Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwamba siku za mechi za Ligi Daraja la Kwanza enzi hizi, eti Frank Kassanga "Bwalya" aliyekuwa beki wa Simba eti alikuwa anafuatwa baa anaingia uwanjani na anakiwasha kweli kweli akiwa amelewa!π€£π€£π€£π€£Kuna stori niliwahi kuambiwa na jamaa mmoja kuwa Bekham alikuwa anafanya mazoezi hata siku mbili mfululizo bila kupumzika akiwa nyumbani.
Kipindi hicho nilikuwa mdogo nikamuamini ila sasa nimekuwa nimemfata kumwambia yule jamaa achukue kamba yake sifungiki tena.
Hii maarufu sana.Ngasa alienda majaribio ulaya akapewa kuku mzima kama breakfast, akashindwa kumaliza akarudishwa bongo
Mbona nyavu zenyewe zishatoboka?Eti Roberto Carlos alipiga shoot likatoboa hadi nyavu
Diego Maradona ndio mchezaji aliechezewa Rafu nyingi kuliko mchezaji mwengine yoyote yule duniani.Kuna stori niliwahi kuambiwa na jamaa mmoja kuwa Bekham alikuwa anafanya mazoezi hata siku mbili mfululizo bila kupumzika akiwa nyumbani.
Kipindi hicho nilikuwa mdogo nikamuamini ila sasa nimekuwa nimemfata kumwambia yule jamaa achukue kamba yake sifungiki tena.
Rene Higuita,Hii ya goalkeeper wa Colombia ina ukweli kidogo, huyo kipa alikuja na staili inaitwa butterfly katika kupangua mashuti.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
hii ilikuw n carlos story ilivuma sanaKulikuwa na story mchezaji fulani wa brasil anapiga penalt usawa wa kipa na lazima kipa akwepe maama shuti ni kali sana asipokwepa anaingia nao wavuni.... Nimemsahau jina ila ni no 6
hii ilikuw n carlos story ilivuma sana
Nliwah kusikia hii.Drogba anakunywa lita 365 za Maziwa na Kuku 21 kwa siku 1 tuu
πππππPele alikuwa anapiga kona anaenda kumalizia mwenyewe kwa kichwa
Mimi niliambiwa jamaa alivyokuja bongo na ivory coast kucheza dhidi ya taifa starz lunch yake alikua anakula kuku watatu. Sijui ni kweli au kambaDrogba anakunywa lita 365 za Maziwa na Kuku 21 kwa siku 1 tuu
Hii kweli nimewahi isikia hiiKulikuwa na story mchezaji fulani wa brasil anapiga penalt usawa wa kipa na lazima kipa akwepe maama shuti ni kali sana asipokwepa anaingia nao wavuni.... Nimemsahau jina ila ni no 6
Alooo!! Hilo chaka la miba siingii ng'ooDrogba anakunywa lita 365 za Maziwa na Kuku 21 kwa siku 1 tuu