoni kama asingeumba hivyo angetokea Mwingine AKASEMA KAMA MUNGU NDO MUUMBA VIPI HAKUUMBA KITU FULANI NA FULANI NA FULANI?

anaesema kama baba angekuepo angenilipia ada na kunipeleka shule na yule anaesema kama baba angekuepo asingenilipia ada na kunipeleka shule yupi hoja yake inanguvu hapa?


Mwenye akili atasema uwepo wa jambo(baba)utafanya matokeo yanayodaiwa(ada na kupeleka shule)

Sasa ikiwa uwepo wa huyo baba haufanyi mtoto alipiwe ada na kwenda shule.

Na pia kutokuwepo kwake hakufanyi mtoto alipiwe ada na kupelekwa shule.

kuna tofauti gani kati ya kuwepo baba na kutokuwepo ikiwa hakuna athari yeyote ile?
Faida zozote haziwezi kuzidi ukweli kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote asingeumba mapungufu hayo.

Tofauti yako wewe na mimi ni hii.

Wewe unafikiria ulimwengu uliopo.

Mimi nafikiria ulimwengu ambao ungewezekana kuwepo.
 
Labda angerudi kutoka huko umautini ambako anaishi kwa sasa baada ya kufariki,labda ningemuelewa maana angerudi na ishuhuda.....pamoja na kijiaminisha kwake kwamba hakuna uwezekano wa uwepo wa mwenyezi mungu hapa duniani,hatujui huko alipo kakutana nae au lah....[emoji19][emoji19]
 
Basi simamia msimamo wako binasfsi na wala usisimame nyuma ya mngongo wa Kiranga.
"DON'T USE ONE VERSE TO SATISFY YOUR IGNORANCE"
Wapi nimesimama kwa kutumia mgongo wa Kiranga???! ,mimi nimetumia biblia yenu inayosema kuwa Mungu ni perfect(Mathayo5:48) halafu nashangaa kwa nini ashindwe kuumba dunia ambayo ni perfect, yaani isiyo na magonjwa, ubakaji, ajali, vimbunga, tsunami e. t. c!!


Na unapojinadi kuwa nisitumie verse moja kufikia conclusion ina maana hiyo biblia yenu inajikana yenyewe?.... yaani ina maana kuwa kama verse fulani inasema kuwa mungu ni perfect halafu kuna verse nyingine inakuja kukana??!
 
I think this is a blunt scepticism because you cannot easily claim that Hawking's assertions are mere guessing.

In this regard it is better to take the advice of Neil deGrasse Tyson who said that it is better to evaluate how compelling the evidence is to us rather than blindly following it or dismissing it.

No.

It is situational.

Situational because it is dependent on a set of circumstances and in this case, Mr. Hawking hasn't provided anything new that wasn't known or hasn't been talked about before.

Thus far, no one really knows for certain about the existence or lack thereof, of the so called God.

The subject is still unknowable, either way.
 
Mambo ya Mungu na uumbaji ukiyachimbua sana unaishia kusikoishia!!
 
Naona umemshikia bwana kiranga bendera yake sasa na kuwa unalirudia swali hili mara nyingi sana na huyu bwana tulishamjibu ila tu kama unavojua huwa ana ubishani wa kitoto ule wa kizamani zamani.


Jawabu linakuja na maelezo marefu kama ifuatavyo.

Swali lako linasema KAMA MUNGU KAUMBA ULIMWENGU VIPI KUWE NA MAPUNGUFU NA MAJANGA MBALI MBALI?

NI hivi bwana Behaviourist
Kwanza kabisa katika mjadala wowote ule unapojenga hoja basi unajenga hoja hiyo kwa kuiamini kabisa kwamba ni hoja,huwezi ukajenga hoja ambayo hata mwenyewe huiamini labda kwa kubainisha tu(nitafafanua)

Mfano ukisema kwamba Rais magufuli kasema Nchi haina pesa hivyo hawezi kuongeza mishahara,wewe au mimi nikijenga hoja kwamba kama Nchi haina pesa vipi kanunua Ndege kubwa kapata wapi pesa hizo?

Hapa hoja yako ni Ndege kununuliwa bila shaka utakuwa na ushahidi na imani juu ya hoja yako hiyo.huwezi kusema unajengea hoja ambayo hata mwenyewe huiamini huo utakuwa ni uzwazwa.

