Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

The universe was created by Sir God.. Soma Section 6 of Act. No.6 of 1967
Those references are no more viable to prove God's existence, think out side of your affiliation.

Because they say that's why you believe ,you just fear nothing at all!
 
Those references are no more viable to prove God's existence, think out side of your affiliation.

Because they say that's why you believe ,you just fear nothing at all!
Maatheist mna makelele sana!

Mpaka Leo umeshadanganywa kuwa dunia ina "Sphere" shape, na wakati sio kweli.

Dunia iko flat, na hao wanasayansi uchwara washakuaminisha kuwa dunia iko round na umebaki kuitikia kwa kutikisa kichwa.
 
Maatheist mna makelele sana!

Mpaka Leo umeshadanganywa kuwa dunia ina "Sphere" shape, na wakati sio kweli.

Dunia iko flat, na hao wanasayansi uchwara washakuaminisha kuwa dunia iko round na umebaki kuitikia kwa kutikisa kichwa.
Poorest of all
 
Poorest of all
Sasa hapa tunapewa kazi ya kubishana na watu wa "flat earth society".

Ndiyo maana wengine huwa nawaweka kwenye ignore list tu.

Sasa mtu anakwambia the earth is flat, unaanza kubishana naye vipi?

What's next? Jua linazunguka dunia?
 
Wapumbavu wasema mioyoni mwao ya kuwa ni hakika hakuna Mungu
Zaburi....
Kama kweli wapumbavu wapo, huo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao inawezekana wapumbavu kuwemo.

Huo ungekuwa ni ukatili na uchoyo wa rehema ambao Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuwa nao.
 
Maatheist mna makelele sana!

Mpaka Leo umeshadanganywa kuwa dunia ina "Sphere" shape, na wakati sio kweli.

Dunia iko flat, na hao wanasayansi uchwara washakuaminisha kuwa dunia iko round na umebaki kuitikia kwa kutikisa kichwa.
Mungu wenu aliumba sayari, galaxies na meteorites nyingine siku ya ngapi? vitabu vyenu havijaandika .

You people are very funny those books are kept there just for commercial reason and to intimidate you to inflict fear among you that there is fire after life if you don't believe in them! When they are asked to prove that fire they keep dumb totally can not!


We the "true people" whatever you call us! are believing in evolution of the mankind from the development of that particle that brought life from the beginning and we can prove that.

My genes generate generations automatically proving my theory of the "big bang" ,thus, creation with no doubts at all.

When I die I still prove my theory of evolution I turn to other stage more spiritually advanced being more perfect than I am now.

I am still evolving like other bodies in the solar system that also prove the theory of big bang that your sacred books mainly bible and Quran did not write any of it!

Am energy I was neither created nor will be destroyed.


Am eternal.
 
Maatheist mna makelele sana!

Mpaka Leo umeshadanganywa kuwa dunia ina "Sphere" shape, na wakati sio kweli.

Dunia iko flat, na hao wanasayansi uchwara washakuaminisha kuwa dunia iko round na umebaki kuitikia kwa kutikisa kichwa.

Sayansi kukosea si ajabu, wao ndio hua wakwanza kukosoa kazi zao kuonesha zina makosa kabla hata we m'makonde hujapewa, na ndio maana inakosolewa


Biblia na Quran ndiyo unavyo viamini kua kila kilichoandikwa ni sahihi kwasababu ni vitabu vya mungu siyo??

Biblia ilipotosha kwa kuandika habari za uongo jua kuzunguka dunia galileo alivyokuja kufanya tafiti juu ya jambo hilo kupitia telescope akagundua dunia ndio inalizunguka jua. (Hapa utasema kati ya dini na sayansi ipi yenye inatupa habari za kweli?)

Quran ilivyowadanganya habari za jua kuzama matopeni mbona hujakanusha?
 
Mungu wenu aliumba sayari, galaxies na meteorites nyingine siku ya ngapi? vitabu vyenu havijaandika .

