Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwamba siku za mechi za Ligi Daraja la Kwanza enzi hizi, eti Frank Kassanga "Bwalya" aliyekuwa beki wa Simba eti alikuwa anafuatwa baa anaingia uwanjani na anakiwasha kweli kweli akiwa amelewa!🤣🤣🤣🤣Kuna stori niliwahi kuambiwa na jamaa mmoja kuwa Bekham alikuwa anafanya mazoezi hata siku mbili mfululizo bila kupumzika akiwa nyumbani.
Kipindi hicho nilikuwa mdogo nikamuamini ila sasa nimekuwa nimemfata kumwambia yule jamaa achukue kamba yake sifungiki tena.