Stiegler Dam, Taasisi za Kimataifa Vs. Magufuli

Stiegler Dam, Taasisi za Kimataifa Vs. Magufuli

However, conservationists say the project could have a negative impact on a much bigger area, for example by cutting off wildlife migration routes.

Etiii? Ni nini? Ni migration routes zipi? Zile za Serengeti kwenda Masai Mara Kenya?
 
Ahsante sana Mkuu, kwenye shamba la Mbowe Serikali hii inajali sana mazingira kuwa salama tena ni kasehemu kadogo tu, lakini inapokuja malaika kuamua atakavyo basi mazingira ya nchi hayana kipaumbele hata chembe! Na malaika huwa hakosolewi! Wanafiki ndivyo walivyo!

Kama watu wa mazingira hawasikilizwi leo basi ningefurahi kama yule anaeitwa Mboye akarudishiwe mradi wake. Busara tu
 
Wazungu wa ovyo sana! Wakiona mnataka kuinuka wanakereka sana! Kwani wanavyochimba madini na kutuachia mashimo hawaharibu mazingira?
Unajua inaudhi sana!
Umeenda mbali kuwashambulia wazungu kote huko. Watanzania nuksi wameona Mboye anataka kuinuka wakakereka sana wakatumia sababu za wazunguru zinazohusu mazingira, nimeamini kikulacho kinguoni mwako
 
Hao wanaojiita wanamazingira waache kuingilia mambo ya nchi yetu, yaani sisi tuishi Giza na tukose uwekezaji mbalimbali kisa hakuna umeme wa uhakika wakati tuna vyanzo vya maji vya uhakika vya kuzalishia umeme wakati huo huo wanatucheka nyuma ya pazia kuwa hatujui kutumia rasilimali zetu.

Nadhan wangekuwa kweli ni wapigania mazingira wangeanza na mataifa yao yaliyoendelea ambayo yana tumia nuclear power kuzalisha umeme+kuwa na maviwanda yanayochafua anga na kusababisha mabadiliko ya tabia nchi duniani
kwa nn tukae giza au tukose wawekezaji kwa kukosa umeme wa uhakika?! wakati tuna mafuta na gesi ya kutosha kule Mtwara!!!!! au bado haijafika Dar???!! au pengine uchimbaji haujakamirika?!!!? kwa nn tusikamirishe kwanza huu umeme wa gesi na mafuta kabla hatijajifanya kama hatuna namna bali tutumie rasili mali zetu. Ni zetu kweli, ila lazma tuwe na mipango ya namna tunavyozitumia. Bosi atueleze kwanza huo umeme wa mafuta na gesi umefikia wp???=
 
Wanasiasa kote duniani wamekua wakitoa kafara mazingira kwa hoja za kiuchumi,matokeo yake ndio dunia ilipofikia,ifike mahali kujadili hoja za mazingira na athari zake kwa kizazi chetu na cha baadae kuliko kujadili kwa mihemko ya kisiasa
 
na hawa wanamanzingira kwahiyo sisi tukae gizani sio mambo mengine hayana maana
Hakuna haja ya kukaa giza,,,,, vp ile gesi ya Mtwara???? Si tuliambiwa itamaliza tatizo la umeme!!!! Wanamazingira tunataka tuangalie if we got any other options,,, and we have one.
 
Ahsante sana Mkuu, kwenye shamba la Mbowe Serikali hii inajali sana mazingira kuwa salama tena ni kasehemu kadogo tu, lakini inapokuja malaika kuamua atakavyo basi mazingira ya nchi hayana kipaumbele hata chembe! Na malaika huwa hakosolewi! Wanafiki ndivyo walivyo!
BAK Nakuonea Huruma sana, bado una miaka 8 ya kujitesa, pole sana.
 
Rais usigeuze shingo nyuma mbele kwa mbele. Lazima tujenge umeme wetu.
 
Wachina walijenga three gorges kwa kulazimisha kwani wanaojiita wanamazingira walikuwa wakipinga. Jamaa wanapata 22,500MW za umeme na bado imeondoa tatizo la mafuriko lililokuwa likikumba baadhi ya miji ya jimbo la Hubei mara kwa mara na kusababisha kupoteza maisha ya watu achilia mbali uharibifu wa miundombinu, hii ilitokana na mto Yangtze kufulika maji na kuleta madhara hayo.

Magufuli jenga baba
 
EIA is important. And you believe (like in Jesus Christ). But the President has spoken - he literally said 'f**k the environmental impacts', the project will go on irrespective of environmental impacts (actually, we are only talking about 3% of Selous Game Reserve. Tiny fraction of the 50,000 square kilometer reserve). Do you live in Tanzania? And if you insist on EIA, the President is going to write the report himself. And then we will see if EIA is as important as you believe. Are you following?

In Africa you can not say NO to the PRESIDENT,unless you have GUTS like JKN or Mandela.The rest wachumia tumbo.

Whether it has impact or not we will not know it.
 
Hakuna haja ya kukaa giza,,,,, vp ile gesi ya Mtwara???? Si tuliambiwa itamaliza tatizo la umeme!!!! Wanamazingira tunataka tuangalie if we got any other options,,, and we have one.
Hawa wana mazingira ni hopeless na hawajui shida wanazopata wananchi utakuta wengi wanaoshadadia kwamba mradi huo usijengwe sio watanzania sidhani kama mtanzania wa kawaida anayejua shida za umeme na ambaye tangua azaliwe hajawahi kuona hata nguzo ya umeme inapita kwao kwamba ataleta hoja ya mazingira.... it might be we have one option as u say and that can be according to u & not the govt
 
Wazungu walishaharibu mazingira ya kwao wakamaliza wanataka sisibtutunze kwa niaba! Shenz....
 
JPM ziba masikio yako yote kwa hawa wajinga, eti WWF? wameshindwa kumzuia Trump kuitoa Marekani kwenye Mkataba wa Paris eti wanatwambia sisi? wapuuzi wakubwa hawa...

SG lazima ijengwe, yaan wanyama ni muhimu kuliko sisi binadamu? yaan tuteseke na umeme toka Uhuru wakati tuna source?

Nashauri, kama kuna Branch ya WWF hapa nchini ifungwe mara moja na waondoke nchini.
 
I hope an environmental impact assessment would be carried out before the project is implemented. It is important to figure out the unintended impacts so that mitigation strategies can be put in place. Ideally the results of the EIA should be taken into account in making the decision to go ahead. But if the decision to go ahead has been made then the EIA can shed light on what we should do to minimise the anticipated negative effects on the environment and the populace.
According to EMA, EIA is mandatory na zpo project zmekua rejected nchi hii hasa zile za senstive area ambzo it impact maginitude n very high so EIA process ndio itatupa muelekeo so nakubaliana na ww kabsa kuwa kuptia EIA ndio tutajua likely impact both environment and social and possible mitigation measure to minimize hzo impact na if the project itakua rejected at early stage kwenye scoping tutajua maana sio project ya kwanza kuwa rejected.


Japo We need development so lazma tutumie our blessed resource katka kupga hatua za maendeleo but inoder kufkia sustainable development lazma tuwe na focus kama nchi


Nampongeza raisi magufuli na serkal yake katika hili ila EIA process ifanyike ili tuweze kuwa na sustainability tofaut na hapo cumulative impact ztatokea
 
Back
Top Bottom