You people are very funny those books are kept there just for commercial reason and to intimidate you to inflict fear among you that there is fire after life if you don't believe in them! When they are asked to prove that fire they keep dumb totally can not!


We the "true people" whatever you call us! are believing in evolution of the mankind from the development of that particle that brought life from the beginning and we can prove that.

My genes generate generations automatically proving my theory of the "big bang" ,thus, creation with no doubts at all.

When I die I still prove my theory of evolution I turn to other stage more spiritually advanced being more perfect than I am now.

I am still evolving like other bodies in the solar system that also prove the theory of big bang that your sacred books mainly bible and Quran did not write any of it!

Am energy I was neither created nor will be destroyed.


Am eternal.

Do not transfer the debate...!

You've asked about the universe and galaxies and meteorites creation day.
Your question can be answered, but you first have to answer my question(s).

I have a single question to you on evolution.

Let's say Man's lifespan is 70 years, then why is evolution of man so difficult to find its evidences? No any historical proof than science bla bla that tell us there is evolution.

From 1000Bc to 2019 there no even a single proof that a man has changed from that to that and yet you believe it.

Seems like you don't understand Energy, you call yourself Energy, now tell me, before you were born where were you and which form of energy were you? And by this time, which energy form are you?

BTW, answer my basic questions about the flat earth.

If scientists have failed to understand the Earth is flat and probably stationary (not revolving, not spinning) how will they be right on critical issues like Creation and Evolution?
 
Sayansi kukosea si ajabu, wao ndio hua wakwanza kukosoa kazi zao kuonesha zina makosa kabla hata we m'makonde hujapewa, na ndio maana inakosolewa


Biblia na Quran ndiyo unavyo viamini kua kila kilichoandikwa ni sahihi kwasababu ni vitabu vya mungu siyo??

Biblia ilipotosha kwa kuandika habari za uongo jua kuzunguka dunia galileo alivyokuja kufanya tafiti juu ya jambo hilo kupitia telescope akagundua dunia ndio inalizunguka jua. (Hapa utasema kati ya dini na sayansi ipi yenye inatupa habari za kweli?)

Quran ilivyowadanganya habari za jua kuzama matopeni mbona hujakanusha?

Kama sayansi kukosea sio ajabu, huoni wamekosea kwenye mambo mengi waliofanya?

Na unaaminije mtu ambaye kwake ni rahisi kukosea kuliko kupatia?

Suala la dunia kuwa flat tu linatosha kukuonesha kuwa wanasayansi hawana tofauti na vichaa, Unaset kiwango cha kupimia kimo cha sehemu yeyote nchi kavu kwamba tutaanza kupimia baharini, kwamba kwenye maji ndio tunaanza kupima meter '0', kwamba maji yako flat dunia yote na unaelewa kabisa hilo lisingewezekana kama dunia ingekuwa 'sphere' na bado unatikisa kichwa kuamini dunia ni tufe....!!??

Kuhusu dunia kuzunguka jua ngoja nitakuletea facts ili twende sawa...!

Kitu chochote kinachobadilika hakipaswi kutupa majibu ya maswali yetu, Umethibitisha kuwa Sayansi inajikosoa kwa hiyo hatupaswi kuichukua Sayansi kama chanzo sahihi ya kujibu maswali yetu!

At least, Biblia na Quran tangu ziletwe kwa wanadamu hazijabadilishwa wala kuhaririwa, so I would rather believe in them and start to search whatever I want, from them than these science fictions...

Dunia inaongozwa na majitu yenye ukatili ulopitiliza ndio sababu wanasayansi hao hao wamekuaminisha kuwa Neil Armstrong ndiye binadamu was kwanza kutua mwezini na umeamini, wakakuambia na Marekani ndio ya kwanza kupeleka vyombo vyake mwezini ukaamini.

Sisiti kuwaita wanasayansi washenzi, Angalia wanachoifanyia Africa na dunia?

