Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

Zero IQ at your best moment
 
Nimekupata tena sana jazzakhaallahu khayra
 
Kwamba peponi tutagida pombe! Yaani kuna mito kabisa ya ulabu. Pale naona tulipigwa aisee.
Itakuwa burdani! Ukitoka kuchota Konyagi au Pilsner unaenda kula bikira wako moja ,Kati ya 72 unaowamiliki!
Halafu Masheikh wachoyo sana..hili SoMo huwa nadra sana kulifundisha!
 
Itakuwa burdani! Ukitoka kuchota Konyagi au Pilsner unaenda kula bikira wako moja ,Kati ya 72 unaowamiliki!
Halafu Masheikh wachoyo sana..hili SoMo huwa nadra sana kulifundisha!
Jamaa wana siri sana. Hili somo kwamba peponi tutagida pombe na kupewa bikra 72 huwa anatoa sheikh Kipozeo tu. Huwa akiongelea raha za peponi najisikia raha sana.
 
Unaweza kuthibitisha haya madai yako?
Sio madai, hii ni kwa mujibu wa mawaidha ya mheshimiwa sheikh Hilary Kipozeo kwamba peponi kutakuwa na mito kabisa ya pombe tutakuwa tutajichotea tu.
Mwenyezi Mungu tujalie tufike peponi.
 
Kila mtu anaweza kusima hivyo juu ya kitabu chako, Inaitwa Begging the question fallacy au circular argument.
Chenyewe kinathibitisha, si mimi.

Umewahi kukisoma?
 
Huwa najiuliza wazungu walifanikiwa vip kutufanya tuone kuoa wake wengi ni dhambi ila ushoga ni haki za binadamu
 
Nasubiri jibu hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…