darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,899
- 4,055
Mkuu nipe location kesho nina safari ya njombe niweze kutembelea hapo kama mtalii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma vizuri lakini au una njaa?Hizi Ni stories za kufikirika. Nyakati hizi bado kuna misitu ambao haufikika?
Amesema hapajafikika?Hizi Ni stories za kufikirika. Nyakati hizi bado kuna misitu ambao haufikika?
Akikujibu bila kuja na ngonjera nitagAmesema hapajafikika?
kuna mkurungwa anaitwa kitoabu huyo ndio noma a.k.a mzee wa mweku mweku
msitu huo ukisimuliwa na ukienda kuuona ni tofauti...kuhusu mwanzinga tuseme R.I.P
Wizara ya Maliasili na Utalii inayatambua hayo mapori na Mapango, kuna kitengo maalum kabisa cha TUNU ZA TAIFA na kina Mkurugenzi wake,ni lazima ukakate Leseni ya muda wa miezi 6 tu, ikiisha unahuisha tema kwa malipo. na ukiipata hiyo leseni kuna masharti mengine ndipo unaenda kutafuta hayo mabaki ya Wajerumani, mababu zetu au waingereza, wengine tunajiendea tu hebu tuendelee na stori za kweli huko mbele tutataja tu hayo mapori na mapango.Hizi Ni stories za kufikirika. Nyakati hizi bado kuna misitu ambao haufikika?
😀 yule ni konki master aisee akilala tu kitu kinaanza kumwekua mwekuakuna mkurungwa anaitwa kitoabu huyo ndio noma a.k.a mzee wa mweku mweku
😀😀😀😀😀 mkuu si hata hujasogea kwenda chooni kma hivyio.Huu Uzi umenimalizia popcorn za laki mbili