Wametengeneza Ebola, Ukimwi, magonjwa ya mimea na pengine mengi zaidi siyajui, bado tu unawaabudu.
 
Imani ni neno lenye matumizi sahihi kidini
Ili upate maana iliyo sawia ya neno hilo yakupasa uwe na mtazamo wa kidini_wenye dini ndio mnajua maana halisi ya neno hilo
Mimi sio wa kidini_kwa kulijua hilo kitambo tu nimeacha kulitumia kwa kuona linapelekea maana tofauti kwa wengine
Ila kwa neno 'kujua' nafahamu linatokana uthibisho wenye uhakika wa Jambo au taarifa_kuna kingine Mufti..?
Kwani mkuu dini na neno imani kipi kimetangulia? Sidhani kama kiuhalisia kuna binaadamu anayeweza kuishi bila kuamini au kuwa na imani katika maisha yake,hata huyo Kiranga anasema haiwezekani huwa anatoa hoja ya kwamba hata mtu ukipanga mipango yako ya kesho basi unatumia imani.
 
Kama sayansi kukosea sio ajabu, huoni wamekosea kwenye mambo mengi waliofanya?
Na mambo mengi ambayo wamepatia vipi tuyaweke kundi gani yanafaa au hayafai??
Na unaaminije mtu ambaye kwake ni rahisi kukosea kuliko kupatia?
kwa kukubali mapungufu yake anatoa mwanya wa kuendelea na uchunguzi wa kufikia ukweli halisi.

Suala la dunia kuwa flat tu linatosha kukuonesha kuwa wanasayansi hawana tofauti na vichaa
,
Habari yako haina evidence umeongea tu, umeonekana nawe huna tofauti na vichaa

Unaset kiwango cha kupimia kimo cha sehemu yeyote nchi kavu kwamba tutaanza kupimia baharini
Hivyi vipimo viligunduliwa na nani??
Unaitukana sayansi kua ni waongo halafu unatumia vipimo vilivyogunduliwa na sayansi hiyo hiyo???

kwamba kwenye maji ndio tunaanza kupima meter '0', kwamba maji yako flat dunia yote na unaelewa kabisa hilo lisingewezekana kama dunia ingekuwa 'sphere' na bado unatikisa kichwa kuamini dunia ni tufe....!!??
Nataka ulete vipimo vyako wewe au vilivyobuniwa na dini ili kui prove wrong sayansi. Ukiniambia unaanza kupima meter nitakuuliza unauhakika gani kwamba meter ndio kipimo sahihi wakati sayansi ni ukichaa??

Kuhusu dunia kuzunguka jua ngoja nitakuletea facts ili twende sawa...!
Nitazikubali facts zisizo na sura ya kisiasa zenye kujenga hoja bila kuhusisha sayansi ili nione ni namna gani sayansi ni upumbavu

Kitu chochote kinachobadilika hakipaswi kutupa majibu ya maswali yetu, Umethibitisha kuwa Sayansi inajikosoa kwa hiyo hatupaswi kuichukua Sayansi kama chanzo sahihi ya kujibu maswali yetu!
Kwa minajili hiyo tunapataje mwanya wa kuamini vitabu vya dini kua jua linazama kwenye matope eti kwasababu vitabu hivyo havijajikosoa vyenyewe??? Na je tunaweza kupata majibu ya maswali yetu kwa hakika kwenye habari zenye contradictions ndani yake???

At least, Biblia na Quran tangu ziletwe kwa wanadamu hazijabadilishwa wala kuhaririwa, so I would rather believe in them and start to search whatever I want, from them than these science fictions...
Swala sio at least, swala je vitabu visivyo na kasoro? Biblia na quran vyote vinapingana sasa tushike kipi tuache kipi na vyote haviwezi kua sahihi? Biblia imesema yesu alikufa msalabani quran imekanusha jambo hili, quran imesema ni dhambi kuingia ibadani na viatu Biblia imekanusha jambo hili. Utasemaje kua ni vitabu visivyokua na shaka wakati vinapingana??? na kama kuna mkanganyiko baina ya hivi vitabu viwili hivi unafikiri tunaweza kuvitegemea katika kupata majibu ya maswali yetu????

