Story ya kurudi kwa Juma Kaseja, Aishi Manula na Rais wa Dar

Story ya kurudi kwa Juma Kaseja, Aishi Manula na Rais wa Dar

pinno

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
1,213
Reaction score
1,229
Wandugu,

Mimi sio mpenzi sana wa soka, ila huwa nafuatilia timu yangu ya Taifa, Timu yangu ya Mkoa naotoka, na timu mbili tatu ambazo zinanifutia ligi za mbele, ila sio yule shabiki ambae ni shabiki kindaki ndaki,

Sasa nafahamu kuhusu yule kipa, kipenzi cha rais wa Jiji la Dar es salaam, ambae amesifiwa kutwa kucha na mkuu huyo, hadi ilifika mahali, mkuu akamtunuku kitita cha hela, Kipa Aishi Manula.

Japo kulikuwa na makelele mengi ya wadau kuwa kipa huyo sio lolote, na kuwa anabahatisha, lakini inaonekana Kocha aliekuwepo Bwana Amunike, pamoja na viongozi wa TFF walikuwa wanamuelewa,

Kaja kocha mpya, akataka kumchezesha Bwana Juma Kaseja kwenye mechi dhidi ya Kenya, kwa kuwa kutokana na kocha huyo, alikuwa anaamini kuwa Bwana Juma kaseja, bado ni kipa bora kabisa, na hakuna mfano wake TZ, Na alikuwa anajua hili kwa sababu yeye ndo kocha wake kwenye timu anayochezea sasa, TFF na wadau wakahamaki, na wakahisi kuna wadau watamind, akiwemo raisi wa Dar, kuwa kipa wake anaemkubali hajapangwa,

Ila kwa kuwa walikubaliana kutoingilia maamuzi ya makocha, wakakubali,Juma Kaseja ajaribishwe ile mechi, ila sasa wakiamini kuwa atavurunda tu, na mechi zijazo Manula ataendela, basi ikabidi waje na ka press release ili kumanage hamaki ya wadau wa soka, endapo kutatokea watu kupaniki kwa kutoona Aishi Manula anacheza,

Wakasema Manula hachezi kwa kuwa ni majeruwi, Siku ikapita, Kaseja akaingia uwanjani, akaonesha uwezo mkubwa ajabu, mechi ya marudiano, akaonesha uwezo mkubwa ajabu, kadaka penalty tatu, tukawatoa Wakenya, Watu wakakumbuka mechi yetu dhidi ya Kenya kule Misri, ambapo Bwana Manula alishindwa kupangua mikwaju ile ya Wakenya ila leo hii Bwana Kaseja kaipangua yote, Mtaani wakasema "Laiti kama Kaseja angekuwepo kule Misri, pengine story ingebadilika" na ndipo hata wale waliokua wanabeza uchaguzi wa wachezaji wa kocha aliepita Bwana Amunike, wakasikika sauti zao wakisema "Ndio maana sisi tulisema huyu kocha alikuwa hajui kuchagua wachezaji wa kuwapanga"

Now, Kaseja is back, Je Manula bado ana lake pale? Je Bwana DAB Bado ataendelea kusapoti timu kwa mapenzi yote, maana naona tangu alipozila kwenye maandalizi dhidi ya Kenya baada ya kujua kipa wake kipenzi hayupo, naona ameendelea kuji weka mbali na timu had leo hii. Utadhani si timu ile aliyekuwa anaifungia safari hadi Misri.

The future is exciting kwa Juma Kaseja ,Taifa Stars na Tanzania ya Michezo.
 
Baada ya Kaseja kutupwa na vilabu vikubwa na kutimkia Kagera nilipata nafasi siku moja kushuhudia mechi moja ya ligi kuu na golini alikuwepo Kaseja.

Kwa namna alivyocheza ni wazi umri si hoja kwani aliweza kufanya kazi ambayo inatakiwa ifanywe na golikipa yeyote yule akiwa langoni kwake.

Alipokuja KMC nilifurahi kuona akiwa yule yule wa siku zote awapo golini, Sikuwahi kukubali kuwa Aishi Manula ni golikipa namba moja hapa nchini.

Ukiondoa Juma Kaseja basi golikipa mwingine mwenye uwezo wa kufanya maajabu langoni ni Kakolanya.

Manula alipata bahati japo siyo kipa wa kutisha awapo golini, ana mapungufu mengi.

Juma Kaseja.
Beno Kakolanya.
Metacha Mnata.
 
Baada ya Kaseja kutupwa na vilabu vikubwa na kutimkia Kagera nilipata nafasi siku moja kushuhudia mechi moja ya ligi kuu na golini alikuwepo Kaseja.

