Wanapigwa pesa za consulting tuNakukumbusha tu waliwahi kutafuta wakandarasi wakawapeleka hadi kwenye kile kiwanja chao cha Kigamboni.
Nisaidie kuuliza vipi ujenzi wa ule uwanja wa kigamboni walioahidiwa umefika asilimia ngapi.
Mjumbe hauwawi.
sasa kama kuandika tu hujui,ufahamu wa ujenzi utautoa wapi,eti namhusia,kuhusia ni nini? kama umevimbiwa makande nenda chooni ukajambeHizi hadaa ambazo uongozi wa Yanga pamoja na GSM wanaendelea kufanya kuhusiana na ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni geresha tu ambazo hazitakuja kuzaa matunda yoyote zaidi ya kuwapotezea muda wapenzi, mashabiki na wanachama wa Deportivo de Utopolo.
Pale Jangwani ni sehemu ya mkondo wa maji, hakuna Shirika au Kampuni yoyote ya Bima itaenda kukubali kudhamini mradi wa uwanja wa mpira eneo lile na bila Bima hakuna Benki itaenda kutoa pesa zake kuufadhili. Tukifikia hapo hata uende kuhonga wanasiasa na watendaji wa halmashauri ni kazi bure tu. Ukiona Shirika la Bima la Taifa (NIC) wamekubali kufadhili mradi huu, jua haya ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi kama ambavyo wanapoteza pesa za umma kwa kutoa pesa za wachezaji wa mwezi kwa katimu kasiko na mbele wala nyuma.
Namhusia CAG (Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali) aanze mapema kutupia jicho kali mradi wa Bonde la Msimbazi unaofadhiliwa na Benki ya Dunia ili kujihakikishia kuwa pesa za serikali zilienda kufanya yale yaliyokusudiwa badala ya kufadhili ndoto za alinacha za Deportivo de Utopolo.
Eneo lote ambalo zamani lilikuwa ni Uwanja wa Kaunda inabidi lichukuliwe na Serikali kwa ajili ya kupitisha maji na jengo lao libomolewe ili zijengwe kingo za kuzuia maji pamoja na bustani kama ambavyo mradi wa Bonde unavyotaka. Kama mko serious kwenye kutatua changamoto za mafuriko hatutakiwi kucheka na kima. Msituchanganye na hadaa zenu za uzinduzi wa jengo la miaka 40 iliyopita na viongozi wa Serikali waache kutumika katika hizi danganya toto.
Povu ruksa.
subira yavuta kheriEndeleeni kudanganywa ila nakupa za ndaaani, Deportivo de Utopolo inakuja kuhamia Bagamoyo, hayo majengo ya miaka 40 iliyopita mnayozindua leo kisa GSM kawaletea makochi yatabaki makumbusho tu pale. Ukijengwa uwanja pale nitafute nikurushie 100K fasta
kwa akili yako unafhani yanga ni wajinga sio?Wanapigwa pesa za consulting tu
Kigamboni ni plan b na kule vitajengwa viwanja vya mazoezi na hosteli za vijana, yanga anaangalia zaidi eneo la kibiashara litakalompa mapato kule kigamboni utafanya biashara Gani? Ndio maana uwanja unajengwa Kaunda sehemu ambayo vitawekwa vitega uchumi maana ni town na yanga ataingiza mapato ya kutosha ilo amlijui kwa vile mnaongozwa na mangungu wote akili kazichota kaziweka kiganjani mwake!Nakukumbusha tu waliwahi kutafuta wakandarasi wakawapeleka hadi kwenye kile kiwanja chao cha Kigamboni.
Nisaidie kuuliza vipi ujenzi wa ule uwanja wa kigamboni walioahidiwa umefika asilimia ngapi.
Mjumbe hauwawi.
sikia tukwambie ndugu usoyejua kitu kiwanja wa kigamboni,tunajenga hostel na kambi ya mazoezi na mchakato wake unasubiri tukamilishe usajili wa wana hisaNakukumbusha tu waliwahi kutafuta wakandarasi wakawapeleka hadi kwenye kile kiwanja chao cha Kigamboni.
Nisaidie kuuliza vipi ujenzi wa ule uwanja wa kigamboni walioahidiwa umefika asilimia ngapi.
Mjumbe hauwawi.
Unajua maana ya "Plan B", tuanzie hapo kwanzaKigamboni ni plan b na kule vitajengwa viwanja vya mazoezi na hosteli za vijana, yanga anaangalia zaidi eneo la kibiashara litakalompa mapato kule kigamboni utafanya biashara Gani? Ndio maana uwanja unajengwa Kaunda sehemu ambayo vitawekwa vitega uchumi maana ni town na yanga ataingiza mapato ya kutosha ilo amlijui kwa vile mnaongozwa na mangungu wote akili kazichota kaziweka kiganjani mwake!