Dunia inaongozwa na majitu yenye ukatili ulopitiliza ndio sababu wanasayansi hao hao wamekuaminisha kuwa Neil Armstrong ndiye binadamu was kwanza kutua mwezini na umeamini, wakakuambia na Marekani ndio ya kwanza kupeleka vyombo vyake mwezini ukaamini.
Ukatili ni kitu cha namna gani kwako???

Ukatili kama ni jambo baya kwanini mungu wako ameuruhusu ujatili uwepo?? Huoni msingi mzima wa ukatili unaanzia kwa huyo mungu wako??

Navyojua mimi ukatili ni mamia ya watu kuteketezwa kwa moto kwenye habari za sodoma na gomora, ukatili ni mtoto mchanga kuzaliwa na upungufu wa viungo halafu mungu mwenye upendo wote, mjuzi wa yote na mwenye uwezo wote kamfanyia ukatili kwa kutompa viungo hivyo



Sisiti kuwaita wanasayansi washenzi, Angalia wanachoifanyia Africa na dunia?
Kuwaita wanasayansi washenzi hujakosea, ila ni vizuri unapotaka kukata mti uanze na shina sio matawi. Tunaona shina la ushenzi ni Mungu (shina) kwa kuumba ulimwengu ambao washenzi (matawi) wataweza kuwepo wakati angeweza kuumba ulimwengu bila ya washenzi kuwepo

Wametengeneza Ebola, Ukimwi, magonjwa ya mimea na
pengine mengi zaidi siyajui, bado tu unawaabudu
mungu wako alivyo sema kwenye isaya 45:7 kua yeye ndiye anayetengeneza uovu wote uliacha kumuabudu???? Au usimba na uyanga tu?
Ebola, ukimwi ni magonjwa mabaya??

Kama mabaya mbona mungu wenu hajayazuia, wakati vitabu vyake vimesema ni mjuzi wa yote na muweza wa yote na mwenye upendo wote halafu anawawazia mema viumbe vyake pia ameahidi kumlinda kila mmoja asiweze kudhurika na mabaya?? Huoni kwa kulalamikia ubaya wa magonjwa haya unakua umeonesha kua kilichoandikwa vitabuni ni uongo na kwa mantiki hiyo vitabu hivyo havipaswi kufuatwa ili kujua ukweli wa jambo? Umeona unavyo ji contadict mwenyewe??
 
Hahaha!

Naona umembana pakutokea kaona bora akimbie. Kiranga ukienda naye kwa hoja zenye mantiki huwa anakimbia siku zote, na hili nilishawahi kuliandika na mwenyewe anafahamu akaishia kusema leta ushahidi.

Ni sawa sawa alivyosema Imam Shafii kwamba Jahil kwa ujinga atakushinda tu. Ila ukisafiri naye kwa masafa ya elimu huwa anapwaya, na ndiyo huyu Kiranga. Ukiwauliza akili mnaifahamu na ipo? Watakujibu ipo! Na watafika mbali watasema fulani ni genius na fulani ni genius( kwamba matumizi yake ya akili yamevuka ule ukawaida wa wengi.)

Lakini ukiwauliza ni ipi iliyowathibitikia kama akili ipo? Kama akili tu hauioni, hauishiki wala huwezi kuihisi unaikubali kwamba ipo, ni mantiki ipi uliyoitumia? Lakini ukitumia mantiki hizo hizo wanazozitumia kuelezea uwepo wa Mungu, utawasikia leta ushahidi( yaani kama anavyoliona jiwe naye anataka vivyo hivyo ndiyo aambiwe Mungu ni yule)

Imam Abuu Hanifa kipindi akiwa na umri wa miaka 9 mahali anapoishi alikuja mwana faslafa mmoja kutoka Dola ya Kirumi. Akasimama mbele ya kadamnasi sokoni. Huyo Mrumi akawaambia mkinijibu maswali yangu 3 nakuwa Muislam(lakini lengo lake si kuwa muislam). Tutajikumbusha na swali moja tu.