Kwa namna alivyocheza ni wazi umri si hoja kwani aliweza kufanya kazi ambayo inatakiwa ifanywe na golikipa yeyote yule akiwa langoni kwake.

Alipokuja KMC nilifurahi kuona akiwa yule yule wa siku zote awapo golini, Sikuwahi kukubali kuwa Aishi Manula ni golikipa namba moja hapa nchini.

Ukiondoa Juma Kaseja basi golikipa mwingine mwenye uwezo wa kufanya maajabu langoni ni Kakolanya.

Manula alipata bahati japo siyo kipa wa kutisha awapo golini, ana mapungufu mengi.

Juma Kaseja.
Beno Kakolanya.
Metacha Mnata.
Mzee Kaseja hajapata kipimo sahihi tulia hivyo hivyo maneno yako yasije kukung'ata siku moja.
.
Sudan is coming
Makundi kwenye kutoa mataifa (10) yatakayo cheza head to head ili kupata watakaokwenda Qatar yanakuja
.
Akivurunda usije geuza maneno yako
 
Baada ya Kaseja kutupwa na vilabu vikubwa na kutimkia Kagera nilipata nafasi siku moja kushuhudia mechi moja ya ligi kuu na golini alikuwepo Kaseja.

Kwa namna alivyocheza ni wazi umri si hoja kwani aliweza kufanya kazi ambayo inatakiwa ifanywe na golikipa yeyote yule akiwa langoni kwake.

Alipokuja KMC nilifurahi kuona akiwa yule yule wa siku zote awapo golini, Sikuwahi kukubali kuwa Aishi Manula ni golikipa namba moja hapa nchini.

Ukiondoa Juma Kaseja basi golikipa mwingine mwenye uwezo wa kufanya maajabu langoni ni Kakolanya.

Manula alipata bahati japo siyo kipa wa kutisha awapo golini, ana mapungufu mengi.

Juma Kaseja.
Beno Kakolanya.
Metacha Mnata.
Yeeesssssss.......
 
Mzee Kaseja hajapata kipimo sahihi tulia hivyo hivyo maneno yako yasije kukung'ata siku moja.
.
Sudan is coming
Makundi kwenye kutoa mataifa (10) yatakayo cheza head to head ili kupata watakaokwenda Qatar yanakuja
.
Akivurunda usije geuza maneno yako
sawaaaaaa..........
 
Baada ya Kaseja kutupwa na vilabu vikubwa na kutimkia Kagera nilipata nafasi siku moja kushuhudia mechi moja ya ligi kuu na golini alikuwepo Kaseja.
Kwa namna alivyocheza ni wazi umri si hoja kwani aliweza kufanya kazi ambayo inatakiwa ifanywe na golikipa yeyote yule akiwa langoni kwake.
Alipokuja KMC nilifurahi kuona akiwa yule yule wa siku zote awapo golini, Sikuwahi kukubali kuwa Aishi Manula ni golikipa namba moja hapa nchini.
Ukiondoa Juma Kaseja basi golikipa mwingine mwenye uwezo wa kufanya maajabu langoni ni Kakolanya.
Manula alipata bahati japo siyo kipa wa kutisha awapo golini, ana mapungufu mengi.
Juma Kaseja.
Beno Kakolanya.
Metacha Mnata.
nakuunga mkono hao ndo magoli kipa mabaharia akitoka kaseja anafata kakolanya
 
Mzee Kaseja hajapata kipimo sahihi tulia hivyo hivyo maneno yako yasije kukung'ata siku moja.
.
Sudan is coming
Makundi kwenye kutoa mataifa (10) yatakayo cheza head to head ili kupata watakaokwenda Qatar yanakuja
.
Akivurunda usije geuza maneno yako
Nimeishi kumwona Kaseja tangu ujanani, siyo kipa wa kubabaisha awapo golini.

Hicho kipimo sahihi atakipata wapi kama karudi mwenyewe kuchukua mikoba yake kutoka kwa vijana walioshindwa kutoa upinzani.

Juma ni kipa mithili ya Buffon anazeeka akiwa na uhodari wake kwenye soka.
 
Mbona katoa milioni kumi kwa Kaseja? Manula alisifiwa mbio akapitiliza hadi nyumbani. Atulie afanye kazi..ubaro baro akafanyie inje ya uwanja.

DAB anapenda sifa zote ziende kwake, ni yule mtu ambae, siku ya harusi huwa anatamani kumfunika Bwana harusi/Bibi harusi, siku ya Msiba huwa anatamani hata attetion kwake izidi ya marehemu.

Kiukwelialimind kitendo cha Manula kuwekwa benchi, na akawa kama amezila hivi, ndo maana harakati zote za kuhamasisha timu akawa kama kazikacha hafanyi kwa jitihada ile ya mwanzo.

