Story za mtaani kuhusu umafia wa madalali

Story za mtaani kuhusu umafia wa madalali

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mtaani hakunaga watu wanaheshimika Na kuogopeka kama madalali. Madalali wengi wa mjini Daslamu inasemekana wanakuwaga wanashirikiana Na mtandao wa majambazi katika Ku enforce maagano/ mapatano wanayo ingia Na watu wanao wasaidia kuuza property zao.

Kanuni Moja ya mtaani kuhusu madalali ambayo huwa haivunjiki Ni HII hapa" KAMA UNAUZA PROPERTY YAKO LETS SAY SHAMBA , NYUMBA AU KIWANJA KWA SHILINGI MILIONI THELATHINI UKAWAFUATA MADALALI WAKULETEE MTEJA ANUNUE PROPERTY YAKO NA KWAMBA WEWE UNACHO TAKA NI SH MILIONI 30 BASI KAMA WATAUZA ZAIDI YA MILIONI 30 YOTE ITAKAYO ZIDI NI HALALI YAO, HALAFU MADALALI WAKALETA MTEJA AKANUNUA HIYO PROPERTY KWA SHILINGI MILIONI MIA SABA BASI WEWE YA KWAKO INABAKI HIYO HIYO MILIONI 30 NA MADALALI WANAPIGA KIBUNDA CHA MILIONI 670 YANI HAIPUNGUI HATA SH KUMI NYEKUNDU..

UKIENDA KINYUME NA MAKUBALIANO HAYA ADHABU YAKE HUWAGA NI KUUWAWA..

Basi huko mitaani Kuna story nyingi Sana za watu walio uwawa baada ya kukiuka makubaliano Na madalali..

Mwaka 2003 Kuna jamaa alipewa Kazi ya kuuza nyumba iliyopo nje kidogo ya Jiji la DSM. Mwenye property alikuwa mdogo WA huyo jamaa ambae alikuwa Ughaibuni..

Mwenye Mali alikuwa anataka sh milioni 80 . Kaka MTU ( Alie kabidhiwa kuuza ) akawaambia madalali yeye anataka milioni Mia itakayo zidi ya kwao. Madalali WAKALETA MTEJA WA sh milioni Mia nne Na themanini.. Pesa ikapitia kwenye akaunti ya jamaa. Jamaa akaingia tamaa akawapa madalali bia, kitimoto Na sh milioni mbili jamaa ( madalali) wakajua ametoa hiyo Kwa Sababu ya furaha ya mali yake kuuzwa wakijua Kesho yake wataenda Benki kumalizana.. inafika Kesho yake jamaa kimya kupigiwa simu akaanza kuwaletea hadithi ZA kwamba kwani Mali Ni Yao Hadi wao wachukue pesa yote hiyo mara nne ya Pesa anayo chukua mwenye Mali, akawaambia hiyo milioni mbili aliyo Wapa Ni nyingi Sana. Few weeks later he was shot dead akiwa bar anakunywa ikasemekana wale madalali ndio wali order hiyo hit.

2. Mzee mmoja msomi Na yeye vivyo hivyo kaweka shamba lake sokoni anataka milioni Mia Tu ikizidi ya madalali, madalali wakapeleka MTEJA WA milioni Mia tatu Mzee akaingia tamaa, yeye pia aliuwawa Na alipo uwawa inasemekana mkewe alienda kuwalipa madalali Pesa Yao yote .

Hoja ya madalali Ni kwamba Hakuna kitu kigumu kama kumshawishi tajiri anunue property ya mamia ya mamilioni.. wao wametumia akili kumshawishi tajiri anunue Mali yako so u pay them Kwa ushawishi Na akili waliyo itumia...

Let's wait and see kitu Gani kitatokea mtaani baada ya tamko la MH waziri but all in all madalali sio watu wazuri. They know alot
 
Mbona umeandika kama unakimbizwa 😄
Anyway uko sahihi ila umesahau kuweka 'cut' yao katika makubaliano yenu ya awali ipo palepale!! (Prop inayohitaji 100m let's say cut yao ni 25m, wakileta 'boya' wa 200m watachukua 125m na kukuachia 75m yako peacefully. Kinyume na hapo itafundishwa adabu ambayo jamii nzima itapaswa ijifunze!!!)

