Stori ya jinsi Sativa alivyotekwa yatua kwenye gazeti la The Guardian la Uingereza

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Inaonekana kama Sativa is here to stay.

Siku ya leo, Gazeti la The Guardian kutoka Uingeereza limetoa bandiko linalohusu masuala ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini

Edgar Mwakalebela maarufu alitajwa kama muhanga wa matukio ya utekaji yanayoendelea nchini ambapo pia alipata nafasi ya kuzungumza jinsi watu aliowatambua kama Polisi walivyomteka.



Katika bandiko hilo la The Guardian, waathirika wengine wa utekaji pia walitajwa kama Mzee Ali Kibao, Abdul Nondo na baadhi ya makada wa CHADEMA waliouwawa kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za mitaa.





===============

Kama tulitumia mabilioni kuandaa ili filamu ya Royal KUSAFISHA sura ya nchi yetu na sasa hivi vyombo vya kimataifa vinaturipoti kuwa Tanzania sio sehemu salama ya kuishi, ile Royal Tour ilikuwa na umuhimu gani?
 
Mungu wabariki Wazungu
 
Jaribu ku google , Tanzania is safe? Utakuta majibu mengi yanayoweza kuathiri secta ya utalii nchini
 
Hahaha mnataka ujumbe uwafikie ccm, muitume uhuru na mzalendo.
 
Jaribu ku google , Tanzania is safe? Utakuta majibu mengi yanayoweza kuathiri secta ya utalii nchini
Ki ukweli inatia mashaka sana kiusalama. Kama mtu anaweza kutolewa ndani ya bus lililojaa abiria mchana kweupe na kesho yake anapatikana kauwawa tena kikatili sana.mgeni gani akisikia hivyo atakuwa na amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…