'Street codes' za kukusaidia uishi vizuri na watu mtaani kwako katika mji wowote Tanzania

'Street codes' za kukusaidia uishi vizuri na watu mtaani kwako katika mji wowote Tanzania

Hii ni sawasawa na kusema uishi kama waswahili wanavyotaka wao yaani uwaridhishe ili kupata approval kutoka kwao.

kuishi maisha ya aina hiyo ndio mwanzo wa maugomvi, majungu, kununiana na kusemana kama kawaida ya waswahili. na ndio sababu uswahilini hakuna amani kama sehemu ambazo kila mtu humind business zake.

Ukitaka uishi kwa amani na kuheshimiana uswahilini basi hakikisha hakuna mazoea na hawa waswahili na uishi unavyotaka considering maisha yenyewe mafupi. au vinginevyo utaishi kwa tabu sana mpaka unakufa.

kingine haya mambo yapo mitaa ya uswahilini tu na unaweza kuyaapply uswahilini pekee.
sehemu ambazo kila mtu anamind mambo yake hakuna hizi vitu.

asante kwa maoni yako teenager
 
Hii ni sawasawa na kusema uishi kama waswahili wanavyotaka wao yaani uwaridhishe ili kupata approval kutoka kwao.

kuishi maisha ya aina hiyo ndio mwanzo wa maugomvi, majungu, kununiana na kusemana kama kawaida ya waswahili. na ndio sababu uswahilini hakuna amani kama sehemu ambazo kila mtu humind business zake.

Ukitaka uishi kwa amani na kuheshimiana uswahilini basi hakikisha hakuna mazoea na hawa waswahili na uishi unavyotaka considering maisha yenyewe mafupi. au vinginevyo utaishi kwa tabu sana mpaka unakufa.

kingine haya mambo yapo mitaa ya uswahilini tu na unaweza kuyaapply uswahilini pekee.
sehemu ambazo kila mtu anamind mambo yake hakuna hizi vitu.
Umeongea point sana mkuu, ishi maisha yako tu.
 
Sehemu nyingi nilizokaa nimejifunza kumheshimu kila mmoja lakini sio kujenga mazoea na watu, ni salamu tu no story, hii imenisaidia kuepusha mambo mengi sana
yap yap
 
Stay with four fools you're going to be the firth 😅😅 waswahili wasikie tu una mpunga wako weka geti na tinted za kutosha.
 
Back
Top Bottom