Stori ya jinsi Sativa alivyotekwa yatua kwenye gazeti la The Guardian la Uingereza

Stori ya jinsi Sativa alivyotekwa yatua kwenye gazeti la The Guardian la Uingereza

Ki ukweli inatia mashaka sana kiusalama. Kama mtu anaweza kutolewa ndani ya bus lililojaa abiria mchana kweupe na kesho yake anapatikana kauwawa tena kikatili sana.mgeni gani akisikia hivyo atakuwa na amani.

Haya mambo yanawaharibia sana mkuu

Tumetumia mabilioni kuandaa Royal Tour then mambo kama haya yanatokea na kuchafua nchi.

Umuhimu wa Royal Tour uko wapi?
 
Huyo mwandishi wa the guardian naye atatekwa hivi karibuni 😒🥺,wasiojulikana watamfuata London. TCRA nao watatoa amri gazeti liombe radhi,kisha litapigwa ban ya siku 30 kupost maudhui mtandaoni . Hawa mabeberu waache kuichafua nchi yetu😒.
 
Huyo mwandishi wa the guardian naye atatekwa hivi karibuni 😒🥺,wasiojulikana watamfuata London. TCRA nao watatoa amri gazeti liombe radhi,kisha litapigwa ban ya siku 30 kupost maudhui mtandaoni . Hawa mabeberu waache kuichafua nchi yetu😒.

Bila kusahau UVCCM kujitokeza kutoa matamko.

Typical behaviors za chama cha kijani
 
Nimewaza pia ndo maana wabongo hatuna international journalists wanaofanya kazi kwenye vyombo vikubwa duniani.

Imagine hiyo article angeandika mwandishi wa kibongo.
Mbongo hapo huenda alishaokotwa katobolewa macho na kaoza ama haonekani popote pengine ana kesi ya uhujumu uchumi.
 
Wakuu,

Inaonekana kama Sativa is here to stay.

Siku ya leo, Gazeti la The Guardian kutoka Uingeereza limetoa bandiko linalohusu masuala ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini

Edgar Mwakalebela maarufu alitajwa kama muhanga wa matukio ya utekaji yanayoendelea nchini ambapo pia alipata nafasi ya kuzungumza jinsi watu aliowatambua kama Polisi walivyomteka.

View attachment 3173374

Katika bandiko hilo la The Guardian, waathirika wengine wa utekaji pia walitajwa kama Mzee Ali Kibao, Abdul Nondo na baadhi ya makada wa CHADEMA waliouwawa kipindi cha Uchaguzi wa Serikali za mitaa.

View attachment 3173377

View attachment 3173376

===============

Kama tulitumia mabilioni kuandaa ili filamu ya Royal KUSAFISHA sura ya nchi yetu na sasa hivi vyombo vya kimataifa vinaturipoti kuwa Tanzania sio sehemu salama ya kuishi, ile Royal Tour ilikuwa na umuhimu gani?📌🔨
 
Huyu mkoloni mweusi serikali ya CCM, anapaswa kubanwa kila mahali
 
Back
Top Bottom