Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rambirambi plus ukuwadi huko atapiga pesa ndefu
Tuwaunge mkono kwa wingi watu wa dizaini hii ili 2020-2025 tuwe na bunge la Kisayansi.
Ccm ni mtaji wa wehu
Kazi ana umri gani huyu!
Anatakiwa akamatwe ashikiliwe kwa mda ahojiwe motive behind kuchukua fomu,Taifa lipo kwenye zoezi muhimu la hatima ya Tanzania halafu juha mmoja anakuja kuleta mzaha.Hahahahahahaha ukistaajabu ya bunge muvi utayaona ya bongo muvi..Bunge lishageuzwa jalala hadi huyu bingwa wa kulamba miguu??? Hapana this is too much..
Anatakiwa akamatwe ashikiliwe kwa mda ahojiwe motive behind kuchukua fomu,Taifa lipo kwenye zoezi muhimu la hatima ya Tanzania halafu juha mmoja anakuja kuleta mzaha.Hahahahahahaha ukistaajabu ya bunge muvi utayaona ya bongo muvi..Bunge lishageuzwa jalala hadi huyu bingwa wa kulamba miguu??? Hapana this is too much..
Daah pole sana leo wapwa wamekushikilia sana ndio wanakuachia muda huu!Sasa hapo umeandika ukimaanisha kitu gani wewe mlinzi wa lumumba?
Nakuona ulivyo damshi ukiwa lindoni kwako!Daah pole sana leo wapwa wamekushikilia sana ndio wanakuachia muda huu!
Nahisi anaigiza
Laki moja tuHivi Kuchukua form ni Bure? au kuna malipo?