Habari zenu wanajamvi:-
kiukweli mh. Wassira angekuwa mchafu, ukawa tunge mmaliza na kwa dalili hii anaweza kuwaletea ushindi mkubwa ccm 2015 endapo watampendekeza apeperushe bendera ya ccm 2015.
1. Ni jasiri
2. Mpenda maendeleo
3. Anayejua matatizo ya watanzania
4. Mzalendo
5. Anayeguswa na shida za wananchi
6. Muadilifu
7. Mwenye afya njeema kabisa
8. Mchumi mzuri wakutatua tatizo la ajira na umasikini tanzania
9. Mwenye uzoefu wa kitaifa na kimataifa.
Atatusumbua sana ukawa. Yani nafuu yetu asipewe mh. Wassira ila akipitishwa tu, ccm itashinda kwa
kishindo 2015 kuanzia urais hadi wabunge
View attachment 217498View attachment 217499