Sasa jana Kaseja kaibuka man of the match, kaona hapa akimute, all glory goes to him , na hata hapati pa kuonekania, ndo hapo ikabidi 10M itolewe.
 
Nimeishi kumwona Kaseja tangu ujanani, siyo kipa wa kubabaisha awapo golini.

Hicho kipimo sahihi atakipata wapi kama karudi mwenyewe kuchukua mikoba yake kutoka kwa vijana walioshindwa kutoa upinzani.

Juma ni kipa mithili ya Buffon anazeeka akiwa na uhodari wake kwenye soka.
Buffoon kipawa chake kilishakwisha zamani tu!
Kaseja umeishi ukimwona tangu ujanani ujana gani huo?
.
Kaseja mpaka sasa bado ni kijana sio mzee yule.
Kipimo sahihi nimeshakitaja ambacho ni Sudan na timu itakapopangwa kwenye makundi ya FIFA
 
Hakuna kipa wa kumzidi Kaseja hapa nchini.

Ujana wangu wala siyo ujana wa Kaseja. Na akivuka dhidi ya Sudan kipimo chako kitakuwa Brazil au utakubali uhodari wake?
Buffoon kipawa chake kilishakwisha zamani tu!
Kaseja umeishi ukimwona tangu ujanani ujana gani huo?
.
Kaseja mpaka sasa bado ni kijana sio mzee yule.
Kipimo sahihi nimeshakitaja ambacho ni Sudan na timu itakapopangwa kwenye makundi ya FIFA
 
Hakuna kipa wa kumzidi Kaseja hapa nchini.

Ujana wangu wala siyo ujana wa Kaseja. Na akivuka dhidi ya Sudan kipimo chako kitakuwa Brazil au utakubali uhodari wake?
Sijasema hatavuka au atavuka mzee tusilishane maneno.
Kaseja ni golikipa mzuri sana ila hajapata kipimo sahihi kiasi cha watu (mashabiki maandazi) kuanza kumbeza Manula.
.
Akicheza dhidi ya Sudan na asiporuhusu magoli ya kutosha haijalishi timu itavuka au haitovuka basi hizi sifa anazistahili mno.
.
Akicheza hatua ya makundi ya FIFA asipochakazwa kila mechi basi ni haki Manula kubezwa, sio hivi sasa kacheza na warundi na Kenya mechi nne tu karuhusu goli mbili tu mmeanza kumbeza Manula sio haki!
.
KMC akiwepo yeye kwenye milingoti miwili wanyarwanda wamekuja wamemchakaza goli mbili hapahapa ndio maana nikatoa ushauri wa wewe kutulia hizo ngebe zako kwa Manula zisije kukuuma mwenyewe
 
Sijasema hatavuka au atavuka mzee tusilishane maneno.
Kaseja ni golikipa mzuri sana ila hajapata kipimo sahihi kiasi cha watu (mashabiki maandazi) kuanza kumbeza Manula.
.
Akicheza dhidi ya Sudan na asiporuhusu magoli ya kutosha haijalishi timu itavuka au haitovuka basi hizi sifa anazistahili mno.
.
Akicheza hatua ya makundi ya FIFA asipochakazwa kila mechi basi ni haki Manula kubezwa, sio hivi sasa kacheza na warundi na Kenya mechi nne tu karuhusu goli mbili tu mmeanza kumbeza Manula sio haki!
.
KMC akiwepo yeye kwenye milingoti miwili wanyarwanda wamekuja wamemchakaza goli mbili hapahapa ndio maana nikatoa ushauri wa wewe kutulia hizo ngebe zako kwa Manula zisije kukuuma mwenyewe
Miaka 19 anacheza soka hakuwahi kupata kipimo aje kukipata leo kwenye mechi ya Sudan!!!

Acha kuchekesha watu. Hao magolikipa wazuri watakaompiku Kaseja wamepata vipimo lini wao?
 
Manula alipata majeraha kwenye mazoezi ya kujiandaa na mechi dhidi ya Harambe stars.

Kaseja na Manula hawana tofauti kubwa sana kihivyo kama ni penalty manula huwa anazicheza nyingi tu kama kaseja.

Manula ni mzuri kwenye one against one situation kuliko kaseja.

Kaseja ni Bora kwenye long balls kuliko manula.

Manula ni mzuri kucheza krosi kuliko kaseja.

Kaseja ni Bora kwenye kucheza dead balls kuliko Manula.

Wote wanauwezo mzuri kucheza mipira ya chini kwa kiwango kinachofanana.

Concentration uwanjani kaseja anamzidi manula ndiyo maana Manula hufungwa magoli mengi ya kushitukiza.

Manula anaongea vizuri na defence kuliko kaseja ndiyo maana makosa ya defence akiwepo kaseja yanakuwa mengi hata jana miscommunication uwanjani ndiyo iliyosababisha goli la Burundi.


