Stori ya Kusisimua ya Boniface Jackob aliyekuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo

Stori ya Kusisimua ya Boniface Jackob aliyekuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo

Kwan Kuna uhusiano wowote Kati ya ulinzi na elimu,Au inategemea na unachokilinda ..?
 
Kamuulize mwenyewe, unaniuliza mimi ananihusu vipi? Kwani nilisema mimi chawa wa Kizimkazi?

Kwa nini unaona mtu akimsema Mbowe basi lazima atakuwa shabiki wa Kizimkazi?
Nashukuru umelielewa vizuri swali langu niishie hapo mengine hayo yakwako
 
Aliwahi kuzima jaribio la kuchoma Makao Makuu ya Chadema na kuwakamata wahusika
Wabongo tantalila nyingi.

Mimi nimeulizia background yake kwenye ulinzi wa viongozi.

Wewe unakuja na stori za majengo ya saccos yenu.
 
Mkuu nimekujibu kwa usahihi kabisa. Nadhani wewe si muelewa wa mambo haya ila Kwa wanaoelewa mambo haya wamenielewa.
By the way nitakupa ufahamu kidogo, kitengo cha ajira za ulinzi huwa ni independent sana na mifumo mingine unless waombwe “recommendation “ au vetting.
Otherwise file lako la masijala “binafsi” hubakia binafsi.
Hawa Mgambo wa Jiji?🐼
 
Back
Top Bottom