Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Quran ina mambo ya ajabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka aya.Kwamba peponi tutagida pombe! Yaani kuna mito kabisa ya ulabu. Pale naona tulipigwa aisee.
Leta ushahidi wako.
Chenyewe kinathibitisha, si mimi.Unaweza kuthibitisha haya madai yako?
Mimi niliusikiliza kutoka dar, kufika dodoma ndio Harman anavishwa sanda nyeusi akafie huko!Bora ww mimi nilishasikiliza ule wimbo toka bagamoyo mpka naipata njia panda ya moshi nilichoka
Zero IQ at your best momentStory ya Ester, bahati bukuku alitusimulia kupitia wimbo wake wa waraka,
Yaani kuanzia Wimbo unaanza unaweza kwenda sokoni kununua dagaa, unarudi unapika, unamalizia kusonga ugali ndio utasikia wimbo umefikia "ooh Ester aah kwa mahombi huku akisindikizwa na mioyo ya wayaudi" .
Du hapo tulipigwa.
Nimekupata tena sana jazzakhaallahu khayraWewe kabila gani? Lugha mama kwako ni ipi? Ukishajiuliza hayo ba kupata majibu sasa jiulize hapa JF unawasiliana na watu wa makabila mangapi na kwanini isiwe kwa lugha ya kabila lako?
Ukijibu hayo utaelewa hekima ya Allah kuifanya Qur'an kwa Kiarabu na salat zote za Waislam dunia nzima kwa lugha moja tu. Ni muujiza tunaoishi nao.
Faiza nafunga Ramadhan, nije kupata iftar kwako?Ramadhan Mubarak
Sio mchezo 😂😂😆😆Mimi niliusikiliza kutoka dar, kufika dodoma ndio Harman anavishwa sanda nyeusi akafie huko!
Itakuwa burdani! Ukitoka kuchota Konyagi au Pilsner unaenda kula bikira wako moja ,Kati ya 72 unaowamiliki!Kwamba peponi tutagida pombe! Yaani kuna mito kabisa ya ulabu. Pale naona tulipigwa aisee.
Jamaa wana siri sana. Hili somo kwamba peponi tutagida pombe na kupewa bikra 72 huwa anatoa sheikh Kipozeo tu. Huwa akiongelea raha za peponi najisikia raha sana.Itakuwa burdani! Ukitoka kuchota Konyagi au Pilsner unaenda kula bikira wako moja ,Kati ya 72 unaowamiliki!
Halafu Masheikh wachoyo sana..hili SoMo huwa nadra sana kulifundisha!
Sio madai, hii ni kwa mujibu wa mawaidha ya mheshimiwa sheikh Hilary Kipozeo kwamba peponi kutakuwa na mito kabisa ya pombe tutakuwa tutajichotea tu.Unaweza kuthibitisha haya madai yako?
Tuwekee tuyaone, ukishindwa basi elewa kuwa una fikra potofu.Quran ina mambo ya ajabu sana
Qur'an yenyewe inayasema hayo, si yeyote.Kila mtu anaweza kusima hivyo juu ya kitabu chako, Inaitwa Begging the question fallacy au circular argument.
Nasubiri jibu hapa...Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).
Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).
Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).
Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).
Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.
Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).
Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.
Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?
Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Hawawezi kujibuNasubiri jibu hapa...