Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni tabia ya kila mwanamke, na wengine hufika mbali zaidi, huoni mwenzio chakubanga alivyo.......?, bila kujua kwamba inaweza athiri kiasi fulani kwa mwenza wake.Ukishindwa kuwa na ujuzi katika kuleta mafanikio ktk mahusiano basi tumia hata sifa na heshima.
Mwanaume anapenda sifa za kwake yani usimlanganishe hapo mbn tutapambana mpk hela itatuogopa.
Nimeipenda sana hongera mkuu...ushauri na uzingatiweA. Kama mtu hajakukosea au kukuvunjia heshima usimuongeleshe au kumjibu vibaya.
B. Mwanamke ukiwa kwenye taratibu za kuolewa acha mazoea ya kuwasiliana na wanaume hasa ma ex itakugharimu na hawatokuwa na faida yeyote nawewe.
C. Mheshimu, mpende na kumjali mumeo bila kusahau kumuombea , usimloge.
Ahsante mkuu zingatieni hayo.Nimeipenda sana hongera mkuu...ushauri na uzingatiwe
Hii ilikuwa both physics form two na chemistry form fourThe pressure exerted by a gas is inversely proportional to the volume occupied by it at a constant mass and temperature
Yaani, P1 .V1= P2. V2
Wanawake wajitahidi sana wasiwe single maza. Soko lao la kuolewa ni gumu sana
Kwa kumalizia wajitahidi kabla ya 27 wawe wameolewa. Kuanzia 27+ huyo ni msimbe
Nao kama single maza soko la kuolewa ni gumu sana
Sawa hata iwe mke zaidi ya mmoja ila wasiwe single mazaWajitahidi vipi kwani wao ndio waaanzisha suala la ndoa,acha kuwatwisha mizigo.
Ushauri ndoa iwe ya wake zaidi ya mmoja kidogo itapunguza hii jam mitaani
Miaka ya sasa kuwa na mke zaidi ya mmoja ni mzigo + magonjwa, ichangie huna kipato...Wajitahidi vipi kwani wao ndio waaanzisha suala la ndoa,acha kuwatwisha mizigo.
Ushauri ndoa iwe ya wake zaidi ya mmoja kidogo itapunguza hii jam mitaani
🤠🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭!
Nishamwambia mleta mada hamshauriki... akili kichwani...🤠🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭!
Smart wee ni mwehu ujue hahahaa!
HakikaNishamwambia mleta mada hamshauriki... akili kichwani...