Swali alilouliza kabla ya Mungu kulikuwa na nini? Na ndiyo maswali ya akina Kiranga. Soko lote likawa kimya! Imam Abuu Hanifa akamuomba baba yake ampe ruhusa ya kujibu hilo swali. Imam akamuuliza yule Mrumi, namba zinaanzia ngapi mpaka ngapi? Mrumi akajibu 1-9. Imam Abuu Hanifa akamwambia azisome kwa kurudi nyuma(kuanzia 9-1).

Yule Mrumi alivyofika kwenye 1 akawa kimya akasema nimemaliza. Imam akamuuliza hamna namba kabla ya 1? Mrumi akajibu ndiyo. Imam akamwambia kama kwa simple logic tu kama hiyo unaamini kabla ya namba 1 hamna namba nyengine, na unaamini 1 ni muanzilishi wa namba nyengine iweje uwe na hofu au uwe na nadharia nyingi kuhusu uwepo wa Mungu?

Imam akamwambia mfano wa namba 1 ni kama mfano kwa Mungu. Hakuna kabla yake bali yupo yeye tu! Na yeye ndiye muanzilishi wa kila kitu.
Nakuachia kazi juu ya haya niliyo kuuliza na ukawaulize wakubwa zako. Ukipenda siku yoyote kunijibu utanijibu,ila najua huwezi ndio maana umetafuta pa kujificha.

Huwa nakwambia na hapa natilia mkazo kwa kauli hii "Tengeneza kiti chako kwanza kabla ya kukitia nakshi".
 
Kama kweli wapumbavu wapo, huo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao inawezekana wapumbavu kuwemo.

Huo ungekuwa ni ukatili na uchoyo wa rehema ambao Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hawezi kuwa nao.
God can do anything actually..anything he wants
Kinachowaponza ni kiburi
Kama shetani alivoanza
 
God can do anything actually..anything he wants
Kinachowaponza ni kiburi
Kama shetani alivoanza
Kabla ya kurukia kwamba God can do anything. Unaweza ku prove this God of yours exists at all?

Kwa sababu mtu yeyote anaweza kutunga uongo wowote na kusema uongo wowote huo unaweza kufanya chochote.

Kusema hilo si tatizo. Tatizo ku prove.

Unaweza ku prove huyo Mungu yupo?
 
Na mambo mengi ambayo wamepatia vipi tuyaweke kundi gani yanafaa au hayafai??

kwa kukubali mapungufu yake anatoa mwanya wa kuendelea na uchunguzi wa kufikia ukweli halisi.

,
Habari yako haina evidence umeongea tu, umeonekana nawe huna tofauti na vichaa


Hivyi vipimo viligunduliwa na nani??
Unaitukana sayansi kua ni waongo halafu unatumia vipimo vilivyogunduliwa na sayansi hiyo hiyo???


Nataka ulete vipimo vyako wewe au vilivyobuniwa na dini ili kui prove wrong sayansi. Ukiniambia unaanza kupima meter nitakuuliza unauhakika gani kwamba meter ndio kipimo sahihi wakati sayansi ni ukichaa??


Nitazikubali facts zisizo na sura ya kisiasa zenye kujenga hoja bila kuhusisha sayansi ili nione ni namna gani sayansi ni upumbavu


Kwa minajili hiyo tunapataje mwanya wa kuamini vitabu vya dini kua jua linazama kwenye matope eti kwasababu vitabu hivyo havijajikosoa vyenyewe??? Na je tunaweza kupata majibu ya maswali yetu kwa hakika kwenye habari zenye contradictions ndani yake???


