Una uhakika upi Napoleon alikuwa mfupi?
We muongo sasa yule demu ni mkubwa sana ujue anaficha tu umri wke maana hata ukimtazama sura yke na umri uliotaja haviendani
Kasema kweliii kabisaaaaaaa
We muongo sasa yule demu ni mkubwa sana ujue anaficha tu umri wke maana hata ukimtazama sura yke na umri uliotaja haviendani
Duh nilikuwa jukwaani naangalia tu match sasa niko kwa patch
Maneno yako makali sana
kuna demu mmoja ivi sio staa, ila anasifika sana kwa umalaya , uzuri wake anatembea na watu wenye pesa chafu, mawazir wabunge, vigogo mbali mbali wote kapitia.
Kitu cha maana ambacho namsifia huyo Dada , anatumia umalaya wake vizur, alikuwa hajasoma ila kajisomesha toka certificate mpaka sasa ivi anachukua degree ya sheria kwa uo uo umalaya.
Kajenga nyumba yake na anamiliki magar matatu, Nissan murrano, x-trail na kluger , huyu umalay wake umemsaidia sana , haswa baada ya kuona umuhimu wa elimu na kuamua kurud shule , japokuwa ana nyumba na magar na maisha mazur
Sasa hawa mastaa wetu full mashauz , nyumba za kupanga, magar ya kuazimwa , maana wengine wameshapokonywa kasoro Harrier la pink.
Wakiumwa sasa wanalazwa wodi za sewahaji au mwaisela , yakiwazidia wanaanza kusambaz vibakul wakatibiwe India , wajinga sana
Una Kadi lake la clinic?? Hivi unajua kujichubua kunakomaza sana, mtoto mdogo waweza muona km bibi?
Aaah waapi yeye kila cku miaka nenda rudi miaka yke haiongezeki hata ww hushangai au ndo team wema wema...
Una Kadi lake la clinic?? Hivi unajua kujichubua kunakomaza sana, mtoto mdogo waweza muona km bibi?
Yeye aseme kibabu Kizima Ana nini ili tuhamie kwa wema?
Copy kutoka insta. Huu pia ushabiki ugali teh teh
Uhakika ni mvinyo wa wajinga unaodumaza kufikiri.
Ishu sio kadi....ama cheti cha kuzaliwa..
Angalia ile sura ngumu ...wala sio kujichubua wala nn...
Watoto wa 22 wabichi sana....
Yule mtu mzima sema kakomaa afu anajitia kinda eti kazaliwa 90
Atakua kazaliwa miaka ya 80 mwanzon.
ok kwaio unaamini sio?....sasa nikwambie sifa kubwa ya kuwa mjeshi au kupata mafunzo ya jeshi enzi izo ilikuwa ni urefu,so Napoleon alikuwa mrefu.
Teh age ya mtu a najua mama au mhusika. Saa ingine USO unadanganya. Mimi ukiniona unaweza dhania mdogo ila ukweli age imeenda. Kwa wengine uso unaonekana mzee Kumbe Watoto tu
Biography gani ya Napoleon umeisoma?
Ushawahi kusikia kitu kinaitwa "Napoleon Complex" ?
Sio ushabiki , wema angejitahid tu akamalizie degree yake , sasa ataishi maisha ya kupiga mizinga mpaka lin??
Si mmeshuhudia wenyew jinsi alivyoumbuliwa na clement?? Kadanganya nyumba yake wakat hata kiwanja hana, ata mtoto wa miaka 19 lulu anamshinda?? Ina maana lulu ni Malaya kuliko wema?? Team wema wangempigia kelele kuhus maendeleo yake nadhan angewasikiliza , umri unaenda na kila siku watoto wabich wanazaliwa.
Sio ushabiki , wema angejitahid tu akamalizie degree yake , sasa ataishi maisha ya kupiga mizinga mpaka lin??
Si mmeshuhudia wenyew jinsi alivyoumbuliwa na clement?? Kadanganya nyumba yake wakat hata kiwanja hana, ata mtoto wa miaka 19 lulu anamshinda?? Ina maana lulu ni Malaya kuliko wema?? Team wema wangempigia kelele kuhus maendeleo yake nadhan angewasikiliza , umri unaenda na kila siku watoto wabich wanazaliwa.
soma vizuri hicho kiunga chako ulichoweka ....."British propaganda of the time promoted the idea that Napoleon was short."...izo ni propaganda za waingereza