Stori za simu za Wanawake vs Wanaume

Wengine huwa hawalipi dabo dabo, bali wanahamisha viungo tu vya mwili toka kwenye sehemu yake kwenda pengine... !! Emajini nyonyo zonahamishwa, moja inahamia kwenye komwe na nyingine kwenye ugoko..!!
Msamehe πŸ˜…πŸ˜… usifanye hivyo bro
 
Hahahah unasumbua sana kila siku post mpya
πŸ˜† Kumbe, shida nina furaha sana, ngoja nikipata huzuni nitaacha ku postπŸ˜…

Nipe vigezo na masharti bro, kwa wiki ni ngapi zinatakiwa

πŸ₯•πŸ‡
 
Tatizo Bantu Lady amenishirikisha anataka kukupa dawa, nikamshauri asicheze na wewe maana kule kwenu sifa ya kuishi ni lazima uwe mgangaπŸ˜†. Ngalikihinja

πŸ₯•πŸ‡
Waganga nchi hii wanatoka sehemu tatu tu..!! Hata ukisoma matangazo ya waganga si unaona..!! Utasikia Mganga anatoka Sumbawanga, Kigoma au Tanga..!! Ukiona bango limeandikwa mganga anatoka Machame, sijui kishumundu au Songea etc..!! Kimbia, utatapeliwa..!! Eti mganga anatoka Musoma..!!
 
Kuzaliwa mara pekee ni kinga ya matatizo yote yanayoweza kukupeleka kwa mgangaπŸ˜…. Wazee wa kichuri

Sasa unaingia mkoa wa mara be strong πŸ˜…
Cc Bantu Lady and Ngalikihinja.

πŸ₯•πŸ‡
 
Ramli chonganishi hizi dadaπŸ˜…πŸ˜…

Mimi ananijua Mungu pekee maana hata Mimi sijijuiπŸ˜…
Mimi akili yangu inacharge kuliko kawaida. Nimeshajua yaani dah haya umenipata hapa. Ile ID yako nyingine nilikublock πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…