Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaTunang'aa kimataifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaTunang'aa kimataifa.
Baba yako wa kamboSATIVA ndo nani?
Kitu gani sema?!Sema yule dogo kuna kitu anakifosi sana..
Yani watu wanauwawa waache kuomba utetezi we qumer kweli.Hapa kuna wanaharakati meno yote nje maana huo ni ushahidi tosha kuombea fungu lingine la hela
Hivi kuna kesi Tz imewahi shinda huko nje?Gazeti hilo linaweza kudaiwa fidia kwa kuchafua haiba ya viongozi na nchi
Sasa inabidi mbinu za mauaji zibadilike.Hapa kuna wanaharakati meno yote nje maana huo ni ushahidi tosha kuombea fungu lingine la hela
Let it Go...Kitu gani sema?!
Wewe humuhurumii jinsi alivyotendwa.?!
Ungekuwa ww ungefanyaje?!
Jaribu ku google , Tanzania is safe? Utakuta majibu mengi yanayoweza kuathiri secta ya utalii nchini
Umeelewa nilichoandika au umekurupukaUtalii unaingiaje hapa acheni kukuza mambo maana hakuna Mtalii amewahi kutekwa.
Walpo waliomwagiwa Tinndikali zenjiUtalii unaingiaje hapa acheni kukuza mambo maana hakuna Mtalii amewahi kutekwa.
HakunaHivi kuna kesi Tz imewahi shinda huko nje?
Ukiisoma hii habari, kwa hakika imeandikwa na Mtanzania na kupostiwa huko the Guardian.Wakuu,
Inaonekana kama Sativa is here to stay.
Siku ya leo, Gazeti la The Guardian kutoka Uingeereza limetoa bandiko linalohusu masuala ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini
Edgar Mwakalebela maarufu alitajwa kama muhanga wa matukio ya utekaji yanayoendelea nchini ambapo pia alipata nafasi ya kuzungumza jinsi watu aliowatambua kama Polisi walivyomteka.
View attachment 3173374
Katika bandiko hilo la The Guardian, waathirika wengine wa utekaji pia walitajwa kama Mzee Ali Kibao, Abdul Nondo na baadhi ya makada wa CHADEMA waliouwawa kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za mitaa.
View attachment 3173377
View attachment 3173376
===============
Kama tulitumia mabilioni kuandaa ili filamu ya Royal KUSAFISHA sura ya nchi yetu na sasa hivi vyombo vya kimataifa vinaturipoti kuwa Tanzania sio sehemu salama ya kuishi, ile Royal Tour ilikuwa na umuhimu gani?
Mtu aliejichafua ,anachafuliwaje sasa?Gazeti hilo linaweza kudaiwa fidia kwa kuchafua haiba ya viongozi na nchi
Mtawalipa Nini baada ya kusaidiwa?Afadhali ukweli ujulikane na wakubwa wa dunia,labda tutasaidiwa
Umerukwa kichaa boss, tulia kidogo!!SATIVA ndo nani?
Hao watatuleteaa vita,nasi kuishi tunataka jamenAfadhali ukweli ujulikane na wakubwa wa dunia,labda tutasaidiwa
Unafikiri utalipwa kizembe?Gazeti hilo linaweza kudaiwa fidia kwa kuchafua haiba ya viongozi na nchi