Story: Safari ya kutafuta mali za Mjerumani katika msitu wa Nyumbanitu - Njombe

Aisee Pole na changamoto Mkuu japo ni muda sana umepita ,ila Hongera na kupambana
uliongelea swala la kuwa na taarifa sahihi juu ya kazi hizi kwenye eneo mlilokuwa mnaelekea,na nikweli bahati mbaya hamkuwa na taarifa sahihi na pili Hamkuwana uelewa deep juu ya Field husika,pia kuna swala la siku za kuingia saiti ninyi nahisi kabisa mlikuwa hamjui siku sahihi na na kwenye site huwa wanaingia watu 2 tu na wakizidi inakuwa na Hasira huwa inapungza yenyewe waliozidi na ndiyo maan amlibaki 2.
 
mbona jamaa keshakuambia Story si yake bali amecopy na kuPaste kutoka kwa Mbwichichi ili kuturahisishia, hayoa Mapango na mengineyo niya imani za kimizimu na amesema kulikuwa na masanduku yanayoning'inia, kwa hiyo anayetumbukia haijulikani anakoenda labda anaangukia miamba na kukwama hatimaye kufa
tunaambiawa majoka ya Ginimbi
 
Yamejaa mahela tu humo.
 
Duh
 
Yaaani navuta picha upo shimoni unatafuta masanduku ghfla unaiona hii minyoka walah dadeq naweza nikapaaa
 
Nyoka wale na kuku wale ni wale wote walioenda na kupotea kule ndiyo wanakuwa walinzi na Hata aliyekuwa chizi alirudi kule na laiti kama hata leo akapata wakuingia nae kwa usahii lazima atawaona wote aliokuwa nao Kabla.
 
yes ni kweli ila nimejibu katika kutoa elimu kwa anayesoma hapo
 
Hapo ni kuyavamia tu hayo mapango, tunaenda na siraha zetu na mbuzi mmoja wa kumtanguliza chini kama chambo. Shida ni ule mwanga ulitoka wapi au kuna volikeno, ila pangekuwa na joto. Sasa tunaanzia wapi ,vitendea kazi vipo nahitaji nguvu kazi shuguri ianze mara moja au mpo tayari kufa masikini nyinyi[emoji848][emoji848]

Kwa urozi mshana yupo tutaambatana nae, yy atafanya matambiko ya kimira mm na wengine tutakuwa na Ak 47 mkononi kwa ajiri ya hao majoka na wapuuzi wengine watakao jaribu kudhoofisha mpango wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…