Story chini ya kapeti wema na daimond wamerudiana

Story chini ya kapeti wema na daimond wamerudiana

Ji
Wale wambea wenzangu team zarimond,sijui watahamia wapi maana story za chini kwa chini mahaba yamerudi na yule wa south kapumzishwa

Yasemekana mpira umerudi kwa kipa(wema)ila kwa sharti la kuolewa hvyo yale madongo ya mama dangote ilikua ni kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa mama watano
Bibi wema siku hizi anashinda gym ili aweze kufanana na kina sweet 16 kidogo!!na wakifuatana na daimond waendane
Siku ya bday ya mondi queen darlin alipigana na wema kwa kua hataki kaka ake awe na wema

Ila Wema kama utarudi kwa baba dii sawa coz mapenzi ni ya wawili ila daahh;shame on uuu!!!daimond no longer in love wit u ila anataka kumantain umaarufu wake na jua kabisa ni baba wa watoto wa3 wa south na Tz
My advice;ungepambana na hali yako tu my Dada kuliko hyo ya kutaka uwakomeshe team Fulani mwanaume anaekupenda kweli hawez kua hvyo

Simchukii Wema,Zari wala hamisa ila kwa hili nawaonea huruma team yako aiseee sijui watajificha wapi kkaaah!
Ungemuacha tu dai apambane na wazazi wenziwe umeonyesha weakness kubwa mnoo kua kumbe siku zote ulikua unamtamani baba dee!
Loohhj!pole wema na usishangae asikuoe pia!
Jihurumie na hali yako mkuu pambana na hali yako
 
All the best wema khe khe kheeee sijui safari hii hana nyota za kuibiwa na dai au haogopi dai kumharibia watoto kwa lips denda zake uwiiii zari kiboko bana kamdaka dai na mimba akazipata bila kusema atatoa watoto sira mbaya za tandale(kama walivyokua wanajishaua akina penny)
 
Kuna mijitu inajifanya sio mimbea halafu kutwa kwenye jukwaa la umbeya!.Mbona majukwaa mengi? waende huko wakajadili bei ya mbaazi watu wamelima wameisusa shambani bei toka shs 3000/= kwa kilo hadi 200/=.
Hahahhaha nacheka kama mazuri vile
 
All the best wema khe khe kheeee sijui safari hii hana nyota za kuibiwa na dai au haogopi dai kumharibia watoto kwa lips denda zake uwiiii zari kiboko bana kamdaka dai na mimba akazipata bila kusema atatoa watoto sira mbaya za tandale(kama walivyokua wanajishaua akina penny)
Wema hajitambui ht kidogo
 
hizi stori nazo sometimes zinakera jamani yan zinaboaaaaa,
 
Wema hawezi kuishi bila ya kutengeneza kiki.
Ni wema alimuacha Diamond kwa kusema anasafiria nyota yake,sasa inatengenezwa kiki mtu aandikwe tu.Hamisa kampoteza vibaya sana wema
 
Jinsi ulivyoleta huo uzi umenikumbusha uandishi wa Warumi Aisee, sijui yuko wapi binamu jamani! Kina Nifah, Atoto, Heaven on Earth, na wengineo. Tulikuwaga wambea first grade! I miss em old days.


Hao wote sasa wanachapwa na Magufulication, hela ya kununua MB hawana. Sawa na wale kina Makabuleta wa Twanga Pepeta sijui wako wapi wale!!!
 
Back
Top Bottom