Ciprofloxacin
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 286
- 544
Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Shujaa wa Afrika? Hivi neno shujaa mbona mnalitumia hovyo hovyo?Ni Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Yes ....Kama mwendazake..Deadwood (noun): = people or things that are no longer useful or productive.
Unafundishwa bado unakosea. Unapewa maana halisi bado kichwa kigumu.Yes ....Kama mwendazake..
.patriot mi huko nlishatoka...Yani can't imagine you have been reduced to this level of thinking...wewe jamaa Kama hujabadili status. We miaka mingi nyuma arguments zako zilikuwa kwenye level ya kina #nguruvi..kiranga...etc etc..lakini baada ya kuasi na kuanza kuabudu ushetani wa utawala uliopita umekuwa so shallow..to the point ya kuanza kuangalia typos na grammar kweli!we na kina mwanakijiji..need a change to your wasted brains...and I mean this....najua wote ukabila ndio ulichangia kuwatoa akili...Unafundishwa bado unakosea. Unapewa maana halisi bado kichwa kigumu.
Marehemu ni deadwood? Hujui english. Rudi class 5 ujifunze grammar.
Na Mie nilitaka kuuliza hivi alishamalizanaga na Esther Bulaya? Mzee aliwahi rusha ngumu Kwa mwandishi.Huyu dawa yake ni yule dada wa Chadema
Unaandika nini hapa wewe? Soma ulichoandika. Nini hiki? Kiingereza, hovyo!! Sentensi hazielweki!.patriot mi huko nlishatoka...Yani can't imagine you have been reduced to this level of thinking...wewe jamaa Kama hujabadili status. We miaka mingi nyuma arguments zako zilikuwa kwenye level ya kina #nguruvi..kiranga...etc etc..lakini baada ya kuasi na kuanza kuabudu ushetani wa utawala uliopita umekuwa so shallow..to the point ya kuanza kuangalia typos na grammar kweli!we na kina mwanakijiji..need a change to your wasted brains...and I mean this....najua wote ukabila ndio ulichangia kuwatoa akili...
.....huna hoja....Unaandika nini hapa wewe? Soma ulichoandika. Nini hiki? Kiingereza, hovyo!! Sentensi hazielweki!
Usishangae tupo hapa kuwafundisha watu wa aina yako.
Hata kindergarten huwa nafundisha mimi! Tatizo ni uwezo mdogo wa kujiongeza ulionao. Unaweza kulazimisha neno Deadwood liwe na maana ya marehemu?
Sasa yuko huko huko ndani ya CCM kwa mbeleko ya Ndugai. Sijui Ndugai atawajibu nini wana CCM wenzake maana waliyeshiriki naye kuwavuta hawa Covid 19 kishakua Mwendazake.Huyu dawa yake ni yule dada wa Chadema
Akumuona tu amani inatoweka kabisa.Na Mie nilitaka kuuliza hivi alishamalizanaga na Esther Bulaya? Mzee aliwahi rusha ngumu Kwa mwandishi.
Shujaa wa CHATONi Rais pekee ambaye anaishi moyoni mwa watanzania ingawa amelala. Shujaa wa Afrika nzima.
Asilimia ya furaha itajulikana zaidi baada ya siku 100 akiwa madarakani maana itakuwa imeongezeka mara dufu, kwa sasa itoshe tu kuwa matumaini yameanza kuonekana baada ya miaka 6 ya maneno matupu ya Mwendazake.Tuweke kabisa na asilimia za FURAHA. Maana acha tu