God exists but not in a comprehensible form.If God becomes comprehensible then he is not God in his entirety.It is therefore logical to say that human mind has no ability to comprehend the existence of God rather we can only comprehend our own existence to a limited degree.We therefore are correct if we say God does not exist within the limits of our own understanding.
Kila jambo linahitaji uwezo.Au we unalo jambo lisilo hitaji uwezo?.
Alafu mkuu! Ebu jibu swali la awali kwanza,maana wewe unajaribu kuukimbia mjadala.
"MUNGU NI MUWEZA WA YOTE"
MAOVU NI NJE YA YOTE?.
Ni uwezo gani ambao unahitajika katika kufanya uovu? Kwa sababu wewe umesema ukifanya ambalo ni zuri kwako lakini baya kwa mwengine huo ndio uovu,sasa hapo ni uwezo gani unaohitajika kufanya uovu? Sijui kama unanielewa.
Ikiwa umekubali kuwa MAOVU ni sehemu ya mambo yote!. Vipi useme eti Mungu muweza wa YOTE/Mjuzi wa yote.Apaswi kuruhusu maovu kutokea?.
Nafikiri umenielewa.
Atakuambia thibitisha kuwa Mungu yupo acha longolongo.
Ukimuambia nithibitishe kwa njia gani (maana watu wameshatoa uthibitisho) hatakuambia njia anazotaka umthibitishe huyo Mungu, au labda anataka njia za kisayansi labda umchukue Mungu umuweke kwenye bunsen burner baadaye umweke kwenye test tubes na conical flasks umchanganye na sulphuric acid kisha ikitokea rangi flani ndio akubali Mungu yupo[emoji23][emoji38][emoji38]. Sasa kwa mindset hiyo hapa hata mjadiliane vipi hamtafikia mwisho, mtakesha.
Kimsingi hawezi kukubali uthibitisho wowote atakaopewa kuhusu uwepo wa Mungu which in turns inapelekea akatae na kupinga jibu lolote atakalopewa.
Anyaways, since we are God's creation, He has put his signature in our hearts and souls na mwisho wa yote hata upingeje, bado dhamiri ndani yako inakuambia kwamba God is there.
We have an opinion to deny and reject his existence but that wont change anything bse He surely exists.
Sio kwako wewe msoma vitabu vichache na kushikilia maandishi yao. Kama umeshindwa kurefer vitabu vyako na kujibu jinsi uumbaji ulivyoanza? Who am I?
Wenzio wakiona jani au udongo au mlima au kiumbe hawahitaji vitabu kujua kuna aliezitunga formula wanazojifunza wanasayansi.
Sio kwako wewe msoma vitabu vichache na kushikilia maandishi yao. Kama umeshindwa kurefer vitabu vyako na kujibu jinsi uumbaji ulivyoanza? Who am I?
Wenzio wakiona jani au udongo au mlima au kiumbe hawahitaji vitabu kujua kuna aliezitunga formula wanazojifunza wanasayansi.
[QUOTE="Kiranga, post: 31902821, member: .......
Thibitisha Mungu yupo. Tuambie hiyo unayosema kazi ya Mungu ni ipi na unajuaje ni kazi ya Mungu si ya kingine chochote.
[/QUOTE]
Hapo umeanza kuelewa na kutumia akili.
Unajua na unakiri kuna Mungu au kingine...
So unakiri kuna force beyobd time beyond akili yetu ilioanzisha existence.
THAT IS GOD.
HONGERA Nilijua tu utafika hapa.
Asante case closed.
Now if you choose to bow your humanly head to God or not thats up to you
="Kiranga, post: 31902821, member: .......
Thibitisha Mungu yupo. Tuambie hiyo unayosema kazi ya Mungu ni ipi na unajuaje ni kazi ya Mungu si ya kingine chochote.
"Haika, post: 31926263, member: 9657"
Hapo umeanza kuelewa na kutumia akili.
Unajua na unakiri kuna Mungu au kingine...
So unakiri kuna force beyobd time beyond akili yetu ilioanzisha existence.
THAT IS GOD.
HONGERA Nilijua tu utafika hapa.
Asante case closed.
Now if you choose to bow your humanly head to God or not thats up to you
In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the "quiet revolution" of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today's researchers differ from what people have always thought. The story of...
www.jameskugel.com
How to Read the Bible A Guide to Scripture, Then and Now READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?
In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.
Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.
How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
There are people who read other poples writings and those who think observe and write.
You read to know what somebodys mind is like. You dont make it yours haraka haraka.
Take time use your capabilities to establish and know what you can geow above the writer.
There are people who reads other poples writing and th9se who think obseeve and write.
You read to know what somebodys mind is like. You dont make it yours haraka haraka.
Take time use your capabilities to establish and know what you can geow above the writer.
Unavyoanza na "There are people who reads..." tu, kwa mtu anayeielewa hiyo lugha na kujali mpangilio wake tayari kashakutoa katika watu wanaojua kuandika na hivyo, utakachoandika chochote kinakuwa chini ya wingu la ungumbaru.
Halafu unarudia kurukia hitimisho kwamba nikisoma nazoa yote na kuyakubali tu bila kuchekecha mwenyewe.
Nitakuwa nakosea kuwaza kuwa theory ya Mungu unayoipinga ni zaidi inayojitokeza kutoka kwa watu wa mid east?
Ambao wanatumia vitabu maarufu kama biblia na Kurani?
Manake huyu Hawkings ndio alikuwa anazungumzia Mungu wa hivi vitabu. Wewe je?
Nitakuwa nakosea kuwaza kuwa theory ya Mungu unayoipinga ni zaidi inayojitokeza kutoka kwa watu wa mid east?
Ambao wanatumia vitabu maarufu kama biblia na Kurani?
Manake huyu Hawkings ndio alikuwa anazungumzia Mungu wa hivi vitabu. Wewe je?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.