Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

watanzania walio wengi ni wataalamu wa kushabikia lakin ni wavuvu kusoma ni wagumu kukubali wasiotaka kuyasikia wanapenda kuletewa habari zenye udhaifu wa mtu fulani lakin si uzuri wa mtu fulani

lakin nasikitika kwa kuwa hatupendi kushughulisha akili zetu hasa sisi vijana tumekuwa mstari wa mbele kulalamika juu ya jambo fulani lakin ni wagumu wa kufanya utafiti...

swali la msingi je umewahi kufikiri kuwa ifike mahali tuchague mtu na tusibbwe sana na uchama??

je ni kwanini tuwe watumwa wa fikra ??
kwanini ukubali kuishi maisha ya taabu wakati viongozi wazuri wapo??? nionavyo mimi wasira kalitendea hili taifa haki kwa umri wake kuwa kazini na uadilifu alioishi anastahili kuingia ikulu huyu.mzee ni lulu hapa nchini ni tegemeo na ndio dira ya taifa kwa kizazi cha sasa ya sasa..
ubora wake ni katika historia yake pia utendaji kazi wake na uadilifu wake ni kiongozi asiyejilimbikizia mali ni kiongozi mwenye uzoefu na mwenye kuijua nchi hii vizuri.
ni mda sasa wa kuangalia kiongozi mwenye uwezo mkubwa wa kusimamia kuamua na kutatua migogoro sio kufanya maamuzi ya kukurupuka... WASIRA NI BORA KWA NCHI ILIVYO SASA
 
Rais tumtakae 2015 ni lazima:Awe mzalendo kwa vitendo;

Awe na uchungu na Rasilimali zetu;Achukie ufisadi na rushwa na lazima atuonyeshe kuwa anakerwa na mambo kwa dhati;Aheshimu Demokrasia;Asiwe mKabila,mDini au mKanda;Asiwe na kashfa za Ufisadi;Asiwe na tamaa ya madaraka;Asiwe ni miongoni mwa walio laaniwa na Baba wa Taifa;Awe ni mwanaSiasa anayependelea siasa safi;

Anayechukia na kuzikemea siasa chafu;Awe ni mwenye maono ya mbali;Mwenye mawazo ambayo yalileta matokeo mazuri iwe katika Chama chake cha Siasa au serikali aliyowahi kuitumikia;Awe anapendelea uwazi na awe tayari kutuambia Watanzania kiasi cha mali anachomiliki na atuambie namna alivyoipata hiyo mali;

Aiunge mkono Rasimu ya Katiba mpya;Akerwe na matumizi makubwa yasiyo na tija kwa Taifa yanayofanywa na Serikali;Achukie uchumi unaendeshwa kwa Mikopo;Akerwe na deni la Taifa;Achukie mfumko wa Bei;Achukie uduni wa miundo mbinu yetu ya barabara na reli;Na awe anapendelea diplomasia ya kiuchumi na Mataifa mengine.

Haya NDIO moja YA mambo ambayo MZEE WASIRA ANAKERWA NAYO NA HIO NDIO SIFA YA KWA NINI NAMUUNGA MKONO KWA DHATI ImageUploadedByJamiiForums1423599937.035987.jpg
 
Itoshe kusema kuwa wapambe wa Wassira, Membe, Pinda, Nchemba mnatukera sana humu Jamvini... Haya matakataka mnayojitahidi kuyauza humu HAYAUZIKI hata kwa dinari moja!!! Hayana thamani mbele ya Watanzania ... Wameifanyia nini Taifa hili Zaidi ya kulitia Najisi? Muulize huyo Wassira ilikuwaje Nyerere akampotezea baada ya kuendekeza Ukabila uliopitiliza kwenye kiwanda cha Mutex? ...
Rais tumtakae 2015 ni lazima:Awe mzalendo kwa vitendo;



Awe na uchungu na Rasilimali zetu;Achukie ufisadi na rushwa na lazima atuonyeshe kuwa anakerwa na mambo kwa dhati;Aheshimu Demokrasia;Asiwe mKabila,mDini au mKanda;Asiwe na kashfa za Ufisadi;Asiwe na tamaa ya madaraka;Asiwe ni miongoni mwa walio laaniwa na Baba wa Taifa;Awe ni mwanaSiasa anayependelea siasa safi;



Anayechukia na kuzikemea siasa chafu;Awe ni mwenye maono ya mbali;Mwenye mawazo ambayo yalileta matokeo mazuri iwe katika Chama chake cha Siasa au serikali aliyowahi kuitumikia;Awe anapendelea uwazi na awe tayari kutuambia Watanzania kiasi cha mali anachomiliki na atuambie namna alivyoipata hiyo mali;



Aiunge mkono Rasimu ya Katiba mpya;Akerwe na matumizi makubwa yasiyo na tija kwa Taifa yanayofanywa na Serikali;Achukie uchumi unaendeshwa kwa Mikopo;Akerwe na deni la Taifa;Achukie mfumko wa Bei;Achukie uduni wa miundo mbinu yetu ya barabara na reli;Na awe anapendelea diplomasia ya kiuchumi na Mataifa mengine.



