We taaira kweli...sa mm muongo kwani yeye c ndo anayetaja miaka yake,
Eti 22???
"Urefu" ni kuanzia kipimo gani? Maana kipimo hicho hicho unaweza kusema mrefu, mimi nikasema mfupi.
Mbona mambo ya kawaida mjini haya. Inshort hakuna jipya....kupanga, kusema uongo, Kuchuna buzi n.k. Sana sana na muona CK punga kwa kumnyang'anya demu vifaa kisa amepigwa kibuti. Wanawake wengi nyuma ya keybord wanamponda sana wema lakini ukweli hawajapata tu buzi linalochunika. Wapo degree holder nawajua ni wachuna buzi usiku na mchana, hata Kodi tu ya two rooms wanalipiwa na mabuzi, mjini wamewekwa na mabuzi ila utawasikia wanamponda Wema... Hero wema hajamaliza chuo ila Hawa na yeti vyao still ni wachunaji. So Kuchuna buzi kwa mwanamke wa mjini si jambo jipya sema tu una kuwa ishu kwako kwa kuwa ameba ya wema.
acha ubishi mkuu...kilichofanya waconfuse kuwa Napoleon ni mfupi,ni sababu makamanda aliokuwa anaongozana nao muda mwingi walikuwa ni majitu marefu sana alafu yana miili mikubwa...napoleon alikuwa na urefu wa kawaida ila hakuwa mfupi...
Kwa hiyo ufupi unaishia wapi na urefu unaanzia wapi?
Maybe he was not as short as depicted, lakini habari ya kwamba kuwa mwanajeshi ni lazima uwe mrefu, na hivyo alikuwa mrefu, urefu ni nini?
Ukiendelea kusoma hapo utaona alivyojuwa towered over by his guards.
Kweli kabisa , watu wengi mapovu yanawatoka Clement kumchukua kajala , si kwa kuwa wanamtetea wema , ila wivu tu unawasumbua , maana kajala china sasa ivi kama anaenda location kushut movie , huku nyuma wabongo mapovu yanawatoka.
Wamuache kajala ale bata bata , kuchuna buzi ndo habar ya mujin au sio binamu? So wamuache kajala achune buzi
Kweli kabisa , watu wengi mapovu yanawatoka Clement kumchukua kajala , si kwa kuwa wanamtetea wema , ila wivu tu unawasumbua , maana kajala china sasa ivi kama anaenda location kushut movie , huku nyuma wabongo mapovu yanawatoka.
Wamuache kajala ale bata bata , kuchuna buzi ndo habar ya mujin au sio binamu? So wamuache kajala achune buzi
Hujapata kunijibu swali kwamba ufupi unaishia wapi na urefu unaanzia wapi. Kitu kimoja kilekile wewe unaweza kukiona kirefu mimi nikakiona kifupi, kwa hiyo kama hatujaelewana kuhusu tunapimaje tunaweza kubishana kwa semantics.
Sio ushabiki , wema angejitahid tu akamalizie degree yake , sasa ataishi maisha ya kupiga mizinga mpaka lin??
Si mmeshuhudia wenyew jinsi alivyoumbuliwa na clement?? Kadanganya nyumba yake wakat hata kiwanja hana, ata mtoto wa miaka 19 lulu anamshinda?? Ina maana lulu ni Malaya kuliko wema?? Team wema wangempigia kelele kuhus maendeleo yake nadhan angewasikiliza , umri unaenda na kila siku watoto wabich wanazaliwa.
Kajala kaingiaje kwenye hii quote?? Put her out of this quote since she is not the subject in my argument. Ulipaswa ujibu hoja yangu ila si kwa kudiverge. Mie nilikujibu wewe as Ndio uliona Kama Kuchuna mabuzi mjini au kudanganya ni jambo jipya saaana Kumbe hakuna jipya. Anyways kila mtu Ana uchaguzi wake...wema amechagua maisha yake aliyochagua. Pia maana ya mafanikio inatofautiana kutoka na na mtu na mtu hata kula ukashiba kwa miaka mzima ni mafanikio pia.
ufupi ni kuwa na kimo kidogo kuliko kawaida iliyozoeleka na kima cha wastani cha jamii..kwa hapa bongo ukiwa chini ya futi nne na nusu we ni mfupi.
Me sijawahi hata kuona cha maana au kuelewa kazi yake hata moja zaidi ya kumuona kwenye media tu.
Napoleon alikuwa na urefu gani na urefu wa Mfaransa wa kawaida ulikuwa urefu gani?
I have to thank you for enlightening me on one aspect, this question is not as clearcut as I thought.
Hata vipimo vyenyewe haviko clear.
Halafu there is a question of "short" by today's standards as compared to the standards back then.
Binamu umekumbwa na mafuriko? Mbona Gossipcopwarumi badala ya ile tuliyoizoea zaidi?
sikumbuki vizuri vipimo vya Napoleon nimemsoma muda kidogo ila walivielezea alikuwa na urefu wa wastani...siikumbuki iyo link.