Scenario no. 2 :-
Msipokubaliana 'CUT' biashara haifanyiki!!! (Utaskia "hii gari ilipataga ajali mabaya sana haifai kabisa hapa ni geresha tu" na maneno mengine ya namna hio kum-discourage 'boya', na hata aking'ang'ania kununua ni lazima uwalipe chao or else back tu square one 👆🏼
 
Mbona umeandika kama unakimbizwa 😄
Anyway uko sahihi ila umesahau kuweka 'cut' yao katika makubaliano yenu ya awali ipo palepale!! (Prop inayohitaji 100m let's say cut yao ni 25m, wakileta 'boya' wa 200m watachukua 125m na kukuachia 75m yako peacefully. Kinyume na hapo itafundishwa adabu ambayo jamii nzima itapaswa ijifunze!!!)

Scenario no. 2 :-
Msipokubaliana 'CUT' biashara haifanyiki!!! (Utaskia "hii gari ilipataga ajali mabaya sana haifai kabisa hapa ni geresha tu" na maneno mengine ya namna hio kum-discourage 'boya', na hata aking'ang'ania kununua ni lazima uwalipe chao or else back tu square one 👆🏼
Yeah jamaa sio mafala kama watu WA mtandaoni wanavyo taka kuwachukulia
 
Tumekubaliana nyumba nauza m100 wewe nakupa 25 ukiniletea mia nne lazima tukae chini tukabaliane upya maana makubaliano tuliyafanya kwenye m100 sio 400 kama hutaki NIUE TU. KWANI TUNAISHI MILELE? Mbona ukipata wa m50 unauliza kwanza kama ni sawa na itakuaje kabla hujamleta?
 
Kauli ya Lukuvi
FB_IMG_1637030461798.jpg
 
Tumekubaliana nyumba nauza m100 wewe nakupa 25 ukiniletea mia nne lazima tukae chini tukabaliane upya maana makubaliano tuliyafanya kwenye m100 sio 400 kama hutaki NIUE TU. KWANI TUNAISHI MILELE? Mbona ukipata wa m50 unauliza kwanza kama ni sawa na itakuaje kabla hujamleta?
Short and clear, uza mwenyewe usiwashirikishe......pesa mwanakharamu...!!!
 
Madalali ni sooo kwanza wengi ukiwaona tu na Ile team Yao wanapena connection maneno Yao tu ni mafumbo mafumbo na yamekaa kimafia sana wale level zao ni majasusi maana Wana element za uspy wewe mtu anatafuta mteja wa kununua Mali ya millions of 💰 na anampata ndani ya siku chache tu Huyo mtu wa mchezo?
 
Tumekubaliana nyumba nauza m100 wewe nakupa 25 ukiniletea mia nne lazima tukae chini tukabaliane upya maana makubaliano tuliyafanya kwenye m100 sio 400 kama hutaki NIUE TU. KWANI TUNAISHI MILELE? Mbona ukipata wa m50 unauliza kwanza kama ni sawa na itakuaje kabla hujamleta?
Sasa si ungesem unauza m 400 tangu mwanzo?
Muwe mnanyoosha maelezo bwanaa
 
Madalali ni sooo kwanza wengi ukiwaona tu na Ile team Yao wanapena connection maneno Yao tu ni mafumbo mafumbo na yamekaa kimafia sana wale level zao ni majasusi maana Wana element za uspy wewe mtu anatafuta mteja wa kununua Mali ya millions of [emoji383] na anampata ndani ya siku chache tu Huyo mtu wa mchezo?
Uchawi Kaka.
Kama madalali wa mapinga bagamoyo wanauza eneo mara mbili mbili.
Ukiwapeleka polisi hawakai wanatoka.
na wewe huna tena haha ya kuendesha kesi.
 
Mpaka umetaja pesa ya Mali yako maana yake umeridhia kua ina faida na hio Bei inakufaa ili vijana wafanye kazi...ukileta tamaa matokeo yake NDo hayo
Yaani m 100 kwa milioni 400?
Hyo hesabu mtu yeyote hawezi kukubali.
Labda umpe dalali Uhuru mwambie akatangaze Bei anayoona yeye inafaa alafu utampa % zake.
NI Kama dalali wa samaki.
Bei anapanga yeye
 
