Uchaguzi 2020 Steve Nyerere achukua fomu ya Ubunge Iringa Mjini - CCM

Uchaguzi 2020 Steve Nyerere achukua fomu ya Ubunge Iringa Mjini - CCM

Hahahahahahaha ukistaajabu ya bunge muvi utayaona ya bongo muvi..Bunge lishageuzwa jalala hadi huyu bingwa wa kulamba miguu??? Hapana this is too much..
Anatakiwa akamatwe ashikiliwe kwa mda ahojiwe motive behind kuchukua fomu,Taifa lipo kwenye zoezi muhimu la hatima ya Tanzania halafu juha mmoja anakuja kuleta mzaha.
 
Hahahahahahaha ukistaajabu ya bunge muvi utayaona ya bongo muvi..Bunge lishageuzwa jalala hadi huyu bingwa wa kulamba miguu??? Hapana this is too much..
Anatakiwa akamatwe ashikiliwe kwa mda ahojiwe motive behind kuchukua fomu,Taifa lipo kwenye zoezi muhimu la hatima ya Tanzania halafu juha mmoja anakuja kuleta mzaha.
 
Daah pole sana leo wapwa wamekushikilia sana ndio wanakuachia muda huu!
Nakuona ulivyo damshi ukiwa lindoni kwako!
FB_IMG_1592833724511.jpeg
 
Back
Top Bottom