Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Naona flat earthers mnaninukuu, lakini sioni mnachoandika kwa sababu nilishawaweka kwenye ignore list.

Nawakumbusha tu mpo katika ignore list kama nilivyowaambia.

Sina muda wa kujadiliana na flat earthers.
Wanaona wanachama wako watakufikishia.Si lazima uone wewe.
 
Prof John Lennox akiacha kuamini Mungu utakubali Mungu hayupo?

Yani Mungu wako hawezi kusimama mwenyewe, kusimama mpaka apate muhuri wa Prof. John Lennox?

Unaamini Mungu yupo kwa imani yako mwenyewe au kwa sababu Prof John Lennox kasema?

Akitokea Prof mkali kushinda John Lennox anasema Mungu hayupo, utaacha kuamini Mungu?

You are not making any sense whatsoever.

Hili swali jiulize ww pia unayeamini aliyoaandika Hawkins.
 
Mi mwenyewe naona kuna umuhimu wa kuwa block watu wa dzain hiyo
Mtu anakwambia the earth is flat mwaka huu 2019 nitajadiliana naye nini sasa?

Sanasana nitamtukana tu, sasa kuepusha mjadala kwenda kwenye matusi, unanuweka ignore list tu.

Ukiona mtu ananinukuu simjibu ujue kashaingia ignore list.

Hata anachoandika sioni.
 
You are not making any sense whatsoever.

Hili swali jiulize ww pia unayeamini aliyoaandika Hawkins.
Mimi sitaki kuamini, nataka kujua. Ndiyo maana nakutaka utoe uthibitisho wa kuwapo Mungu.

Zaidi, kwa asiyeamini kuwapo Mungu, mfano wangu hau apply.

Mtu ambaye haamini Mungu kuwapo, kuamini mtu si tatizo.

Mtu ambaye anaamini Mungu mjuzi wa yote yupo, akashindwa kuthibitisha Mungu yupo mpaka ahitaji kutumia ujiko wa Prof. John Lennox, ana matatizo katika uelewa wake wa hiyo Mungu.

Mimi sihitaji muhuri wa Prof. John Lennox kuamini uwepo wa Mungu. Kwa sababu Mungu yupo.

Wewe uneshindwa kuthibitisha Mungu yupo. Unatumia muhuri wa Prof. John Lennox kumuhalalisha Mungu wako.

Mungu wako ni kilema mpaka ahitaji wheelchair ya Prof. John Lennox?
 
Atakuambia thibitisha kuwa Mungu yupo acha longolongo.

Ukimuambia nithibitishe kwa njia gani (maana watu wameshatoa uthibitisho) hatakuambia njia anazotaka umthibitishe huyo Mungu, au labda anataka njia za kisayansi labda umchukue Mungu umuweke kwenye bunsen burner baadaye umweke kwenye test tubes na conical flasks umchanganye na sulphuric acid kisha ikitokea rangi flani ndio akubali Mungu yupo[emoji23][emoji38][emoji38]. Sasa kwa mindset hiyo hapa hata mjadiliane vipi hamtafikia mwisho, mtakesha.

Kimsingi hawezi kukubali uthibitisho wowote atakaopewa kuhusu uwepo wa Mungu which in turns inapelekea akatae na kupinga jibu lolote atakalopewa.

Anyaways, since we are God's creation, He has put his signature in our hearts and souls na mwisho wa yote hata upingeje, bado dhamiri ndani yako inakuambia kwamba God is there.

We have an opinion to deny and reject his existence but that wont change anything bse He surely exists.
BE BLESSED NADHAN UMEMUELEWA MINDSET YAKE...NI KUMUACHA TU NA UJINGA WAKE..AKILI ITAMKAA SAWA TU
 
Ni matendo mazuri kwa mfanyaji na mabaya kwa mfanyiwa.
Swali lipo pale pale.MUNGU NI MUWEZA WA YOTE.
Je! Maovu si sehemu ya YOTE?.
Duh! Ok twende hivyo hivyo.

Sasa hapo kwa tafsiri hiyo ya uwovu,suala la uwezo wote linahusika vp? Maana mimi nikifanya jambo langu zuri linakuwa baya kwa mwengine na ndiyo uwovu je jambo hilo nalo linahitaji uwezo?
 
Ebu eleza maana ya maneno haya:-MJUZI WA YOTE.

Alafu niambie kama MABAYA/MAOVU ni nje ya YOTE.
Mjuzi ni kiumbe hai chenye uwezo wa kufanya jambo fulani kwa ufanisi na kuelewa matokeo yake. Maana ya mjuzi wa yote utaipata kwa kunyambua neno jambo fulani kwenda kwenye mambo yote..
Kuhusu mabaya kuwa sehemu ya mambo yote sina pingamizi japokuwa sioni kwa jinsi gani itasaidia mjadala wako wa uwepo wa mungu..

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu wewe ni ngumbaru huwezi ukaelewa chochote.
Ingekuwa ni chaldish mtaala wa elimu ya sekondani wasingetumia.
Na kama huwezi kujenga hoja si lazima urushe matusi.
Sipendi ujinga na kama utarudia matusi nitakuweka kwenye ignore list ili nisione upuuzi wako tena.
aaah!! hahaaha ni kweli una-matatizo
 
Kuna mtu kashathibitisha Mungu yupo?

Napita tu kukagua kama uthibitisho umeshawekwa hapa.
 
Mjuzi ni kiumbe hai chenye uwezo wa kufanya jambo fulani kwa ufanisi na kuelewa matokeo yake. Maana ya mjuzi wa yote utaipata kwa kunyambua neno jambo fulani kwenda kwenye mambo yote..
Kuhusu mabaya kuwa sehemu ya mambo yote sina pingamizi japokuwa sioni kwa jinsi gani itasaidia mjadala wako wa uwepo wa mungu..

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote - ukiwampo uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya- na upendo wote aamue kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kuwepo kabisa?

Hujajibu swali hili.
 
Duh! Ok twende hivyo hivyo.

Sasa hapo kwa tafsiri hiyo ya uwovu,suala la uwezo wote linahusika vp? Maana mimi nikifanya jambo langu zuri linakuwa baya kwa mwengine na ndiyo uwovu je jambo hilo nalo linahitaji uwezo?
Kila jambo linahitaji uwezo.Au we unalo jambo lisilo hitaji uwezo?.

Alafu mkuu! Ebu jibu swali la awali kwanza,maana wewe unajaribu kuukimbia mjadala.

"MUNGU NI MUWEZA WA YOTE"

MAOVU NI NJE YA YOTE?.
 
Mjuzi ni kiumbe hai chenye uwezo wa kufanya jambo fulani kwa ufanisi na kuelewa matokeo yake. Maana ya mjuzi wa yote utaipata kwa kunyambua neno jambo fulani kwenda kwenye mambo yote..
Kuhusu mabaya kuwa sehemu ya mambo yote sina pingamizi japokuwa sioni kwa jinsi gani itasaidia mjadala wako wa uwepo wa mungu..

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Ikiwa umekubali kuwa MAOVU ni sehemu ya mambo yote!. Vipi useme eti Mungu muweza wa YOTE/Mjuzi wa yote.Apaswi kuruhusu maovu kutokea?.
Nafikiri umenielewa.
 
Back
Top Bottom