Story za udokozi

Story za udokozi

Km ni mtoto wa kike hiyo tabia acha. Utakuja uende ukweni ukabambwa. Kwani si itaiva ipakuliwe ilike yann kutia tia vdole mboga[emoji849]
 
Atakuwa mmoja wao wala usiende mbali.

Kwa hiyo kwasasa una mchumba sasa maana unaonekana ulikuwa mtoto mzuri.
Ni mtoto mzuri hadi saiv, eeh mchumba ninaye.
 
Siku moja nmetoka shule nafika hom nakuta chupa ya juice mezani imo nusu alf bi mkubwa hayupo chap nikaifungua nikapga funda moja la kibabe...aisee kutema nilishndwa kumeza nilishndwa ila niliyaonja kidogo baada ya kugundua si juice ila nimekunywa mafuta ya kupikia..
Toka siku hiyo nikaacha kuparamia nisivo vijua
 
Kuna siku nilikua kwa mamdogo kama darasa la5 au 6 akachinja Bata kuna wageni walikua wanakuja na nilikuwa sijawahi kula hivyo niliipania balaa,basi akanyonyoa alivomaliza akasema ibabue ye akaenda kununua chumvi,hapo ndo balaa lilipoanza,..ikawa badala ya kubabua naivisha upande afu nakata nakula kuja kushtuka naona kifuani na mapajan mifupa inaonekana,kuua Soo ikabidi nimkate Kate nitenge vipande hata havikueleweka,aliporudi akachungulia sufuria na kuguna mmh! nlimuona kama mkubwa kumbe mdogo ,nilipumzika kwa muda harakati zangu za udokozi
 
Hahahaaa!! Kama nakuona vimachozi vilivyokuwa vinakulenga lenga.
 
Atakuwa mmoja wao wala usiende mbali.

Kwa hiyo kwasasa una mchumba sasa maana unaonekana ulikuwa mtoto mzuri.
Jamaa naona uko kikazi kwa kisingizio cha udokozi...
 
Back
Top Bottom