Swala sio at least, swala je vitabu visivyo na kasoro? Biblia na quran vyote vinapingana sasa tushike kipi tuache kipi na vyote haviwezi kua sahihi? Biblia imesema yesu alikufa msalabani quran imekanusha jambo hili, quran imesema ni dhambi kuingia ibadani na viatu Biblia imekanusha jambo hili. Utasemaje kua ni vitabu visivyokua na shaka wakati vinapingana??? na kama kuna mkanganyiko baina ya hivi vitabu viwili hivi unafikiri tunaweza kuvitegemea katika kupata majibu ya maswali yetu????


Ukatili ni kitu cha namna gani kwako???

Ukatili kama ni jambo baya kwanini mungu wako ameuruhusu ujatili uwepo?? Huoni msingi mzima wa ukatili unaanzia kwa huyo mungu wako??

Navyojua mimi ukatili ni mamia ya watu kuteketezwa kwa moto kwenye habari za sodoma na gomora, ukatili ni mtoto mchanga kuzaliwa na upungufu wa viungo halafu mungu mwenye upendo wote, mjuzi wa yote na mwenye uwezo wote kamfanyia ukatili kwa kutompa viungo hivyo




Kuwaita wanasayansi washenzi hujakosea, ila ni vizuri unapotaka kukata mti uanze na shina sio matawi. Tunaona shina la ushenzi ni Mungu (shina) kwa kuumba ulimwengu ambao washenzi (matawi) wataweza kuwepo wakati angeweza kuumba ulimwengu bila ya washenzi kuwepo


Ebola, ukimwi ni magonjwa mabaya??

Kama mabaya mbona mungu wenu hajayazuia, wakati vitabu vyake vimesema ni mjuzi wa yote na muweza wa yote na mwenye upendo wote halafu anawawazia mema viumbe vyake pia ameahidi kumlinda kila mmoja asiweze kudhurika na mabaya?? Huoni kwa kulalamikia ubaya wa magonjwa haya unakua umeonesha kua kilichoandikwa vitabuni ni uongo na kwa mantiki hiyo vitabu hivyo havipaswi kufuatwa ili kujua ukweli wa jambo? Umeona unavyo ji contadict mwenyewe??

Inaelekea wewe ni mzito kuelewa, Mwanasayansi amesema bahari/maji ndio yatakuwa standard ya kuanza kupima mwinuko was ardhi ya mahala popote duniani, na unajua kabisa maji hayawezi kukaa juu ya tufe bila kumwagika, haya, anakuja anakwambia duara ni duara/tufe na wewe unamwitikia na kukubaliana nae!?
Huyo mtu ni timamu? Nawe hauko sawa bila shaka.

Nioneshe mambo matatu tu wanasayansi walopatia...

Mungu alipotuumba alitupa utashi wa kuishi kistaarabu ama kihuni, ni kwanini kundi linalosemekana ndio limeelimika sana liishi kihuni kuliko makundi mengine?
 
Inaelekea wewe ni mzito kuelewa, Mwanasayansi amesema bahari/maji ndio yatakuwa standard ya kuanza kupima mwinuko was ardhi ya mahala popote duniani, na unajua kabisa maji hayawezi kukaa juu ya tufe bila kumwagika, haya, anakuja anakwambia duara ni duara/tufe na wewe unamwitikia na kukubaliana nae!?
Huyo mtu ni timamu? Nawe hauko sawa bila shaka.

Nioneshe mambo matatu tu wanasayansi walopatia...

Mungu alipotuumba alitupa utashi wa kuishi kistaarabu ama kihuni, ni kwanini kundi linalosemekana ndio limeelimika sana liishi kihuni kuliko makundi mengine?

Haya tufanye maji hayawezi kumwagika yakiwa juu ya tufe, je jua linaweza kuzama kwenye matope meusi???
 
Back
Top Bottom