Sasa mfano mtu akuulize vipi unaamini kama ndege imenunuliwa wewe useme aaaah siamini kama Ndege yenyewe imenunuliwa.hii inakuja kiakili?

Labda kwa watu ambao hukimbizana na makalio yao wenyewe wanaweza kusema hivyo.

Tunarudi pale pale kwamba hoja unayoijenga lazima uiamini kwanza ndipo utaitegemea kama hoja.

Sasa tukirudi katika swali lako kuwa "KAMA MUNGU NDO MUUMBA VIPI KUWE NA MAPUNGUFU MBALI MBALI?"

Hapo swali lako lina sehemu tatu.

Kuna Mungu

uumbaji
Mapungufu.

Sasa hapa tukitizama swali lako tunaona kuwa UNAAMINI KWAMBA MUNGU HAWEZI KUUMBA KITU CHENYE MAPUNGUFU ...au uongo?

Ikiwa hauamini vipi unajenga hoja ambayo hata mwenyewe huiamini?

Kusema unaamini sitokuambia kama unakubali Mungu yupo usiogope sina usulubu huo....

Bali nataka nihoji tu kwamba IMANI YAKO YA KUAMINI MUNGU HAWEZI KUUMBA MAPUNGUFU UMEITOA KWA MUNGU MWENYEWE (vitabu)AU UMEITOA AKILINI MWA WATU?

kama umeitoa katika Vitabu vya Mungu basi UTUPE KAULI NYINGINE YA MUNGU IKIBAINISHA ANASEMA KWAMA KIFO,MATETEMEKO N.K NI KATIKA MADHAIFU HAYO.

kama UMETOA akilini kwa watu sio kwa vitabu vya Mungu VIPI ITAKUWA HOJA HIYO WAKATI HILO HAKULISEMA MWENYEWE MUNGU?

Kisha unaposeema MGONGANO manake ni kwepo kwa vitu vyenye asili moja vinavopingana

Mfano leo Magufuli aseme tanzania ni Nchi tajiri kisha baadae Aseme Tanzania ni Nchi masikini.

Huu ndiyo mgongano kwa sababu mmoja huyo huyo anatoa kauli zinazopingana.

Haiwezekani ukasema kuna mgongano kwa sababu kauli moja inasema Tanzania ni Nchi tajiri kisha kuna kauli ya pili ya asiyekuwa magufuli anasema tanzania Nchi masikini.hapa huwezi kusema magufuli anagongana kauli zake.kwa sababu lazipa papatikane vitu(kauli)viwili vyenye asili moja(magufuli)

Sasa unaposema kuna mgongano kuhusu Mungu una maana kauli ama uumbaji wa Mungu unapingana.

Tuambie huko kupingana kwake.

Hii risala yako yote umeifanya kuwa irrelevant pale unapolazimisha kuwa katika statement yangu hapo juu nimedai kuwa kuna Mungu ambae siwezi hata kuthibitisha kama yupo!
 
Hii risala yako yote umeifanya kuwa irrelevant pale unapolazimisha kuwa katika statement yangu hapo juu nimedai kuwa kuna Mungu ambae siwezi hata kuthibitisha kama yupo!
Sielewi kizungu mkuu tiririka kiswahili nijue unakusudia nini(hata kiranga anajui mimi sijui kizungu)

Au umekusudia kwamba hoja uliyoitegemea hata mwenyewe huiamini?
 
Wapi nimesimama kwa kutumia mgongo wa Kiranga???! ,mimi nimetumia biblia yenu inayosema kuwa Mungu ni perfect(Mathayo5:48) halafu nashangaa kwa nini ashindwe kuumba dunia ambayo ni perfect, yaani isiyo na magonjwa, ubakaji, ajali, vimbunga, tsunami e. t. c!!


Na unapojinadi kuwa nisitumie verse moja kufikia conclusion ina maana hiyo biblia yenu inajikana yenyewe?.... yaani ina maana kuwa kama verse fulani inasema kuwa mungu ni perfect halafu kuna verse nyingine inakuja kukana??!
JE ULISHATAFUTA MAJIBU YA MASWALI YAKO KUTOKA KWENYE HIVYO VITABU ULIVYOSOMA, MAANA MFANO HIYO MATAYO HAIANZII 5:48. JE MWANZO WAKE UMESHAUSOMA?
 
Back
Top Bottom