Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Mkuu msimamia kucha huyu kijana kafanya kosa gani?Watu wafupi matatizo sana.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu msimamia kucha huyu kijana kafanya kosa gani?Watu wafupi matatizo sana.
Watu wafupi matatizo sana.
Mkuu Mrembo by Nature kwa nini unasema hivi?Ukwel stiv analazimisha umaarufu japo umaarufu haumpendi
We angalia Zitto,Kitila,na huyu steve nyerere....
Tatizo ni ufupi au kuna kitu Steve kakifanya ambacho kimesababisha mtoa mada aseme hivi?We angalia Zitto,Kitila,na huyu steve nyerere....
Tatizo ni ufupi au kuna kitu Steve kakifanya ambacho kimesababisha mtoa mada aseme hivi?
Mkuu msimamia kucha kuna maeneo Steve ana kosea lakini sijui kama wewe una maanisha ninapo maaniisha ndio maana na kuuliza kakosea wapi? Pengine tunaongea lugha moja au tofauti.Mkuu Ruttashobolwa huyu kijana humuelewi?
AiseeeUfupi tu
Aiseeeeteh teh inaweza kuwa kweli mana wanajionaga hawakosei hata kumkosoa shda
Cc warumi Mrembo by NatureMkuu ruttashobolwa nimeshakuelewa kutokana na utetezi wako.
Mkuu warumi katika hil pengine mnaweza kuona Steve yuko sawa na inawezekana ana sema ukweli mtupu lakini kwangu mimi njia aliyo tumia siyo kabisa na kulikuwa hakuna sababu ya kupublish kama kweli alkuwa na nia ya kutoa ushauri.Nawasubir kwa hamu binamu , nimeshaandaa silaha zote za vita in short nimejikoki , halaf mkonon Nina grenade za hatar, kazi kwako tu
Anaweza kuwa mtoto wa Steve lakini at least amepiga hatua hata ikiwa kwa kuhongwa walau anavitolea jasho. Yeye Steve tangu aanze kuombaomba ana nini? Kila siku anabebeshwa mizigo lakini anaishi kama chokoraa.
Mkuu warumi katika hil pengine mnaweza kuona Steve yuko sawa na inawezekana ana sema ukweli mtupu lakini kwangu mimi njia aliyo tumia siyo kabisa na kulikuwa hakuna sababu ya kupublish kama kweli alkuwa na nia ya kutoa ushauri.
Kufanya hivi ni kutafuta malumbano na Wema yasiyo na sababu.
Kama kweli alikuwa ana nia ya kutoa ushauri kwa public kulikuwa hakuna sababu ya kumtaja Wema bali angesema wasanii wote waachane na scandal.
Katika hili ni kama ame mtafuta Wema.
Mkuu warumi katika hil pengine mnaweza kuona Steve yuko sawa na inawezekana ana sema ukweli mtupu lakini kwangu mimi njia aliyo tumia siyo kabisa na kulikuwa hakuna sababu ya kupublish kama kweli alkuwa na nia ya kutoa ushauri.
Kufanya hivi ni kutafuta malumbano na Wema yasiyo na sababu.
Kama kweli alikuwa ana nia ya kutoa ushauri kwa public kulikuwa hakuna sababu ya kumtaja Wema bali angesema wasanii wote waachane na scandal.
Katika hili ni kama ame mtafuta Wema.