Haya NDIO moja YA mambo ambayo MZEE WASIRA ANAKERWA NAYO
NA HIO NDIO SIFA YA KWA NINI NAMUUNGA MKONO KWA DHATIView attachment 225925
 
Hakuna kiongozi mwingine mwenye sifa hizo zaidi ya wassira!

Hakika watanzania hawana mubadala wa wassira! matumaini ya kweli ya watanzania yapo kwa wassira!
 
Itoshe kusema kuwa wapambe wa Wassira, Membe, Pinda, Nchemba mnatukera sana humu Jamvini... Haya matakataka mnayojitahidi kuyauza humu HAYAUZIKI hata kwa dinari moja!!! Hayana thamani mbele ya Watanzania ... Wameifanyia nini Taifa hili Zaidi ya kulitia Najisi? Muulize huyo Wassira ilikuwaje Nyerere akampotezea baada ya kuendekeza Ukabila uliopitiliza kwenye kiwanda cha Mutex? ...

Acha uongo pumbavu ww japo najua wewe Nili babu lakin nilipumbavu
Unaongea umbea tu
 
...Hata kufunga koti hana makuu ali mradi koti lifunge tu.
 
Hakuna kiongozi mwingine mwenye sifa hizo zaidi ya wassira!

Hakika watanzania hawana mubadala wa wassira! matumaini ya kweli ya watanzania yapo kwa wassira!
Hivi unajua huyu bwana ameshakumbwa na kashfa ya rushwa huko jimboni kwake,hilo mbona hukuliweka hapa?
Hakuna mtu wenye uwezo wa kusimama CCM ya Leo na kusema Mimi hapa msafi............
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umesahau kashahukumiwa na kesi ya Rushwa? Unasema hapendi rushwa!!!
 
Rais tumtakae 2015 ni lazima:Awe mzalendo kwa vitendo;



Awe na uchungu na Rasilimali zetu;Achukie ufisadi na rushwa na lazima atuonyeshe kuwa anakerwa na mambo kwa dhati;Aheshimu Demokrasia;Asiwe mKabila,mDini au mKanda;Asiwe na kashfa za Ufisadi;Asiwe na tamaa ya madaraka;Asiwe ni miongoni mwa walio laaniwa na Baba wa Taifa;Awe ni mwanaSiasa anayependelea siasa safi;



Anayechukia na kuzikemea siasa chafu;Awe ni mwenye maono ya mbali;Mwenye mawazo ambayo yalileta matokeo mazuri iwe katika Chama chake cha Siasa au serikali aliyowahi kuitumikia;Awe anapendelea uwazi na awe tayari kutuambia Watanzania kiasi cha mali anachomiliki na atuambie namna alivyoipata hiyo mali;



Aiunge mkono Rasimu ya Katiba mpya;Akerwe na matumizi makubwa yasiyo na tija kwa Taifa yanayofanywa na Serikali;Achukie uchumi unaendeshwa kwa Mikopo;Akerwe na deni la Taifa;Achukie mfumko wa Bei;Achukie uduni wa miundo mbinu yetu ya barabara na reli;Na awe anapendelea diplomasia ya kiuchumi na Mataifa mengine.



Haya NDIO moja YA mambo ambayo MZEE WASIRA ANAKERWA NAYO
NA HIO NDIO SIFA YA KWA NINI NAMUUNGA MKONO KWA DHATIView attachment 225925


Ras Kisuse Kwanini alichukia kutotangazwa kuwa MGENI RASMI kwenye MKUTANO wa WASABATO badala yake wakamtangaza MEMBE? kama hapendi Makuu angeacha hayo yapite basi???


Uh POSITION MATTER...
 
Haku kiongozi mwingine mwenye sifa hizo zaidi ya wassira!

Hakika watanzania hawana mubadala wa wassira! matumaini ya kweli ya watanzania yapo kwa wassira!
labda akagombea uraisi wa manzese
 
Watanzania ndio wanaomhitaji kwa kuwa wanamwona WASSIRA hana hata chembe ya ufisadi yeye maisha yake yote kayatoa kwa watanzania! Tunakutakia kila la kheri katika safari yako ya kuelekea plot no 1
 
Back
Top Bottom