Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Kwani kizimkazi anawajua walinzi wake wote?Mbowe hakuwajua walinzi wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kizimkazi anawajua walinzi wake wote?Mbowe hakuwajua walinzi wake.
Kizimkazi anawajua walinzi wake wote?Na huo ni udhaifu mkubwa,,,anaweza hata kulindwa na adui yake na asimjue
Hata Biden hawezi kuwajua woteMbowe hakuwajua walinzi wake.
Kamuulize mwenyewe, unaniuliza mimi ananihusu vipi? Kwani nilisema mimi chawa wa Kizimkazi?Kwani kizimkazi anawajua walinzi wake wote?
Logical fallacy, non sequitur.Hata Biden hawezi kuwajua wote
Nashukuru umelielewa vizuri swali langu niishie hapo mengine hayo yakwakoKamuulize mwenyewe, unaniuliza mimi ananihusu vipi? Kwani nilisema mimi chawa wa Kizimkazi?
Kwa nini unaona mtu akimsema Mbowe basi lazima atakuwa shabiki wa Kizimkazi?
Wabongo tantalila nyingi.Aliwahi kuzima jaribio la kuchoma Makao Makuu ya Chadema na kuwakamata wahusika
Taasisi ya uraisi unaifananisha na chadema?Kizimkazi anawajua walinzi wake wote?
Kwamba akili zako zimekomea hapo?!!Taasisi ya uraisi unaifananisha na chadema?
Kumbe ana haki ya kula mgao wa pesa chafu na za join the chain.Huyu kijana ambaye kwa sasa anaitwa BoniYai au Mleta Taharuki, hadithi yake ya kisiasa inasisimua kwa kiasi chake, hakuwahi kuwa na makuu wala kujikweza.
Hebu msome hapa halafu Toa maoni yako
View attachment 2984947View attachment 2984948View attachment 2984949
Ulinzi wa mbowe unataka kuufananisha na kizimkazi kweli,,upo serious?Kwamba akili zako zimekomea hapo?!!
Ndiyo maana hajui hata wanao mlinda wana status ganiMwenyekiti F6 failure! Bodyguard degree graduate!🤔🤔
Swali lako linahusiana nini na mimi?Nashukuru umelielewa vizuri swali langu niishie hapo mengine hayo yakwako
Sasa kinachokuliza nini?Mwenyekiti F6 failure! Bodyguard degree graduate!🤔🤔
Hatari sanaBony
Hawa Mgambo wa Jiji?🐼Mkuu nimekujibu kwa usahihi kabisa. Nadhani wewe si muelewa wa mambo haya ila Kwa wanaoelewa mambo haya wamenielewa.
By the way nitakupa ufahamu kidogo, kitengo cha ajira za ulinzi huwa ni independent sana na mifumo mingine unless waombwe “recommendation “ au vetting.
Otherwise file lako la masijala “binafsi” hubakia binafsi.
Tuliokuelewa hapa ni wachache Sana 😂😂Huyu kijana ambaye kwa sasa anaitwa BoniYai au Mleta Taharuki, hadithi yake ya kisiasa inasisimua kwa kiasi chake, hakuwahi kuwa na makuu wala kujikweza.
Hebu msome hapa halafu Toa maoni yako
View attachment 2984947View attachment 2984948View attachment 2984949