Story: Safari ya kutafuta mali za Mjerumani katika msitu wa Nyumbanitu - Njombe

Maelezo mareeeefuuu hoja kisoda, pumbavu kabisa alekudanganya wajerumani walificha rupia ni nani?unajua rupia Ni kitu gani?acha ujinga.
 
Haya mambo ni kweli yapo.
Nikiwa kama Moja ya watafutaji wa hivi vitu nasema hii sio hadithi.

Tuliwahi kuvuruga mlima sehemu Fulani tukifuatilia hiyo mishale aliyosema jamaa lakini wapi?

Hizi maki zipo shida ni masharti na wapi.
Maki hapa Tanzania zipo tena za kutosha.

Kuna sehemu inaitwa kulima mbuzi Iko kwenye hifadhi ya Serengeti kati ya hotel Moja ilikuwa inaitwa Bilila na nyingine inaitwa mbuzi mawe: Kuna dhahabu ya kufa mtu sogea Sasa utajua hujui hapo waliwahi kukamatwa OCD na Afisa Usalama wa wilaya Fulani miaka hiyo wakipiga mzigo
 
V
p uzi mbona umekata!?
 
utaenda wee mwisho wa siku utapiga watu pesa hapa kwamba unayo mali ya mjerumani, au utawauzia hiyho tunzi. all the best.
 
Haya mambo yapo sana duniani na sio Bongo tu
Kuna kisiwa huko Brazil kinaitwa Snake Island hicho kisiwa ni kidogo kina ukubwa wa hekari 43 tu ila kuna nyoka zaidi ya laki 4 yaani kila unapokanyaga unakanyaga nyoka
Inasemekana kuna mali nyingi zimefichwa huko yaani dhahabu tena ni za Inca empire, ziliibiwa na wazungu na kwenda kufichwa huku

Wengi wameenda na vyombo vya uhakika kutafuta hizo dhahabu lakini wapi
Kuna watu walienda yaani ilifika wakati walizunguka wakachoka sana na captain wa meli aliekuwa anawasubiri walimuambia wamechoka sana alale tu mpaka asubuhi na wao wakalala kwenye kisiwa hicho ila ukilala unashtukia nyoka kakupanda au mwingine kakuangukia toka juu ya mti yaani raha tupu

Ila mkuu labda useme kuna madini kama dhahabu au almasi wameficha huko na lakini Rupia haina thamani yoyote ulimwenguni ila ni utapeli tu kuwa ukiwa na Rupia inaleta utajiri lakini rupia ni hela tu za kizamani ambazo sio madini ya dhahabu wala almasi sasa yana faida gani

Uki Google utaona watu wananunua kwa ajili ya kukusanya tu sarafu za Dunia

Ni hobby kama hobbies zingine tu
Lakini story nzuri nimeisoma leo ilinipita
Napenda sana story kama hizi ila huwa ni mkosoaji pia na kufurahia kwa pamoja na siku moja ntaenda kutembelea huko
 
1.Hao Wazungu walifichaje hizo dhahabu na Hao nyoka wakiwepo?
2. Na walificha Ili kila. Mtu akose? Why hawazifuati Sasa hivi maana wao ndo wanajua ilipo.
 
1.Hao Wazungu walifichaje hizo dhahabu na Hao nyoka wakiwepo?
2. Na walificha Ili kila. Mtu akose? Why hawazifuati Sasa hivi maana wao ndo wanajua ilipo.
Na kama walilala Kiswahili,vipi' nyoka wasiwadhuru Ikiwa wako wengi?nauhakika hata hatuna Kumi humaliIzi kuna nyoka WA kila size vipi' hapo ujasiri gani huo?ACHENI .
 
Nitazama huko
Nikiwa na
1 Taa nyepesi nzito inayoweza kubebwana
2.drone ya maana
3.gesi inayoweza weka moto mkali wa uhakika
4.oxygen kama ya divers
5.Kuna dawa ya unga nyeusi wanaiita sawa ya nyoka nyoka hakaribiiii.
6.Ant venom dazeni kadhaaaa
7.kamba ya katani ndefu
8.pikipiki
9.mnyororo wa uhakika
10.tochi inayoeleweka aina tofauti za wachina dazeni kadhaaaaa
11.chain au pad lock cutters
12.jerk nyepesi
13.taa za umeme na Sola
14.paka mwili mzima majibu na mkaaaaa
15.nguo nzito zilizotengenezwa kwa lead
16 miwani ya uhakikA
Inshort kama astronats na nguo zao nzito
17.bunduki na risasi za kutosha
18 satellite phone
Nisipotoka na A. B. C. ZOTE Haitawezekana
 
Hivyo vitu baadhi ulivyoorodhesha Bongo havipatika i
 
Ipo powaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…