'Street codes' za kukusaidia uishi vizuri na watu mtaani kwako katika mji wowote Tanzania

'Street codes' za kukusaidia uishi vizuri na watu mtaani kwako katika mji wowote Tanzania

Umemaliza mkuu, pointi ya 6 imenisaidia sana kila sehemu napokwenda. Huyu atakuambia achana na yule ni mvuta bangi, mwizi nk, ila wewe mfanye rafiki
 
Hii ni sawasawa na kusema uishi kama waswahili wanavyotaka wao yaani uwaridhishe ili kupata approval kutoka kwao.

kuishi maisha ya aina hiyo ndio mwanzo wa maugomvi, majungu, kununiana na kusemana kama kawaida ya waswahili. na ndio sababu uswahilini hakuna amani kama sehemu ambazo kila mtu humind business zake.

Ukitaka uishi kwa amani na kuheshimiana uswahilini basi hakikisha hakuna mazoea na hawa waswahili na uishi unavyotaka considering maisha yenyewe mafupi. au vinginevyo utaishi kwa tabu sana mpaka unakufa.

kingine haya mambo yapo mitaa ya uswahilini tu na unaweza kuyaapply uswahilini pekee.
sehemu ambazo kila mtu anamind mambo yake hakuna hizi vitu.
Kwa hiyo unapingana na mtoa mada??.
 
SHIRIKI KWENYE VIJIWE VILIVYO KALIBU N HOME KWAKO.
Hii itakusaidia kujua maisha yanaendaje kitaa pia itakusaidia kutatua baadhi ya changamoto zako ndogo ndogo mfano vijiwe vya kahawa au drafti kuna watu wazima wanaweza kukuunganisha na kazi mambo ya mahusiano na menginemengi
Karne hii kukaa kwenye vijiwe vya kahawa na draft??
 
8. Epuka nyendo zako zote kuwa wazi sana machoni kwa kila mtu. Miche miche zako nyingi zisiwe zinatabirika. Kwa mfano, unapenda nini zaidi, hupendi nini, unatoka saa ngapi, unarudi nyumbani saa ngapi, unafanya kazi gani, una biashara gani, una mipango gani ya kimaisha, una miliki nini nk.
 
8. Epuka nyendo zako zote kuwa wazi sana machoni kwa kila mtu. Miche miche zako nyingi zisiwe zinatabirika. Kwa mfano, unapenda nini zaidi, hupendi nini, unatoka saa ngapi, unarudi nyumbani saa ngapi, unafanya kazi gani, una biashara gani, una mipango gani ya kimaisha, una miliki nini nk.
imekaa vizuri sana hii. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
SHIRIKI KWENYE VIJIWE VILIVYO KALIBU N HOME KWAKO.
Hii itakusaidia kujua maisha yanaendaje kitaa pia itakusaidia kutatua baadhi ya changamoto zako ndogo ndogo mfano vijiwe vya kahawa au drafti kuna watu wazima wanaweza kukuunganisha na kazi mambo ya mahusiano na menginemengi
Hii imenishinda kabisa.

Najua kuna mambo nayakosa kwa kutokaa kijiweni lakini sijazowea,kwanza naweza kukaa wakapiga stori ambazo sina interest nazo.

Watakaa waanze kubishana mpira na makelele na hapo kuna wazee,na kubishana kwa makelele siweezi kabisa mwishowe nikitoka wakati wanabishana wataniona ninaringa hivyo nasubiri watulie kisha naondoka kistaili ya aina yake.

Hii imenifanya nisijue majina ya watu ambao nipo nao mtaani wengi tunajuana kwa sura ila majina siwajui,lakini ajabu wao wananijua.

Jambo moja muhimu mtoa mada kagusia ni kununua vitu vidogo vidogo hapo duka la mtaani,jambo muhimu saaaana hili.

Mimi kuna wazee hununua kwao vitu kama sukari,dawa ya mbu,unga,sabuni za unga n.k
Hii imenifanya wanione peace sana kinyume na ambavyo walinichukulia huko nyuma
 
Ahsante sana mkuu, naongezea hasa wale wanaume wanaopenda soka nenda uwanjani hapo ndo wahuni wapo wengi,
Shiriki nao kwenye michezo itakusaidia
 
Hii imenishinda kabisa.

Najua kuna mambo nayakosa kwa kutokaa kijiweni lakini sijazowea,kwanza naweza kukaa wakapiga stori ambazo sina interest nazo.

Watakaa waanze kubishana mpira na makelele na hapo kuna wazee,na kubishana kwa makelele siweezi kabisa mwishowe nikitoka wakati wanabishana wataniona ninaringa hivyo nasubiri watulie kisha naondoka kistaili ya aina yake.

Hii imenifanya nisijue majina ya watu ambao nipo nao mtaani wengi tunajuana kwa sura ila majina siwajui,lakini ajabu wao wananijua.

Jambo moja muhimu mtoa mada kagusia ni kununua vitu vidogo vidogo hapo duka la mtaani,jambo muhimu saaaana hili.

Mimi kuna wazee hununua kwao vitu kama sukari,dawa ya mbu,unga,sabuni za unga n.k
Hii imenifanya wanione peace sana kinyume na ambavyo walinichukulia huko nyuma
kukaa kijiweni kupiga story na watu wa mtaani hili hata kwangu huwa linanishinda.

kwanza ratiba zangu haziruhusu, natoka asubuhi narudi jioni. nikirudi home jioni nakuwa nimechoka, huwa sipendi kutoka kwenda kuzurula. natulia zangu home ili nipate mda wa kutosha wa kuwa karibu na familia yangu.
 
Ahsante sana mkuu, naongezea hasa wale wanaume wanaopenda soka nenda uwanjani hapo ndo wahuni wapo wengi,
Shiriki nao kwenye michezo itakusaidia
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Jambo moja muhimu mtoa mada kagusia ni kununua vitu vidogo vidogo hapo duka la mtaani,jambo muhimu saaaana hili.

Mimi kuna wazee hununua kwao vitu kama sukari,dawa ya mbu,unga,sabuni za unga n.k
Hii imenifanya wanione peace sana kinyume na ambavyo walinichukulia huko nyuma

katika hili acha nikupongeze. mbinu hii inasaidia sana uweze ku-blend na jamii iliyokuzunguka.
 
Back
Top Bottom