BONGE MOJA LA SAUNDIDrogba anakunywa litre 365 za maziwa na kuku 21 kwa siku 1 tu,peke yake.
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji2]Sir Alex fegurson anakula pacti tatu za big G kwa match moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii hata mi niliisikia mkuu.Pele alikuwa anapiga kona anaenda kumalizia mwenye kwa kichwa
Kwahiyo enzi za Beckham wewe ulikuwa mtoto?Kuna stori niliwahi kuambiwa na jamaa mmoja kuwa Bekham alikuwa anafanya mazoezi hata siku mbili mfululizo bila kupumzika akiwa nyumbani.
Kipindi hicho nilikuwa mdogo nikamuamini ila sasa nimekuwa nimemfata kumwambia yule jamaa achukue kamba yake sifungiki tena.