Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Kitengo cha Ulinzi Chadema hakisimamiwi na MboweNa huo ni udhaifu mkubwa,,,anaweza hata kulindwa na adui yake na asimjue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitengo cha Ulinzi Chadema hakisimamiwi na MboweNa huo ni udhaifu mkubwa,,,anaweza hata kulindwa na adui yake na asimjue
Mkuu Nifah, kwa wanaojua itifaki jambo hili si la ajabu hata kidogo. Hivi wadhani Samia ndiye aliyempanga /mteua huyu ADC wake?Bila kujua kamvua nguo boss wake, inashangaza mtu wa karibu kama mlinzi taarifa zake hazifahamiki na sio tu boss bali taasisi nzima anakofanyia kazi!
Hivi umesoma story yote ukaielewa? Jamaa alipopeleka fomu ya kugombea umeya walisema (taasisi) anafaa ila hana elimu, ndio ikabidi apeleke vyeti.Mkuu Nifah, kwa wanaojua itifaki jambo hili si la ajabu hata kidogo. Hivi wadhani Samia ndiye aliyempanga /mteua huyu ADC wake?
na tukienda mbali kuongelea walinzi wake amini usiamini hajui mengi yanayowahusu.
Ni sahihi lkn kutokana na nature ya hali ya kisiasa nchini kiongozi anatakiwa ajue pia abc za watu wake wa karibuKitengo cha Ulinzi Chadema hakisimamiwi na Mbowe
Mkuu nimekujibu kwa usahihi kabisa. Nadhani wewe si muelewa wa mambo haya ila Kwa wanaoelewa mambo haya wamenielewa.Hivi umesoma story yote ukaielewa? Jamaa alipopeleka fomu ya kugombea umeya walisema (taasisi) anafaa ila hana elimu, ndio ikabidi apeleke vyeti.
Hapo unaongelea itifaki gani Mkuu?
Ni vema ungeuliza kinasimamiwa na naniNi sahihi lkn kutokana na nature ya hali ya kisiasa nchini kiongozi anatakiwa ajue pia abc za watu wake wa karibu
Huna haja ya kuandika yote, InatoshaMkuu nimekujibu kwa usahihi kabisa. Nadhani wewe si muelewa wa mambo haya ila Kwa wanaoelewa mambo haya wamenielewa.
By the way nitakupa ufahamu kidogo, kitengo cha ajira za ulinzi huwa ni independent sana na mifumo mingine unless waombwe “recommendation “ au vetting.
Otherwise file lako la masijala “binafsi” hubakia binafsi.
Aliwahi kuzima jaribio la kuchoma Makao Makuu ya Chadema na kuwakamata wahusikaHuo ulinzi ni wa kupokea pochi za viongozi tu au ana background ya mambo ya ulinzi wa viongozi.
Ashukuru sana hapakuwahi tokea kashkash yoyote maana angeweza kimbia akaacha anaowalinda.
😆😆😆😆Hivi umesoma story yote ukaielewa? Jamaa alipopeleka fomu ya kugombea umeya walisema (taasisi) anafaa ila hana elimu, ndio ikabidi apeleke vyeti.
Hapo unaongelea itifaki gani Mkuu?
😆😆😆 Alikuwa Diwani wa Tabata anaitwa Asenga..Boni alinifurahisha alivyokuwa akiwakaba kabari madiwani wa Ccm wakati wa vurugu za kupiga kura ktk vikao vyao. Kila mara Ccm mlibidi waite Polisi maana walikuwa wanazidiwa ubabe. Kuna jamaa mwingine nadhani alikuja kugombea ubunge Rombo. Jamaa anatupa ngumi utadhani Meiwedha.
😆😆😆 Alikuwa Diwani wa Tabata anaitwa Asenga
Ukitaka cha uvunguni sharti uiname.Nimemiss point au??
Bwana Boniface ni fedheha kwa wazazi wake waliomsomesha na akaishia kupokea vipochi.
Ni vizuri aliamua kuacha ulinzi.
Elimu ya Bongo, heri kuwa msomi mlinzi kuliko kuwa Professor kumbe chawa.Nimemiss point au??
Bwana Boniface ni fedheha kwa wazazi wake waliomsomesha na akaishia kupokea vipochi.
Ni vizuri aliamua kuacha ulinzi.
Nimesita sana kutoa maoni yangu hapo.Hebu msome hapa halafu Toa maoni yako
kama Kitila na Kalamaganda. nakubaliana nawe.Elimu ya Bongo, heri kuwa msomi mlinzi kuliko kuwa Professor kumbe chawa.
Shukranikama Kitila na Kalamaganda. nakubaliana nawe.
Jina lake ni Boniface Jacob, maarufy Boniyai au Meya. Hii ni hatari kubwa sana, I awezekana huyu bwana ni jambazi, muuaji. Jina lake halisi ni nani? Ni kabila gani? Kasoma shule gani? Kasoma na kina nani tunaowajua? Mke wake ni nani? Baba yake utaambiwa ni Jacob Alex. Embu fuatolieni vizuri mtajaniambia. Bonofasi Jacob. Iddi Issa. Mary John. James Julius. Agnes. Jenerali Ulimwengu. William. Gerald Ladislaus.Huyu kijana ambaye kwa sasa anaitwa BoniYai au Mleta Taharuki, hadithi yake ya kisiasa inasisimua kwa kiasi chake, hakuwahi kuwa na makuu wala kujikweza.
Hebu msome hapa halafu Toa maoni yako
View attachment 2984947View attachment 2984948View attachment 2984949