Story za ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni danganya toto

Watu wanhekuwa na mawazo kama yako Uholanzi wangekufa njaa.
 
Soma:

 
unajua wewe ni mbumbumbu utakayeumbuka vibaya
 
unajua wewe ni mbumbumbu utakayeumbuka vibaya
Tusubiri tuone. Halafu hivi kati ya CEO na Rais nani ana cheo kikubwa?
 
Jiandai kisaikolojia utakapoona kazi ya ujenzi inaanza.
 
Mp
Umenichekesha sana, eti "Chelsea kajenga uwanja juu ya daraja na chini maji yanapita", ndio mnavyodanganyana huko vibanda umiza?
mpe elimu uyo uto pia mm nmeshangaa kwl ukistaajab ya GSM utaona ya hersi iv wenye akli knan nn pale uto? Mwambie ili ufke the blue chels n unavuka dara syo et imejengwa mtoni kama yy ana fkr
 
Hivi mnajua mipango ya sasa ni kwamba pale Jangwani inaenda kujengwa soko kubwa kama la Kariakoo? Kwa maana hiyo ule mradi wa uwanja feki pale bondeni umekufa kifo cha asili. Nawaambiaga siku zote, msibishane hovyo na mimi.

Nafikiri hili linaweza kuwa ndiyo moja ya sababu iliyowakimbiza uto hadi uwanja wa KMC ili kufunika soo. Wazee wa propaganda waliingia kazini wakafanya kazi yao.

Kichuguu
fimboyaukwaju
FaizaFoxy
 
sasa kama kuandika tu hujui,ufahamu wa ujenzi utautoa wapi,eti namhusia,kuhusia ni nini? kama umevimbiwa makande nenda chooni ukajambe

subira yavuta kheri


Kwa upeo wako na heshima yako hukutakiwa kuchangia uzi huu mzee wangu weee njoo huku kwenye ule uzi kula kimasihara

pale hapashindikani wanja kujengwa tena utakua moja ya kivutio

Zile hela za ujenzi wa uwanja wa simba ziko wapi tena nirudishieni huku 2 yangu nikiwa hangia Bata wahed

Ni kawaida kwa watu wenye kufungua " whatsupp" channel ya klabu na kuona ndio mafanikio yao kuwa na wivu wa kike.

Watanzania kwa kujua kila kitu kawaida yao , kama unawajua nje ndani means unawajua watanzania wengi, hongera


Ila mpunguze makasiriko

Tutajenga jangwani pamoja na bunju🤣.halafu urudi na unaa wako hapa😁

Nawewe unasikiliza kelele za wivu za huyu thumbs sposi?
Maji siyo kikwazo mwambie sense Venice Italy au Uholanzi akajifunze.

Tumkumbushe tu kwamba hersi ni engineer

Tangu lini serikali ikafilisika,,? Atafilisika Mo kushindana na serikali,,

Ukiona adui yako anakulalamikia ujue upo sahihi, ukiona anakusifia ujue kuna sehem unafeli! GSM endeleeni kakaza hapohapo hivi vilio ni ishara njema kwetu sisi wadau🤣🤣

Si rahisi bila kuifunga Yanga hata kama una hela. Kuna serikali pia hasa serikali za manispaa na ngazi za mikoa. Nyingi ni timu zilizoanzishwa na kulelewa na wanayanga.
Njooni mtuambie ujenzi unaendeleaje hapo Mchafukoge? Nasikia mnaenda kuwa dampo la mitumba na ghala la mahindi na magunia ya viazi.
 
Njooni mtuambie ujenzi unaendeleaje hapo Mchafukoge? Nasikia mnaenda kuwa dampo la mitumba na ghala la mahindi na magunia ya viazi.
Subiri muda utaongea.
Usitukane mamba kabla hujavuka mto.
 
Subiri muda utaongea.
Usitukane mamba kabla hujavuka mto.
Bado una matumaini tu wakati machinga wanahamishiwa pale. Ndiyo imetoka hiyo.

Viongozi wenu wahuni sana, walitengeneza zile drama za Azam ili kuhamia KMC kuwahadaa nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…