Yaani m 100 kwa milioni 400?
Hyo hesabu mtu yeyote hawezi kukubali.
Labda umpe dalali Uhuru mwambie akatangaze Bei anayoona yeye inafaa alafu utampa % zake.
NI Kama dalali wa samaki.
Bei anapanga yeye
Ukikubali upangiwe Bei huo Ni ututusa..nyumba unapangiwa Bei..??....kupangiwa Bei za mazao na dalali nao Ni uzuzu wa muuzaji...lakini nyumba ukitaja Bei maana yake wew muuzaji NDo umeona Ni thamani yake
 
Mtaani hakunaga watu wanaheshimika Na kuogopeka kama madalali. Madalali wengi wa mjini Daslamu inasemekana wanakuwaga wanashirikiana Na mtandao wa majambazi katika Ku enforce maagano/ mapatano wanayo ingia Na watu wanao wasaidia kuuza property zao.

Kanuni Moja ya mtaani kuhusu madalali ambayo huwa haivunjiki Ni HII hapa" KAMA UNAUZA PROPERTY YAKO LETS SAY SHAMBA , NYUMBA AU KIWANJA KWA SHILINGI MILIONI THELATHINI UKAWAFUATA MADALALI WAKULETEE MTEJA ANUNUE PROPERTY YAKO NA KWAMBA WEWE UNACHO TAKA NI SH MILIONI 30 BASI KAMA WATAUZA ZAIDI YA MILIONI 30 YOTE ITAKAYO ZIDI NI HALALI YAO, HALAFU MADALALI WAKALETA MTEJA AKANUNUA HIYO PROPERTY KWA SHILINGI MILIONI MIA SABA BASI WEWE YA KWAKO INABAKI HIYO HIYO MILIONI 30 NA MADALALI WANAPIGA KIBUNDA CHA MILIONI 670 YANI HAIPUNGUI HATA SH KUMI NYEKUNDU..

UKIENDA KINYUME NA MAKUBALIANO HAYA ADHABU YAKE HUWAGA NI KUUWAWA..

Basi huko mitaani Kuna story nyingi Sana za watu walio uwawa baada ya kukiuka makubaliano Na madalali..

Mwaka 2003 Kuna jamaa alipewa Kazi ya kuuza nyumba iliyopo nje kidogo ya Jiji la DSM. Mwenye property alikuwa mdogo WA huyo jamaa ambae alikuwa Ughaibuni..

Mwenye Mali alikuwa anataka sh milioni 80 . Kaka MTU ( Alie kabidhiwa kuuza ) akawaambia madalali yeye anataka milioni Mia itakayo zidi ya kwao. Madalali WAKALETA MTEJA WA sh milioni Mia nne Na themanini.. Pesa ikapitia kwenye akaunti ya jamaa. Jamaa akaingia tamaa akawapa madalali bia, kitimoto Na sh milioni mbili jamaa ( madalali) wakajua ametoa hiyo Kwa Sababu ya furaha ya mali yake kuuzwa wakijua Kesho yake wataenda Benki kumalizana.. inafika Kesho yake jamaa kimya kupigiwa simu akaanza kuwaletea hadithi ZA kwamba kwani Mali Ni Yao Hadi wao wachukue pesa yote hiyo mara nne ya Pesa anayo chukua mwenye Mali, akawaambia hiyo milioni mbili aliyo Wapa Ni nyingi Sana. Few weeks later he was shot dead akiwa bar anakunywa ikasemekana wale madalali ndio wali order hiyo hit.

2. Mzee mmoja msomi Na yeye vivyo hivyo kaweka shamba lake sokoni anataka milioni Mia Tu ikizidi ya madalali, madalali wakapeleka MTEJA WA milioni Mia tatu Mzee akaingia tamaa, yeye pia aliuwawa Na alipo uwawa inasemekana mkewe alienda kuwalipa madalali Pesa Yao yote .

Hoja ya madalali Ni kwamba Hakuna kitu kigumu kama kumshawishi tajiri anunue property ya mamia ya mamilioni.. wao wametumia akili kumshawishi tajiri anunue Mali yako so u pay them Kwa ushawishi Na akili waliyo itumia...

Let's wait and see kitu Gani kitatokea mtaani baada ya tamko la MH waziri but all in all madalali sio watu wazuri. They know alot
Hii ni Propaganda kama Propaganda zingine, haiwezekani Mali yangu nikuambie milioni mia ulete mteja Wa Mia nne eti nikuachie milioni mia tatu kiboya, nakupa 10% yako tu hapo. Na LA kunifanya huna..
 
Back
Top Bottom