Stori ya Kusisimua ya Boniface Jackob aliyekuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo

Nimemiss point au??

Bwana Boniface ni fedheha kwa wazazi wake waliomsomesha na akaishia kupokea vipochi.

Ni vizuri aliamua kuacha ulinzi.
 
Bw. Boni bwana mbona ajaandika alikuwa mwalimu ile shule ya Breakthrough sec school miaka ya 2009. Iliyopo bmoyo
 
Nimemiss point au??

Bwana Boniface ni fedheha kwa wazazi wake waliomsomesha na akaishia kupokea vipochi.

Ni vizuri aliamua kuacha ulinzi.
Hata mimi niliwaza kama wewe lakini baadaye nikamsifu, hasa kwa Tabia njema
 
Bila kujua kamvua nguo boss wake, inashangaza mtu wa karibu kama mlinzi taarifa zake hazifahamiki na sio tu boss bali taasisi nzima anakofanyia kazi!
Unamfahamu John Mallya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…