Kuna siku nilikua kwa mamdogo kama darasa la5 au 6 akachinja Bata kuna wageni walikua wanakuja na nilikuwa sijawahi kula hivyo niliipania balaa,basi akanyonyoa alivomaliza akasema ibabue ye akaenda kununua chumvi,hapo ndo balaa lilipoanza,..ikawa badala ya kubabua naivisha upande afu nakata nakula kuja kushtuka naona kifuani na mapajan mifupa inaonekana,kuua Soo ikabidi nimkate Kate nitenge vipande hata havikueleweka,aliporudi akachungulia sufuria na kuguna mmh! nlimuona kama mkubwa kumbe mdogo ,nilipumzika kwa muda harakati zangu za udokozi