Anticipation manula ni mzuri kuliko Kaseja ndiyo maana manula hafungwi goli nyingi za one against one situation.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Huyo manula toka alipopewa nafasi siku ya kwanza national team hajawahi temwa for 4 years now utasemaje Hafai ?


Tuache ushabiki mandazi

Wandugu,

Mimi sio mpenzi sana wa soka, ila huwa nafuatilia timu yangu ya Taifa, Timu yangu ya Mkoa naotoka, na timu mbili tatu ambazo zinanifutia ligi za mbele, ila sio yule shabiki ambae ni shabiki kindaki ndaki,

Sasa nafahamu kuhusu yule kipa, kipenzi cha rais wa Jiji la Dar es salaam, ambae amesifiwa kutwa kucha na mkuu huyo, hadi ilifika mahali, mkuu akamtunuku kitita cha hela, Kipa Aishi Manula.

Japo kulikuwa na makelele mengi ya wadau kuwa kipa huyo sio lolote, na kuwa anabahatisha, lakini inaonekana Kocha aliekuwepo Bwana Amunike, pamoja na viongozi wa TFF walikuwa wanamuelewa,

Kaja kocha mpya, akataka kumchezesha Bwana Juma Kaseja kwenye mechi dhidi ya Kenya, kwa kuwa kutokana na kocha huyo, alikuwa anaamini kuwa Bwana Juma kaseja, bado ni kipa bora kabisa, na hakuna mfano wake TZ, Na alikuwa anajua hili kwa sababu yeye ndo kocha wake kwenye timu anayochezea sasa, TFF na wadau wakahamaki, na wakahisi kuna wadau watamind, akiwemo raisi wa Dar, kuwa kipa wake anaemkubali hajapangwa,

Ila kwa kuwa walikubaliana kutoingilia maamuzi ya makocha, wakakubali,Juma Kaseja ajaribishwe ile mechi, ila sasa wakiamini kuwa atavurunda tu, na mechi zijazo Manula ataendela, basi ikabidi waje na ka press release ili kumanage hamaki ya wadau wa soka, endapo kutatokea watu kupaniki kwa kutoona Aishi Manula anacheza,

Wakasema Manula hachezi kwa kuwa ni majeruwi, Siku ikapita, Kaseja akaingia uwanjani, akaonesha uwezo mkubwa ajabu, mechi ya marudiano, akaonesha uwezo mkubwa ajabu, kadaka penalty tatu, tukawatoa Wakenya, Watu wakakumbuka mechi yetu dhidi ya Kenya kule Misri, ambapo Bwana Manula alishindwa kupangua mikwaju ile ya Wakenya ila leo hii Bwana Kaseja kaipangua yote, Mtaani wakasema "Laiti kama Kaseja angekuwepo kule Misri, pengine story ingebadilika" na ndipo hata wale waliokua wanabeza uchaguzi wa wachezaji wa kocha aliepita Bwana Amunike, wakasikika sauti zao wakisema "Ndio maana sisi tulisema huyu kocha alikuwa hajui kuchagua wachezaji wa kuwapanga"

Now, Kaseja is back, Je Manula bado ana lake pale? Je Bwana DAB Bado ataendelea kusapoti timu kwa mapenzi yote, maana naona tangu alipozila kwenye maandalizi dhidi ya Kenya baada ya kujua kipa wake kipenzi hayupo, naona ameendelea kuji weka mbali na timu had leo hii. Utadhani si timu ile aliyekuwa anaifungia safari hadi Misri.

The future is exciting kwa Juma Kaseja ,Taifa Stars na Tanzania ya Michezo.
 
Na hata sisi SIMBA hatukuamini katu ile Match na UD SONGO eti kipa MANULA na sio KAKO
Baada ya Kaseja kutupwa na vilabu vikubwa na kutimkia Kagera nilipata nafasi siku moja kushuhudia mechi moja ya ligi kuu na golini alikuwepo Kaseja.

Kwa namna alivyocheza ni wazi umri si hoja kwani aliweza kufanya kazi ambayo inatakiwa ifanywe na golikipa yeyote yule akiwa langoni kwake.

Alipokuja KMC nilifurahi kuona akiwa yule yule wa siku zote awapo golini, Sikuwahi kukubali kuwa Aishi Manula ni golikipa namba moja hapa nchini.

Ukiondoa Juma Kaseja basi golikipa mwingine mwenye uwezo wa kufanya maajabu langoni ni Kakolanya.

Manula alipata bahati japo siyo kipa wa kutisha awapo golini, ana mapungufu mengi.

Juma Kaseja.
Beno Kakolanya.
Metacha Mnata.
 
Back
Top Bottom