Hapana sijui niambie wewe unaejuaUnajua maana ya "Plan B", tuanzie hapo kwanza
Mbona kama unalialia na kuumia tu ndugu kwa maumivu! Ni wivu ndiyo umekuzidi, au!! Uwe unafurahia jirani yako akifanya kitu kizuri, ma ndipo na wewe utabarikiwa.Hizi hadaa ambazo uongozi wa Yanga pamoja na GSM wanaendelea kufanya kuhusiana na ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni geresha tu ambazo hazitakuja kuzaa matunda yoyote zaidi ya kuwapotezea muda wapenzi, mashabiki na wanachama wa Deportivo de Utopolo.
Pale Jangwani ni sehemu ya mkondo wa maji, hakuna Shirika au Kampuni yoyote ya Bima itaenda kukubali kudhamini mradi wa uwanja wa mpira eneo lile na bila Bima hakuna Benki itaenda kutoa pesa zake kuufadhili. Tukifikia hapo hata uende kuhonga wanasiasa na watendaji wa halmashauri ni kazi bure tu. Ukiona Shirika la Bima la Taifa (NIC) wamekubali kufadhili mradi huu, jua haya ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi kama ambavyo wanapoteza pesa za umma kwa kutoa pesa za wachezaji wa mwezi kwa katimu kasiko na mbele wala nyuma.
Namhusia CAG (Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali) aanze mapema kutupia jicho kali mradi wa Bonde la Msimbazi unaofadhiliwa na Benki ya Dunia ili kujihakikishia kuwa pesa za serikali zilienda kufanya yale yaliyokusudiwa badala ya kufadhili ndoto za alinacha za Deportivo de Utopolo.
Eneo lote ambalo zamani lilikuwa ni Uwanja wa Kaunda inabidi lichukuliwe na Serikali kwa ajili ya kupitisha maji na jengo lao libomolewe ili zijengwe kingo za kuzuia maji pamoja na bustani kama ambavyo mradi wa Bonde unavyotaka. Kama mko serious kwenye kutatua changamoto za mafuriko hatutakiwi kucheka na kima. Msituchanganye na hadaa zenu za uzinduzi wa jengo la miaka 40 iliyopita na viongozi wa Serikali waache kutumika katika hizi danganya toto.
Povu ruksa.
Inasikitisha sana, kuwa mtu hajafanya ata tafiti kujua kuwa kuna kiwanja huko Angola imejengwa baharini kabisa...wala mtu hajui kuwa shule ya sekondari Kibiti Rufiji imejengwa na Watu wa Cuba na maji yanapita chini.
Mleta mada ni mpiga domo tu yeye na field ya construction ni bingu na dunia.
mbele ya hela hakuna kinachoshindikana,labda shida iwe siasa za simba na yanga+uswahili lkn kujenga kitu kwenye mkondo wa maji sio shida kwa mainjinia wabobezi,WE WAHAKIKISHIE BAJETI YA MRADI KISHA WAACHE WAFANYE MAAJABU YAO
Mnaota kujenga uwanja kama wa Chelsea bila kujua wanasayansi wametabiri miaka 25 ijayo unaweza kuwa chini ya maji. Jiandaeni kisaikolojia kuhamia kijiji cha Kitopeni A huko Bagamoyo maana mmezoea kukaa vijijini. Tena hamtakuwa wageni huko maana kuna kipindi kila derby mlikuwa mnaenda kujificha huko.Athari za Rage, Mangungu na Try Again ndio zinaanza kuonekana sasa hivi. Pale uwanja utajengwa.
Time has a wonderful ways of proving us wrong. Tuendelee kula mtori
Mswahili ukimwambia ukweli anakimbilia kusema una wivu na chuki dhidi yake. Mnapendwa kudanganywa ili nafsi zenu zifurahi kama alivyosema Papasa.Mbona kama unalialia na kuumia tu ndugu kwa maumivu! Ni wivu ndiyo umekuzidi, au!! Uwe unafurahia jirani yako akifanya kitu kizuri, ma ndipo na wewe utabarikiwa.
Binafsi kama shabiki wa Yanga nitafurahi sana kuona na sisi timu yetu ina uwanja wake binafsi kama ilivyo kwa vilabu vichanga nchini; mfano Azam, Mtibwa, Ihefu, Namungo, nk. Na wewe unatakiwa uombe yule mwekezaji wako mjanja mjanja, na yeye aje na mkakati wa kujenga uwanja wa timu.
Mambo ya kuendelea kutegemea viwanja vya serikali na vile vya ccm! Au kwenda kuhemea uwanja wa Azam Compex; ni upumbavu wa kiwango cha juu sana kwa timu zilizoanzishwa miaka zaidi ya 80 iliyopita.
