..Boni alinifurahisha alivyokuwa akiwakaba kabari madiwani wa Ccm wakati wa vurugu za kupiga kura ktk vikao vyao. Kila mara Ccm mlibidi waite Polisi maana walikuwa wanazidiwa ubabe. Kuna jamaa mwingine nadhani alikuja kugombea ubunge Rombo. Jamaa anatupa ngumi utadhani Meiwedha.