Story: Safari ya kutafuta mali za Mjerumani katika msitu wa Nyumbanitu - Njombe

Story: Safari ya kutafuta mali za Mjerumani katika msitu wa Nyumbanitu - Njombe

Hapo ni kuyavamia tu hayo mapango, tunaenda na siraha zetu na mbuzi mmoja wa kumtanguliza chini kama chambo. Shida ni ule mwanga ulitoka wapi au kuna volikeno, ila pangekuwa na joto. Sasa tunaanzia wapi ,vitendea kazi vipo nahitaji nguvu kazi shuguri ianze mara moja au mpo tayari kufa masikini nyinyi[emoji848][emoji848]

Kwa urozi mshana yupo tutaambatana nae, yy atafanya matambiko ya kimira mm na wengine tutakuwa na Ak 47 mkononi kwa ajiri ya hao majoka na wapuuzi wengine watakao jaribu kudhoofisha mpango wetu.
Hivi kama ukitanguliza drone yenye kamera ikapiga picha mkaona yaliyopo uko chini, si inawezekana kabisa kujipanga kwenda kuchukua mzigo
 
hii plan ya kutuma Drone ni nzuri tu, ila kwa msaada wa mleta Mada Mbwichichi tunamsubiri atufahamishe lolote lilioendelea
pia nampa pole kwa kukatwa mguu baada ya tukio lile wenzake kfariki ndani ya shimo
 
Back
Top Bottom