CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wewe fala mimi siishi kwa uchawa kama wewe bwege mtozeni wewe.Ujinga tu ndio umekujaa.acha wivu fanya kazi na siyo kupiga umbeya wako hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe fala mimi siishi kwa uchawa kama wewe bwege mtozeni wewe.Ujinga tu ndio umekujaa.acha wivu fanya kazi na siyo kupiga umbeya wako hapa
Wewe mpiga domo tutWewe fala mimi siishi kwa uchawa kama wewe bwege mtozeni wewe.
Utakufa wewe na kuiacha CCM madarakaniccm inaelekea kufa,na mzee asipoangalia nayeye watamharakisha umri alionao niwakutafakari mapito yake nakurekebisha
Ndugu zangu Watanzania,
Chuma cha Reli, Mwamba Mwenyewe ,Nguli wa Siasa na Jabali la siasa Stephen Wasira Makamu Mwenyeki wa CCM Taifa Ametua kibabe kwelikweli katika uwanja wa ndege wa Songwe . kwa ajili ya kuanza ziara katika mkoa wa Songwe. Ambako anatarajiwa kuwasha Moto 🔥 mkali kwelikweli kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika.
Kabla ya kuweka miguu yake chini alipokelewa na kulakiwa na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa songwe Mheshimiwa sana Daniel Chongolo , Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Songwe Ndugu Radwell Mwampashe na viongozi wengine wengi sana wakiwepo wabunge mbalimbali wa Mkoa wa Songwe.
Akiwa mwenye tabasamu ,furaha na bashasha,nguvu na stamina Mheshimiwa Wasira alisalimiana na viongozi hao kikakamavu kabisa kama komandoo aliyetoka Kumaliza mafunzo yake na kufaulu vyema kabisa.
Tayari wananchi wa mkoa wa songwe wanashauku kubwa sana ya kumsikiliza na kumpokea Makamu wetu wa CCM Taifa. Hii ni kutokana na kutambua uchapakazi wake,uhodari wake na uzalendo wake uliotukuka katika utumishi wa umma na namna alivyojitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya chama na Taifa letu.View attachment 3269466View attachment 3269467View attachment 3269468View attachment 3269469View attachment 3269471
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unalipa kodi shilingi ngapi na ukapuku wako wa akiliYa baba yako, kwa ujinga wako haujui kuwa sehemu ya kodi yangu ndiyo imenunua hiyo ndege, CCM ina magarasa kila kona.
Wivu tu ndio unakusumbua.Huyu labda awe ametoka kupuliza vuvuzela ,vidampa kama hawa wanawekwa kwenye wale washangiliaji wakulipwa wapuliza vuvuzela hapo amesharudi jioni mashavu yanamuuma kaambulia buku 7.
Wivu tu ndio unakusumbua.
Mimi nikuonee wewe wivu ?Wivu tu ndio unakusumbua.
Ndugu zangu Watanzania,
Chuma cha Reli, Mwamba Mwenyewe ,Nguli wa Siasa na Jabali la siasa Stephen Wasira Makamu Mwenyeki wa CCM Taifa Ametua kibabe kwelikweli katika uwanja wa ndege wa Songwe . kwa ajili ya kuanza ziara katika mkoa wa Songwe. Ambako anatarajiwa kuwasha Moto 🔥 mkali kwelikweli kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika.
Kabla ya kuweka miguu yake chini alipokelewa na kulakiwa na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa songwe Mheshimiwa sana Daniel Chongolo , Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Songwe Ndugu Radwell Mwampashe na viongozi wengine wengi sana wakiwepo wabunge mbalimbali wa Mkoa wa Songwe.
Akiwa mwenye tabasamu ,furaha na bashasha,nguvu na stamina Mheshimiwa Wasira alisalimiana na viongozi hao kikakamavu kabisa kama komandoo aliyetoka Kumaliza mafunzo yake na kufaulu vyema kabisa.
Tayari wananchi wa mkoa wa songwe wanashauku kubwa sana ya kumsikiliza na kumpokea Makamu wetu wa CCM Taifa. Hii ni kutokana na kutambua uchapakazi wake,uhodari wake na uzalendo wake uliotukuka katika utumishi wa umma na namna alivyojitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya chama na Taifa letu.View attachment 3269466View attachment 3269467View attachment 3269468View attachment 3269469View attachment 3269471
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mpumbavu wewe, kwahiyo anayelipa kodi kubwa ndiye pesa zake zimenunua ndege! Nalipa sh. 500/=, umezikuta nje ya TRA zimetupwa! Ndiyo sababu nimesema CCM imejaa magarasa.Unalipa kodi shilingi ngapi na ukapuku wako wa akili
Mkuu, hivi unajua kuwa Wasira ana tuhuma za kula pesa zilizochangwa na wananchi wa mkoa wa Mara kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya mkoa, na ujenzi ukasimama mpaka alipokuja shujaa kuimalizia? Wakati huo yeye alikuwa RC wa Mara.Tayari wananchi wa mkoa wa songwe wanashauku kubwa sana ya kumsikiliza na kumpokea Makamu wetu wa CCM Taifa. Hii ni kutokana na kutambua uchapakazi wake,uhodari wake na uzalendo wake uliotukuka katika utumishi wa umma na namna alivyojitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya chama na Taifa letu.
Wewe chawa unayeishi kwa kula makombo toka mezani kwa wakubwa kinachofuata utainamishwa bwege wewe.Wewe mpiga domo tut
For emergency hahaKwenye picha ya kwanza kuna wheelchair ya nini?
Kodi wanalipa wenye akili TimamuMpumbavu wewe, kwahiyo anayelipa kodi kubwa ndiye pesa zake zimenunua ndege! Nalipa sh. 500/=, umezikuta nje ya TRA zimetupwa! Ndiyo sababu nimesema CCM imejaa magarasa.
Ya furaha ama?Magonjwa Mtambuka yanamkabili huyo Babu, muda wowote Lucas Mwashambwa na CCM wenzake watabubujikwa na machozi