Sasa wewe kinachokuuma ni Nini? Umeichangia ata mia mbovu mpaka uumizwe na pesa za wanaume wenzako? Kuna pembe limepulizwa kuomba msaada kwenu? Ndio maana nasema mangungu ataendelea kuwaongoza sana kitendo tu Cha kuwaletea manzoki kwenye uchaguzi na mkapiga makofi na kura mkampa badae akatokomea ndipo nilipojiridhisha aina ya wanachama wanaoongozwa Wala sishangai kwa hizi hoja zako!Mnaota kujenga uwanja kama wa Chelsea bila kujua wanasayansi wametabiri miaka 25 ijayo unaweza kuwa chini ya maji. Jiandaeni kisaikolojia kuhamia kijiji cha Kitopeni A huko Bagamoyo maana mmezoea kukaa vijijini. Tena hamtakuwa wageni huko maana kuna kipindi kila derby mlikuwa mnaenda kujificha huko.
Tatizo lako unakimbilia kwenye hitimisho kabla hata huo mchakato haujafikia mahali popote. Na ndiyo maana nimekuweka kwenye hilo kundi la watu wenye wivu na husuda.Mswahili ukimwambia ukweli anakimbilia kusema una wivu na chuki dhidi yake. Mnapendwa kudanganywa ili nafsi zenu zifurahi kama alivyosema Papasa.
Badala ya kunishukuru kwa kukusanua unaongea habari za viwanja vya CCM. Unashabikia timu haujui hata wamiliki wake ni kina nani na mizizi yake iko wapi
Sisi si wale wa uwanja wa Bunju..!!Hizi hadaa ambazo uongozi wa Yanga pamoja na GSM wanaendelea kufanya kuhusiana na ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni geresha tu ambazo hazitakuja kuzaa matunda yoyote zaidi ya kuwapotezea muda wapenzi, mashabiki na wanachama wa Deportivo de Utopolo.
Pale Jangwani ni sehemu ya mkondo wa maji, hakuna Shirika au Kampuni yoyote ya Bima itaenda kukubali kudhamini mradi wa uwanja wa mpira eneo lile na bila Bima hakuna Benki itaenda kutoa pesa zake kuufadhili. Tukifikia hapo hata uende kuhonga wanasiasa na watendaji wa halmashauri ni kazi bure tu. Ukiona Shirika la Bima la Taifa (NIC) wamekubali kufadhili mradi huu, jua haya ni matumizi mabaya ya rasilimali za nchi kama ambavyo wanapoteza pesa za umma kwa kutoa pesa za wachezaji wa mwezi kwa katimu kasiko na mbele wala nyuma.
Namhusia CAG (Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali) aanze mapema kutupia jicho kali mradi wa Bonde la Msimbazi unaofadhiliwa na Benki ya Dunia ili kujihakikishia kuwa pesa za serikali zilienda kufanya yale yaliyokusudiwa badala ya kufadhili ndoto za alinacha za Deportivo de Utopolo.
Eneo lote ambalo zamani lilikuwa ni Uwanja wa Kaunda inabidi lichukuliwe na Serikali kwa ajili ya kupitisha maji na jengo lao libomolewe ili zijengwe kingo za kuzuia maji pamoja na bustani kama ambavyo mradi wa Bonde unavyotaka. Kama mko serious kwenye kutatua changamoto za mafuriko hatutakiwi kucheka na kima. Msituchanganye na hadaa zenu za uzinduzi wa jengo la miaka 40 iliyopita na viongozi wa Serikali waache kutumika katika hizi danganya toto.
Povu ruksa.
Statement zako mtu akizisoma tu anajua hautetei hoja wala haukosi kwa maslahi ya wahusikaEndeleeni kudanganywa ila nakupa za ndaaani, Deportivo de Utopolo inakuja kuhamia Bagamoyo, hayo majengo ya miaka 40 iliyopita mnayozindua leo kisa GSM kawaletea makochi yatabaki makumbusho tu pale. Ukijengwa uwanja pale nitafute nikurushie 100K fasta
Statement zako mtu akizisoma tu anajua hautetei hoja wala haukosi kwa maslahi ya wahusika
Unakosoa kwa ushabiki na kuzodoa
Imagine hoja ya majengo ya miaka 40 yanahusinaje , hoja dhaifu sana mkuu
Bila kuzodolewa hamuelewi kitu nyieKosoa kwa hoja zinazojenga kama mdau wa maendeleo , unakosoa kwa kuzodoa na kashfa kama unaishi Manzese mkuu
Unadhani nimekurupuka kuyasema haya?Tatizo lako unakimbilia kwenye hitimisho kabla hata huo mchakato haujafikia mahali popote. Na ndiyo maana nimekuweka kwenye hilo kundi la watu wenye wivu na husuda.
Na kwa sasa jitahidi tu ubaki humo humo. Siku ikitokea huo mchakato ukageuka kweli kuwa changa la macho; basi utakuwa na haki ya kuja kuongea chochote utakacho jisikia.
Uyo hana hoja Bali wivu tu unamsumbua wenzao wanapiga hatua 10 kwenda mbele wao wanapiga 20 kurudi nyuma na Anataka iwe Kama wao Sasa huo si upimbi!Kosoa kwa hoja zinazojenga kama mdau wa maendeleo , unakosoa kwa kuzodoa na kashfa kama unaishi Manzese mkuu