makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Roberto carlosKulikuwa na story mchezaji fulani wa brasil anapiga penalt usawa wa kipa na lazima kipa akwepe maama shuti ni kali sana asipokwepa anaingia nao wavuni.... Nimemsahau jina ila ni no 6
Hii ya goalkeeper wa Colombia ina ukweli kidogo, huyo kipa alikuja na staili inaitwa butterfly katika kupangua mashuti.Timu ya taifa ya China ilibadilisha kikosi chote mpaka kipa wakati wa mapumziko
Golikipa wa Colombia anadaka mpira Kwa miguu
Robto Kalosi mashuti yake mabeki wanakwepa sababu makali Sana
Fegurson Bigi Jii yake huwa haiishi utamu ni maalum tu Kwa Ajili yake anatengenezewa yeye tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii sio kamba, ni ukweli mtupuGolikipa wa Colombia anadaka mpira Kwa miguu
Hili la China kweli lilisemwa sana in 80s kuwa wanabadilisha wachezaji wote half to time.Timu ya taifa ya China ilibadilisha kikosi chote mpaka kipa wakati wa mapumziko
Golikipa wa Colombia anadaka mpira Kwa miguu
Robto Kalosi mashuti yake mabeki wanakwepa sababu makali Sana
Fegurson Bigi Jii yake huwa haiishi utamu ni maalum tu Kwa Ajili yake anatengenezewa yeye tu
π€£π€£π€£π€£π€£
Hahaha! atakuwa Roberto Carlos!Kulikuwa na story mchezaji fulani wa brasil anapiga penalt usawa wa kipa na lazima kipa akwepe maama shuti ni kali sana asipokwepa anaingia nao wavuni.... Nimemsahau jina ila ni no 6
Roberto Carlos πππKulikuwa na story mchezaji fulani wa brasil anapiga penalt usawa wa kipa na lazima kipa akwepe maama shuti ni kali sana asipokwepa anaingia nao wavuni.... Nimemsahau jina ila ni no 6
Umenikumbusha mbali Sana Ile siku Man U WALICHAPIKA na Barcelona Mzee ferguson akawa anatetemeka JoJo (big G) zilikia chungu kwake [emoji23][emoji23][emoji23]We mzee wa Anfield hujawah kusikia ? Watu waongo sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nakumbuka kama alipiga pembeni sio kama waliuruka mpira Bali ulizunguka ndo likaenda kua Goli moja matata Sana ..Nadhani unamaanisha roberto carlos. huyu jamaa wakiwa wanacheza nadhani kombe la dunia Brazil vs ujerumani ilipatikana faulo nje ya kumi na nane golikipa akiwa oliver kahn.
Wakati akina rivaldo wamejipanga na mabeki wa ujerumani akawa anawaonyesha ishara ya kusogea kwa mkono sasa akina rivaldo wakadhani anawapanga wakawa wanasogea tu.
Ikabidi anyoshe mkono juu ishara ya kuomba refa amvumilie akaenda akamnong'oneza kitu rivaldo nae akamwambia cafu wakatoka mstarinj baada ya kutoka akawaambia wachezaji wa ujerumanj kwa ishara wasogee kuziba huo mwanya.
Jamaa alirudi nyuma kama hatua kumi alipiga shuti usawa wa nyasj za uwanja wakati anapiga wachezaji wa ujerumani wakaruka mpira ukapita chinj ya miguu yao ukamlenga golikipa oliver kahn.
Na akafung sasa muulize oliver kahn mpira ulipitia wapi na ulimlenga.
Roberto Carlos.Kulikuwa na story mchezaji fulani wa brasil anapiga penalt usawa wa kipa na lazima kipa akwepe maama shuti ni kali sana asipokwepa anaingia nao wavuni.... Nimemsahau jina ila ni no 6
ππππππUmenikumbusha mbali Sana Ile siku Man U WALICHAPIKA na Barcelona Mzee ferguson akawa anatetemeka JoJo (big G) zilikia chungu kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
China ilipigwa marufuku kucheza kombe la dunia kwa sababu baada ya half time walibadili wachezaji wote 11. Kisa na maana ni vile wanafananaTimu ya taifa ya India waliingia kombe la dunia wakagoma kucheza huku wamevaa viatu wakatolewa
Ni kweli siyo uongo mashuti ya Carlos walikuaga wanayakwepa angalia hata youtube utaona, uongo ni ile kuwa Carlos aliwahi kupiga shuti kipa aliedaka akafaKulikuwa na story mchezaji fulani wa brasil anapiga penalt usawa wa kipa na lazima kipa akwepe maama shuti ni kali sana asipokwepa anaingia nao wavuni.... Nimemsahau jina ila ni no 6
Hatari sana! Brasil ilikuaga ya moto miaka ya 1998 sijui siku hizi wana nini watu laini laini kama NeymerNi kweli siyo uongo mashuti ya Carlos walikuaga wanayakwepa angalia hata youtube utaona, uongo ni ile kuwa Carlos aliwahi kupiga shuti kipa aliedaka akafa
Noma sana ilikua Brazil ya wazee wa kazi Carlos akipiga free kick wanakwepa kanzia mabeki hadi kipa waoHatari sana! Brasil ilikuaga ya moto miaka ya 1998 sijui siku hizi wana nini watu laini laini kama Neymer