Stori ya jinsi Sativa alivyotekwa yatua kwenye gazeti la The Guardian la Uingereza

Stori ya jinsi Sativa alivyotekwa yatua kwenye gazeti la The Guardian la Uingereza

Hapa kuna wanaharakati meno yote nje maana huo ni ushahidi tosha kuombea fungu lingine la hela
Sasa inabidi mbinu za mauaji zibadilike.
Unawapa sumu kama Nondo.
Ukwenda kufa kimya kimya.
Kazi ya mama haina makosa
 
Uingereza ipi?!! the Uk which supporting genocide in gaza?!!
yaani UK na USA hawana uhalali wa kuinyooshea nchi yoyote dunia eti ina kiuka haki za binaadamu.
USA and UK are supporting killings of children in gaza?!
Hakika dunia ni wanja wa fujo.
 
Wakuu,

Inaonekana kama Sativa is here to stay.

Siku ya leo, Gazeti la The Guardian kutoka Uingeereza limetoa bandiko linalohusu masuala ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini

Edgar Mwakalebela maarufu alitajwa kama muhanga wa matukio ya utekaji yanayoendelea nchini ambapo pia alipata nafasi ya kuzungumza jinsi watu aliowatambua kama Polisi walivyomteka.

View attachment 3173374

Katika bandiko hilo la The Guardian, waathirika wengine wa utekaji pia walitajwa kama Mzee Ali Kibao, Abdul Nondo na baadhi ya makada wa CHADEMA waliouwawa kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za mitaa.

View attachment 3173377

View attachment 3173376

===============

Kama tulitumia mabilioni kuandaa ili filamu ya Royal KUSAFISHA sura ya nchi yetu na sasa hivi vyombo vya kimataifa vinaturipoti kuwa Tanzania sio sehemu salama ya kuishi, ile Royal Tour ilikuwa na umuhimu gani?
Ukiisoma hii habari, kwa hakika imeandikwa na Mtanzania na kupostiwa huko the Guardian.
 
Mama have managed to put us on the world map. Right alongside RWANDA, NORTH KOREA, SAUDI ARABIA and the likes. Kudos
 
Back
Top Bottom