Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bila kujua kamvua nguo boss wake, inashangaza mtu wa karibu kama mlinzi taarifa zake hazifahamiki na sio tu boss bali taasisi nzima anakofanyia kazi!Mbowe hakuwajua walinzi wake.
Inashangaza.Mbowe hakuwajua walinzi wake.
Nahisi hajui kama 'amechoma'. Labda alidhani akiandika hivyo 'atasisimua' watu, kama ilivyo kwa muanzisha uzi.Bila kujua kamvua nguo boss wake, inashangaza mtu wa karibu kama mlinzi taarifa zake hazifahamiki na sio tu boss bali taasisi anayofanyia kazi!
Hata mimi niliwaza kama wewe lakini baadaye nikamsifu, hasa kwa Tabia njemaNimemiss point au??
Bwana Boniface ni fedheha kwa wazazi wake waliomsomesha na akaishia kupokea vipochi.
Ni vizuri aliamua kuacha ulinzi.
Kuna aliyoyajuaMbowe hakuwajua walinzi wake.
Lengo halikuwa kuandika CV yake, amesimulia yale ya CHADEMA tuBw. Boni bwana mbona ajaandika alikuwa mwalimu ile shule ya Breakthrough sec school miaka ya 2009. Iliyopo bmoyo
Na huo ni udhaifu mkubwa,,,anaweza hata kulindwa na adui yake na asimjueMbowe hakuwajua walinzi wake.
Unamfahamu John Mallya?Bila kujua kamvua nguo boss wake, inashangaza mtu wa karibu kama mlinzi taarifa zake hazifahamiki na sio tu boss bali taasisi nzima anakofanyia kazi!
That is neither here nor there.Kuna aliyoyajua